theophilius
Senior Member
- Nov 19, 2010
- 150
- 54
- Thread starter
- #21
Muda muda mwingi wa kuongea uongo uongo kuliko vitu vya msingi! Tizeba aliyekumbwa na hiyo kashfa siyo huyu naibu waziri,ni mdogo mtu ambaye kwa sasa ni diwan huko kwao buchosa,sengerema.punguzeni udaku basi,tutawachoka.
ungejua kwamba aliyeanzisha mjadala huu anawajua personally, Dk Tizema na nduguye huyo, ungenyamaza maana hujui unachokisema...