ndio tunafahamu kauli ya mwenyekiti wa ccm kutangaza vita ya wenyewe kwa wenyewe itakapoanza msoga atakuona kama mbinguniMkuu Ritz mnawabembeleza nini hawa wehu?!
Saivi ni kujipanga tu namna ya kuwatwanga hawa wehu hakuna kingine mwenyekiti wa ccm aemsema!
Wakati wanawapiga watu walikuwa wanaona raha,leo kibao kimewageuzia wanaanza kulalama!!
Waache waje waipate,hawa jamaa wamewafanyia mbaya sana watu wa Igunga,Biharamulo,Busanda,Arusha na Tarime!
Waache tuuuu....waache tuuuuuuuu.....waache tuuuuuu........haki ya mama yani hawa tayari wameiingia kwenye 18........halafu watamu saaaaaaana!!!
Last edited by a moderator: