Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani

Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani

Status
Not open for further replies.
Tatizo la Jk amesahau kuwa hata wapinzani wake ni raia wtz ambao ana takiwa kuwalinda kama watz wote na si kuwadhuru na kuwachukulia hatua za kisheria pindi wanapokosea kama raia yeyote yule.
 
Wanatafuta huruma ya wananchi kwa kupindisha ukweli................wanamiliki kiwanda cha uongo!

icc inawasubiri kwa ham, hivi huyu baba riz moko siku hizi anavuta bangi eeeh, yaani mtu anatoa kauli ambayo nchi ilichafuka anakuwa matatani moja kwa moja.
 
Vijana wa Lumumba posho imeongezwa.Leo mmechachamaa sana.huyu m/kiti wenu huyu ajiangalie ICC inamnyemelea.
 
dada leo umeamka na stress sana, nenda kagonge kiroba uondoe Loki
utajua nini wewe ukigongwa kwako ni maisha nina stress ya mwenyekiti wa ccm asiyejitambua kuwa kauli yake ni amri kama amiri jeshi mkuu ambayo ameitoa kupitia tbccm na kutamba itangazwe ilivyo kwa sababu yeye yuko juu ya sheria pathetic
 
Mwaka huu mtasema sana, lakini ndivyo ilivyo, mkifanya kwiii tunawanyuka. Sisi ndio tunawaongoza, mtafata tukitakacho mkitaka msitake, kama si kwa hiyari basi kwa nguvu.
ndio maana tuna dadisi akili za mwenyekiti wenu wa ccm kama zinamtosha kwamba hapaswi kutangaza vita ya wenyewe kwa wenyewe vita haina macho angalia musije kunyukwa wenyewe mpaka mukakimbia nchi
 
utajua nini wewe ukigongwa kwako ni maisha nina stress ya mwenyekiti wa ccm asiyejitambua kuwa kauli yake ni amri kama amiri jeshi mkuu ambayo ameitia kupitia tbccm na kutamba itangazwe ilivyo kwa sababu yeye yuko juu ya sheria pathetic

dada nenda kanywe hata supu ya utumbo, unajua hang over sio nzuri
 
Kwa kauli kama hii hakuna mwanaccm atakaye chukuliwa hatua yoyote atakapofanya makosa.Makosa yote ya kushambulia,kudhuru na kuuwa yatakayofanywa na CCM watasingiziwa wapinzani kuwa wao ndio wamefanya.Wapinzani watawekwa mahabusu kwa makosa yaliyofanywa na CCM.Watauawa na kufungwa kwa makosa yaliyofanywa na CCM.
 
icc inawasubiri kwa ham, hivi huyu baba riz moko siku hizi anavuta bangi eeeh, yaani mtu anatoa kauli ambayo nchi ilichafuka anakuwa matatani moja kwa moja.

bange zinapulizwa na lema pale kijenge mwanama, mara moja moja dr.slaa anamgongea lema pafu ndio mana slaa akili zimemruka
 
dada nenda kanywe hata supu ya utumbo, unajua hang over sio nzuri

bado nipo tunataka kumuonyesha mwenyekiti wa ccm kwamba frustration zake za kuzidiwa kete na lowassa asituharibie nchi hatutamruhusu vita ya wenyewe kwa wenyewe akatangaze msoga supu nitainywa tu
 
bange zinapulizwa na lema pale kijenge mwanama, mara moja moja dr.slaa anamgongea lema pafu ndio mana slaa akili zimemruka
mvuta bangi ni yule anaweka rehani nchi yake kinyume cha alivyoapa kuilinda katiba
 
Kikwete ni rais mwenye uwezo mdogo wa kiakili kuliko mwinyi. Watanzania tujilaumu kuongozwa na rais anayeshabikia uhalifu na ugaidi. Msajili wa vyama vya siasa upo wapi kukifuta ccm
 
Kikwete ameamua kuvuruga amani ya nchi yetu

Hakuna ubishi hii ni tamko la hatar kutolewa na mkuu wa nchi! huku ni kujikinai kulikopita kipimo... Hivi NEC ya ccm kwanini haikujadili DR Ulimboka na Kibanda katika matukio yanayohusisha na vyombo vya ulinzi? hivi anathani kwakuwa raia hawana risas watakuwa wanyonge kukubali kupigwa na green guid? HAPA NAIONA KIMBALI TZ INAKUJA KWA SPEED YA AJABU
 
April 1994, Rwanda ilipatiwa mapanga kutoka China na hivyo Nterahamwe wakafanya kazi yao kama ilivyopangiliwa na wakuu wa dola. Hapa kwetu kilichotamkwa sina hakika kama ni maneno matupu au tayari mzigo upo njiani kutokea China kwa ajili ya utekelezaji wa kazi iliyoagizwa na Mkuu wa kaya na msaidizi wake.

Maneno haya mnayoyatamka humu JF mtakuja kuyajutia, naomba mapanga hayo yaanzie kwa bibi, babu na mama enu
 
dr. Silaa ulivyosema nchi haitawalika ulikuwa unamaanisha nini?? Hwawa vijana unaowalisha viroba wanaanza kuwapiga watanzania wenzao, ujui wewe ndio wakushtakiwa???

Ndiyo haita tawalika kwa kauli kama hizi zakipuuzi na kiahenzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom