This is appropriate. Na kama TBC, ITV na channel 10 walitoa nafasi ya bure kwa Maelezo kutoa video yao wanapaswa kutoa nafasi hiyo hiyo kwa Chadema.
mi nadhani siyo lazima waonyeshe kwenye TV hata kwa waandishi wa habari inatosha- i support the moveKimsingi itakuwa vigumu sana kwa Tv zetu kuonyesha video inayopingana na Taarifa ya Serikali, Labda wapeleke Tv za nje au za mashirika ya Dini
wauze hizo dvd au vcd... tutanunua... wapost kwenye internet nk.Sijui wataoneshea kupitia tv gani? StarTv ni ya Diallo ambaye ni mwana CCM anayetegemea kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa;TBC1,ITV na Channel 10 walionesha iliyochakachuliwa lol! tusubiri tuone!!
wauze hizo dvd au vcd... tutanunua... wapost kwenye internet nk.
Sijui wataoneshea kupitia tv gani? StarTv ni ya Diallo ambaye ni mwana CCM anayetegemea kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa;TBC1,ITV na Channel 10 walionesha iliyochakachuliwa lol! tusubiri tuone!!
Nahofia askari waliofyatua risasi na kuua hao waTz wenzao. Wakionekana maisha yao mkononi!
Haya mi yangu maombi tu nchi ielekee kwenye maziwa na asali, regardless of how....that God knows!
Sikio la kufa halisikii dawa!
tena hizo videos wazigawe bure kila mahali cause nadhani vyombo vya habari huenda visirushe....