Dk. Slaa: Tutajibu mapigo

This is appropriate. Na kama TBC, ITV na channel 10 walitoa nafasi ya bure kwa Maelezo kutoa video yao wanapaswa kutoa nafasi hiyo hiyo kwa Chadema.
 
This is appropriate. Na kama TBC, ITV na channel 10 walitoa nafasi ya bure kwa Maelezo kutoa video yao wanapaswa kutoa nafasi hiyo hiyo kwa Chadema.

Sidhani kama watawapa maana wanajua wame chakachua ya kwanza,sasa hii si itawafanya waonekane waongo?
 
Sijui wataoneshea kupitia tv gani? StarTv ni ya Diallo ambaye ni mwana CCM anayetegemea kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa;TBC1,ITV na Channel 10 walionesha iliyochakachuliwa lol! tusubiri tuone!!
 
Kimsingi itakuwa vigumu sana kwa Tv zetu kuonyesha video inayopingana na Taarifa ya Serikali, Labda wapeleke Tv za nje au za mashirika ya Dini
 
ukweli ni kama moshi huwezi kuuficha,ipo siku utakuwa peupe na mafisadi wataaibika
 
mm naona waduplicate cds zigawiwe kwa waandishi wa habari kisha watuwekee mtandaoni wazalendo tuidownload. Itasambaa nchi nzima na watz wataujua ukweli.
 
Kimsingi itakuwa vigumu sana kwa Tv zetu kuonyesha video inayopingana na Taarifa ya Serikali, Labda wapeleke Tv za nje au za mashirika ya Dini
mi nadhani siyo lazima waonyeshe kwenye TV hata kwa waandishi wa habari inatosha- i support the move
 
Sijui wataoneshea kupitia tv gani? StarTv ni ya Diallo ambaye ni mwana CCM anayetegemea kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa;TBC1,ITV na Channel 10 walionesha iliyochakachuliwa lol! tusubiri tuone!!
wauze hizo dvd au vcd... tutanunua... wapost kwenye internet nk.
 
Hakika kabisa vituo vyote vya tv vilivyopo hapa Tz vitaupokea lakini havitaurusha kamwe hewani.
Wazo la kuanzisha tv ya cdm sijui limeishia wapi!
Cha msingi ni kuuza kama njugu cdm-version dvd ya hayo matukio na kuwapa wanahabari ili waicover kwenye tabloids.
 
Ni bora iwekwe kwenye vipeperushi ili nchi nzima ifahamu kwa vile sio wengi wanaobahatika kungalia uchakachuaji uliopo kwenye luninga.
 
Sijui wataoneshea kupitia tv gani? StarTv ni ya Diallo ambaye ni mwana CCM anayetegemea kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa;TBC1,ITV na Channel 10 walionesha iliyochakachuliwa lol! tusubiri tuone!!

Ni kweli itakuwa taabu saana kupata TV station ya kuoneshea mkanda huo, hapo ndio utaona umuhimu wa kuwa na TV station za chama. Ama kwa upande mwingine mi nashauri Chadema wakisha tayarisha CD au Video hizo waziuze kwa bei nafuu kwa wanachi ili tujionee kilichotokea. Najua hizo TV channels zote hazitakubali kuonyesha bila kufanyia editting kwa misingi ya Sheria zinazotawala Tasnia ya TV.
 
Nisichokubaliana na baadhi yenu humu ni hili la WATANZANIA kufa kwa malengo ya KISIASA kama ilivyotokea Arusha na kabla ya hapo Pemba. Hakuna kifo kinachokubalika lakini hili la vifo vya kisiasa halina TIJA wala maana yoyote kwa Mtanzania wa kawaida. Ni afadhali Mtanzania afe kwa kudai AJIRA, kulalamikia bei ya kilo ya unga, bei ya mkate, bei ya umeme, bei ya maji, karo kubwa za shule, huduma mbaya za elimu kwenye mashule ya UMMA na mambo yanayofanana na hayo.
Tusiendelee kuua watu wetu kwa malengo ya KISIASA ambayo hayawabadilishii lolote watu wetu. Wakati wa kampeni, Dr Slaa alisisitiza mara kwa mara juu ya kutomwaga damu ya Watanzania ili aende IKULU. Ni nini kinafanyika sasa?
 
Nahofia askari waliofyatua risasi na kuua hao waTz wenzao. Wakionekana maisha yao mkononi!
Haya mi yangu maombi tu nchi ielekee kwenye maziwa na asali, regardless of how....that God knows!

kuna dalili za maziwa na asali???maana kila kukicha mapya afadhali ya jana
 
Twaambiwa usibishane na mpumbavu usijeonekana mpumbavu zaidi. Vitendo vinanena kwa sauti kuu zaidi kuliko maneno. Tunasubiri.
 
Njia bora ni kuziuza hizo CD na wale watyako nunua wawaonyeshe na wengine tupo kwenye mchakato wa kufichua ufisadi wa nchi hii na kuielewesha jamii mambo muhimu ambayo watawala wqanafanya ndivyo sivyo
 
Haya malumabano nafikiri Watanzania watakuja jijutia. Ni kupoteza muda wa kufanya mambo ya maana ya maendeleo. Sasa unafikiri kwenye mkanda "documentary" ya Slaa unategemea kuona nini zaidi ya mauwaji ya "Soweto". Yeah, tunanyanyaswa kweli kama vile tuko chini ya makaburu!....Hizi zote ni gemu za kisiasa kila upande unataka kupata pointi zaidi ya mwingine kutoka kwa wananchi, vijana waliouliwa wamekwisha sahauliwa mazungumzo yatakuwa juu ya Slaa na Mwema...

This is pathetic, I'm crying for my poor country, all these politicians are just crooks who play all these stupid dirty games to position themselves politically, enriching themselves and their buddies while my people are poverty stricken. NEVER TRUST THESE GODDAMN POLITICIANS AND NEVER WILL, THEY ARE ALL AFTER SOMETHING WITH THEIR GODDAMN AGENDAS AND PROPAGANDA.
 
Back
Top Bottom