B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 496
- 379
Huku akijua kuwa yeye ni Rais wa nchi, na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, na akijua kuwa aliapa kuilinda katiba ya jamhuri ya Tanzania, kikwete alinukuliwa akitutaka sisi wanachama wa CCM tuache unyonge na tujibu mapigo ya wapinzani.
Kwanza Rais atakuwa ametangaza vita ya vyama katika chaguzi mbali mbali ziwe ndogo au mkuu, na upinzani wataanza kujihami mapema sana na hapo ndo vita kali itakapoanza.
Sasa natabiri haya yafuatayo:
Katika uchaguzi wa Kalenga Iringa machafuko yatatokea lakini hayatakuwa makubwa sana, yaan umwagikaji wa damu utakuwa mdogo.
Uchaguzi wa jimbo la chalinze ambao mwanae inasemekana anataka kugombea machafuko hayatakuwepo ila kutakuwa na mvutano wa kivyama tu.
Uchaguzi mkuu wa mwakani damu itamwagika sana si CCM wala Chadema au Cuf watu watapigana sana na kuuana sana.
Natabiri pia kuwa, Itakuwa ni CCM ndiyo itakayoomba mazungumzo ya vyama vya siasa ili kumaliza umwagikaji wa damu.
Natabiri vile vile kwamba, Vyama vya siasa vitakubali mazungumzo ila ndani ya mazungumzo hayo masharti kadhaa yatatolewa na vyama vya siasa na serikali ya mseto kuundwa.
Natabiri kuwa, Rais kikwete hatapata tuzo itolewayo na MO Ibrahimu.
Natabiri kuwa, Chadema itashinda mijini na baadhi ya maeneo ya vijijini na kura kati ya mgombea wa ccm na chadema bara zitapishana kidogo sana ikiwa wizi wa kura utadhibitiwa sana na chadema.
CCM Itaendelea kuiba kura au kuhujumu wagombea wa vyama vingine wasio na msimamo.
Natabiri kuwa Polisi na jeshi au vyombo vya dola wataipigia chadema kura nyingi sana.
Natabiri kuwa wakulima wa vijijini, wafanyabiashara wakubwa na baadhi ya vijana wataipigia ccm kura nyingi sana.
Natabiri vile vile kuwa chadema itapata kura nyingi kutoka kwa wanafunzi wa vyuo vikuu, baadhi ya wanawake, na watu wa hali chini, vijana wengi na watu maskini.
Natabiri kuwa Edward lowasa ndiye atakuwa mgombea urais wa ccm na chadema atakuwepo Dr.
Slaa.
Kwanza Rais atakuwa ametangaza vita ya vyama katika chaguzi mbali mbali ziwe ndogo au mkuu, na upinzani wataanza kujihami mapema sana na hapo ndo vita kali itakapoanza.
Sasa natabiri haya yafuatayo:
Katika uchaguzi wa Kalenga Iringa machafuko yatatokea lakini hayatakuwa makubwa sana, yaan umwagikaji wa damu utakuwa mdogo.
Uchaguzi wa jimbo la chalinze ambao mwanae inasemekana anataka kugombea machafuko hayatakuwepo ila kutakuwa na mvutano wa kivyama tu.
Uchaguzi mkuu wa mwakani damu itamwagika sana si CCM wala Chadema au Cuf watu watapigana sana na kuuana sana.
Natabiri pia kuwa, Itakuwa ni CCM ndiyo itakayoomba mazungumzo ya vyama vya siasa ili kumaliza umwagikaji wa damu.
Natabiri vile vile kwamba, Vyama vya siasa vitakubali mazungumzo ila ndani ya mazungumzo hayo masharti kadhaa yatatolewa na vyama vya siasa na serikali ya mseto kuundwa.
Natabiri kuwa, Rais kikwete hatapata tuzo itolewayo na MO Ibrahimu.
Natabiri kuwa, Chadema itashinda mijini na baadhi ya maeneo ya vijijini na kura kati ya mgombea wa ccm na chadema bara zitapishana kidogo sana ikiwa wizi wa kura utadhibitiwa sana na chadema.
CCM Itaendelea kuiba kura au kuhujumu wagombea wa vyama vingine wasio na msimamo.
Natabiri kuwa Polisi na jeshi au vyombo vya dola wataipigia chadema kura nyingi sana.
Natabiri kuwa wakulima wa vijijini, wafanyabiashara wakubwa na baadhi ya vijana wataipigia ccm kura nyingi sana.
Natabiri vile vile kuwa chadema itapata kura nyingi kutoka kwa wanafunzi wa vyuo vikuu, baadhi ya wanawake, na watu wa hali chini, vijana wengi na watu maskini.
Natabiri kuwa Edward lowasa ndiye atakuwa mgombea urais wa ccm na chadema atakuwepo Dr.
Slaa.