Dk. Tizeba, utaweza kufanya kazi na Magufuli aliyekufukuza pale Mwanza City Council!?

Tulokuwa Mwanza enzi hizo tunajua kuwa huyu Tizeba ni corrupt na alilambishwa kitu kikubwa na Mansoor ili apewe hati ya eneo hilo la mtaa wa misheni. Iliamriwa na mahakama Mansoor alipwe kwa kuwa tayari Mansoor alishapewa hati ya hilo eneo. Tena huyu huyu Mansoor mhindi na watu wa City walimpatia eneo lilokuwa limejengwa soko kwa ajili ya watu wa Ilemela, Pansiasi, iloganzala, kiseke na Lumala kujenga kituo cha mafuta. CCM kumejaa maizi tupu.

Huyu Tizeba Ndio alikuwa DC Sikonge Mida fulani!! Duh, Basi Hakuna Kitu!! ni Fisadi Full
Usiyempenda kaja
 
Tujazie tunayofahamu. Magu na tizeba hawakuwa zinaiva siku nyingi, sababu hasa haifahamiki, labda sababu enzi hizo kitengo cha uhandisi jiji LA Mza chini ya tizeba kilikuwa moto kwa madili ya kifisadi.

Wakati huo magu waziri wa ujennzi na pekee aliyekuwa akilindwa na polisi mwenye silaha, alimweleza ded wa Mza wakati huo, mzee baruti kuwa hakuna sababu ya kubaki na watumishi wanaotaka kusoma kila wakati Ku na vijana lukuki wenye elimu zao.

Masoor alipewa kiwanja hicho na maafisa wa jiji likidaiwa kuwa ndani ya hifadhi ya barabara na kampuni uliyokuwa ikimilikiwa kiujanja na tizeba ndio ilipew kazi ya ujenzi wa kituo hicho.

Uongozi wa jiji na mkoa chini ya mashishanga walionekana kuwa Nyuma ya Mansonr hukuwa magu na diallo wakati huo waziri katika serikali wakionhoza harakati za wabunge wa mkoa kutaka kuvunjwa kwa kiyuo hicho.

Tamko LA wabunge wa mkoa liliobyesha utata kwani pamoja na mambo mengine watia saini wote walitumia kalamu ya aina moja. Kama lilitengenezwa na MTU mmoja

Baada ya kituo kuvunjwa kwa mbwbwe, watu kadhaa walipoteza kazi ikiwa ni pamoja na tizeba na mwandishi mmoja wa star TV kwa kuonekana kutumiwa na mansoor

Yaliyofiatia baadaye ni historia ya wana mtandao kumhusisha tizeba katika kampeni za kumweka madarakani kikwete na tizeba aliyetimuliwa kama mhandisi akarejea serikalini kama DC mkoani tabora.
 
Kwa wanaokumbuka kisa cha kuvunjwa kwa kituo cha mafuta huko Mwanza, katika eneo lililodaiwa kuwa la hifadhi ya barabara, hawatakuwa wamesahau kwamba Dk Tizeba alikuwa miongoni mwa wakuu wa idara waliofukuzwa kwa amri ya Magufuli kwa madai ya uzembe wa kuruhusu kitua hicho kujengwa barabarani

Sasa ni uso na pua, sijui wataangalianaje kwenye vikao vitakavyowakutanisha! au ndiyo kusema kwamba anayosimamia Magufuli aanayasimamia yeye peke yake ndani ya serikali ya Kikwete ndyo maana haya yanatokea! au Mhe Rais umesahau mara hii?

Tuombe Mugu, ndugu yetu Eng. Dk Tizeba iwe alisingiziwa, na hata kama hakusingiziwa, hilo la kufukuzwa na Magufuli kwa tuhuma za kuhogwa na mhindi wa kituo cha mafuta, liwe lilikuwa funzo kwake na hivyo kuamua kufanya kazi kwa uadilifu, katika unaibu waziri wa uchukuzi ambapo tunaambiwa watangulizi wake, walilambishwa asali

Huyu jpm ukabila utamponza
 
Naibu Waziri wa Ujenzi
Ndugu Gerson Lwenge, Mb.,
Au ulimaanisha kufanya nae kazi katika baraza as a whole?
Dkt. Tizeba aliwahi kuwa naibu wa wizara ya uchukuzi kwenye serikali ya Kikwete. Walikuwa wakizipiga kweli, Kama sikosei kipindi hicho waziri wa Uchukuzi alikuwa Omari Nundu. Baadaye akaja Mwakyembe. Nadhini ndicho mkuu
 
Muda muda mwingi wa kuongea uongo uongo kuliko vitu vya msingi! Tizeba aliyekumbwa na hiyo kashfa siyo huyu naibu waziri,ni mdogo mtu ambaye kwa sasa ni diwan huko kwao buchosa,sengerema.punguzeni udaku basi,tutawachoka.
Wewe huwafahamu vzr hawa akina TIZEBA. Huyo aliyepata hzo tuhuma zote zinazosemwa ni CHARLES TIZEBA ambaye ni mbunge wa BUCHOSA na pia aliwahi kuwa mkuu wa WILAYA SIKONGE. Kaka yake na huyu bwana anaitwa ADRIAN TIZEBA ambaye aliwahi kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa MWANZA.
NB:ADRIAN TIZEBA hajawahi kuwa mbunge hata siku moja
 
Magufuli ameshiriki sana kwa kufisadi nchi hii kwa nguvu sana aisee yaani huwezi amini kumbe alisababisha serikali ilipe samaki barabara kote amesababisha hasara harafu anaita wenzake mafisadi wakati yumo kwenye orodha ya mafisadi
Magufuli haishii kuwaita mafisadi peke yake, anachukuwa hadi hatua. Na wewe pia usiishie kulalamika, chukua hatua dhidi ya magufuli.
 
Theo,

..pamoja na kuvunja sheria, mahakama ilieleza kwamba Magufuli pia alidharau ushauri wa wataalamu na wanasheria na kuendelea na ubabe/uhuni wake kuvunja kituo cha mafuta.

..nadhani hukumu hiyo ndiyo iliyosababisha JK amteua Mwakyembe[mtaalamu wa sheria] kuwa naibu wa Magufuli pale wizara ya ujenzi.

..nakumbuka jaji Mwesiumo naye aliteuliwa kuwa Naibu waziri mambo ya ndani kumsaidia Mrema aliyekuwa hafuati taratibu wala sheria sawa na Dr.Magufuli.
Kumbe tabia hii ya kutofata sheria imeanza siku nyingi hata JK aliiona? Hii post yako ni ya 2012 lakini Leo inaonekana kama uneandika jana tuu
 
Back
Top Bottom