Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani

Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani

Status
Not open for further replies.
Kweli rais wa nchi anatoa kauli ya kijinga namna hii kweli?
 
JK aache kucheza danadana na maisha ya watanzania, kama tamaa yake ni fedha za ruzuku ziongezeke ccm anatakiwa kuwa muungwana na kuacha mchezo mchafu.

Tamaa ya pesa ni chafu sana na humfanya hata mtu kujivua nguo kama tunavyoona wanenguaji kwenye bendi mbali mbali za bolingo,rais naona anaelekea huko kwamba kutafuta pesa kwa nguvu zote zilizo halali na zisizo halali kitu ambacho sio chema.
 
Shida ya kuchukua wacheza bao uswahilini kuwapa nchi kutatugharimu sana Tanzania'

Kweli kabisa. Nchi imekuwa ni ya kipumbavu ------- tu. Naamini Vichwa vingi vitakatwa katika uchaguzi wa jimboni kwa mgimwa. Na huo ndo utakuwa mwanzo wa machafuko nchini.
 
ni hatari kubwa kwa taifa letu hili lenye sifa ya amani dunia nzima.
 
Acha kujivua akili alipotolea mfano kijana kumwagiwa tindikali kahama nayo ijibiwe kwa hoja gani?
 
Moderator, unaacha huu upuuzi?

Kichwa kingine na utumbo mwingine. Hii kama si gongo ni nini?

Fataani, muongo, mzandik.
 
Last edited by a moderator:
Moderator, unaacha huu upuuzi?

Kichwa kingine na utumbo mwingine. Hii kama si gongo ni nini?

Fataani, muongo, mzandik.
JK aache kucheza danadana na maisha ya watanzania, kama tamaa yake ni fedha za ruzuku ziongezeke ccm anatakiwa kuwa muungwana na kuacha mchezo mchafu.

Tamaa ya pesa ni chafu sana na humfanya hata mtu kujivua nguo kama tunavyoona wanenguaji kwenye bendi mbali mbali za bolingo,rais naona anaelekea huko kwamba kutafuta pesa kwa nguvu zote zilizo halali na zisizo halali kitu ambacho sio chema.
 
bange zinapulizwa na lema pale kijenge mwanama, mara moja moja dr.slaa anamgongea lema pafu ndio mana slaa akili zimemruka

na huyu bosi wako anapilizia wapi,chooni au kwenye chumba cha kulipiwa hotelini...?
 
  • [h=3]Proverbs 29:2[/h]When the righteous are in authority, the people rejoice: but when the wicked beareth rule, the people mourn.

 
Atakaethubutu kumkamata Dr. W. Slaa nani!? wathubutu waone patakavyovurugika hapa.

Huu ni uchochezi imbulu we utafanya nini slaa akikamatwa unazungumza kama z*z* tu acha maneno ya vitisho hivyo ukijua wazi huna uwezo wa kutekeleza
 
ulivyo mmwagia tindikal mkawakata mapanga watu kule geita,mkaua watu pale ndago hamkusema haya
Ndago mahakama ilisema ni mwigulu , igunga waliomwagia tindikali walitokea youtube wakasema aliwazurumu fedha aliyowapa mwigulu wanaCCM rafiki wa tesha mukiongopa na kumbukumbu muwe nazo
 
Huu ni uchochezi imbulu we utafanya nini slaa akikamatwa unazungumza kama z*z* tu acha maneno ya vitisho hivyo ukijua wazi huna uwezo wa kutekeleza
ndio munavyojiamini pakichanganya hapa wa kwanza kwenda uhamishoni mwenyekiti wenu wa CCM
 
quote_icon.png
By Baba V
Atakaethubutu kumkamata Dr. W. Slaa nani!? wathubutu waone patakavyovurugika hapa.
BABU hayuko juu ya sheria. serikali vyombo vya dola vikimuona ni hatari kwa mustakabali wa amani ya Tanzania atachukuliwa hatua stahiki bila kuogopwa hata chembe!
 
Mi Jk hanishangazi na kauli za hatari, kinachonishangaza ni watanzania kuendelea kuvumilia uvundo huu
 
ccm pale igunga kuna kijana walimwingizia spoke ya baiskel kwenye uume wake. hatutavumilia kamwe aluta inaendelea mpaka ukomboz wa kwel ktk nchi hii utimie
 
Nakubali kweli wewe ni kilazaa unashangilia ujingaa!!unadhani kikiwaka wewe utakua salama.....achaa siasa za maji taka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom