Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani

Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani

Status
Not open for further replies.
Uvumilivu una kikomo... mkianza tunamaliza.... sasa kama kweli mnapenda amani basi msianze vurugu
 
Serikali inapaswa kulaumiwa, maana huyu Slaa sasa hivi angekua ananyea debe huko Segerea kwa kauli alizotoa kipindi kile mara baada ya uchaguzi pale alipotamka dhahiri kuwa 'TUTAHAKIKISHA NCHI HAITAWALIKI' hii kauli ilikuwa inamaana gani kama sio kuchochea vurugu?
 
ni mwendawazimu ataye unga mkono pendekezo la raisi .....
hayo yote ni matokeo ya wajinga kutuchagulia viongozi
mh raisi nimeushusha uelewa wake kwa 99%
 
CDM ikichukua nchi Itatengeneza train iendayo kasi, itachukua masaa matatu (3 hours) toka dar es Salaam hadi mwanza!! this is real bullshit!! ndege ya kasi kuliko zote TZ inachukua over an hour, vidogo 3 hours, leo train ya Slaa ichukue 3 hrs huku inapita kwenye miji, malishoni mwa mifugo etc etc. Katiba ndani ya siku 100, hata bunge la katiba linakaa karibia siku hizo 100, rasimu ingetengenezwa lini? halafu wenzake chadema wanadai oh muda hautoshi, inatakiwa wanachi wachangie zaidi etc etc. naipenda Cdm inaleta kasi ya maendeleo serikalini ila mgombea urais watafute mwingine, sio Dr Slaa. Mara kadhaa ya Zitto wa 2012 and back

1. itaichukua Tanzania siku 100 kupata katiba mpya
2. Tanzania itageuka kuwa nchi ya viwanda ndani ya mwaka mmoja
3. CHADEMA ikiingia ikulu mfuko wa saruji th. 5000
4. mabomba ya gezi yanajengwa kutoka mtwara kwenda Ulaya
5. nchi haitatawalika
Unaweza kuongezea upu.pu wa huyu Askofu.

View attachment 139689
 
wana jf muwa zoee maccm wanao changiaum,tatizo walio nalo wanaccm ni ugonjwa wa kutokujua wana kwenda wapi na ugonjwa uhu unasababishwa na bakteria anaeitwa,zidumu fikra za mwenyekiti, kwaiyo hata mwenyekiti akiongea pumba wao wanapiga makofi,ndio ugonjwa wao wala msibishane nao,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom