Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani

Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani

Status
Not open for further replies.
View attachment 139697
View attachment 139699
Hawa ndio wanaweza kukaa na kumwelewa Dr Slaa anazungumza nini sio wewe ambaye hata kuandika hiyo mistari yako kadhaa huelewi umekusudia nini. Sio kila hoja humu uijibu, waweza kuzisoma tuu kwa ajili ya kujielimisha kisha baada ya miaka kama mitano hivi ukafikia kiwango cha Division 5 ukaanza kuchangia.

Dr Slaa ni kibaraka na pandikizi la wazungu. Picha hii inadhihirisha. sijapata kuona kiongozi mkubwa anakaa peke yake bila kuwa na wasaidizi. hiyo safari ilikuwa official au personal?
 
Mtafuteni professa Issa Shivji mpate maoni yake.kauli uharibu amani.na ludia tena Amani italindwa na wananchi wote.kamwe tusiwaachie wanasiasa wakatugawa.
 
Dr Slaa ni kibaraka na pandikizi la wazungu. Picha hii inadhihirisha. sijapata kuona kiongozi mkubwa anakaa peke yake bila kuwa na wasaidizi. hiyo safari ilikuwa official au personal?
basi kikwete aliuza nchi kwa obama si alikuwa peke yake wakiongea
 
endelea kumfurahisha kikwete anayeingiza nchi kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe akumbuke msoga atapaona kama sayari ya mercury raisi anatangaza kupambana na wananchi wake zinamtosha kwelu

We vipi? Mbona umeng'ang'ana na neno, "vita ya wenyewe kwa wenyewe", Kauli hii kaitoa nani na wapi? Au ndio ajenda yenu chadema? Yaani inawezekana vipi we uwe hujamdhuru mtu, unafanya siasa zenye kufuata demokrasia na sheria halafu akaja mtu akamwaga damu yako! Labda huo ndio mpango wenu chadema. Mnahofu pengine ccm itajilinda basi mnalalama kutwa kucha humu Fb, acheni mawazo ya laana hayo!
 
wapinzani ni wanfki kwani vurugu nyingi wao ndio waanzilishi. kauli ya JK nisawaswa 2 kwani uvumilivu unakikomo chake
 
View attachment 139697
View attachment 139699
Hawa ndio wanaweza kukaa na kumwelewa Dr Slaa anazungumza nini sio wewe ambaye hata kuandika hiyo mistari yako kadhaa huelewi umekusudia nini. Sio kila hoja humu uijibu, waweza kuzisoma tuu kwa ajili ya kujielimisha kisha baada ya miaka kama mitano hivi ukafikia kiwango cha Division 5 ukaanza kuchangia.

Hebu tofautisha mambo ya dini na siasa. Hao ni wafadhili wake wa kanisa wanaokubaliana na Padri mwenzao kwahiyo nataka mifano ya wanasiasa duniani wanaomsapoti huyu mwenzenu.
 
wapinzani ni wanfki kwani vurugu nyingi wao ndio waanzilishi. kauli ya JK nisawaswa 2 kwani uvumilivu unakikomo chake
uko sayari gani greenguard na ccm wameacha wangapi vilema
 
Alitoa kauli hiyo kwa vile anajua fika kwamba hata mkipigana yeye hana anchopoteza!
 
Kikwete ameamua kuvuruga amani ya nchi yetu
 
We vipi? Mbona umeng'ang'ana na neno, "vita ya wenyewe kwa wenyewe", Kauli hii kaitoa nani na wapi? Au ndio ajenda yenu chadema? Yaani inawezekana vipi we uwe hujamdhuru mtu, unafanya siasa zenye kufuata demokrasia na sheria halafu akaja mtu akamwaga damu yako! Labda huo ndio mpango wenu chadema. Mnahofu pengine ccm itajilinda basi mnalalama kutwa kucha humu Fb, acheni mawazo ya laana hayo!
Unatumika as if hali ikiwa tete nawe utapelekwa Doha kukimbia machafuko.Akili ya maiti hii.
 
Kama mnataka muue halafu tuwashangilie mmenoa .uovu wenu umetuchosha.siasa zenu za vurugu sasa hazivumiliki
 
Unataka wasingiziwe wengine wakati CHADEMA ndiyo mhusika mkuu?
kwahiyo hao wengine walisubiria Chadema waseme ndo nao wajitutumue? Mbili we hujui unatetea nini wakati kauli iliyotolewa sio nzuri kwa yeyote mwenye utambuzi!
 
dr. Silaa ulivyosema nchi haitawalika ulikuwa unamaanisha nini?? Hwawa vijana unaowalisha viroba wanaanza kuwapiga watanzania wenzao, ujui wewe ndio wakushtakiwa???
Tutajie vyombo gani vya ulinzi na usalama vilivyo chini ya Dr. Slaa.

Acheni unafiki na ujinga kwenye mambo yasiyohitaji siasa na kuendekeza njaa. Amani na utulivu vikitoweka nanyi hamtapona.
 
CHADEMA mmenifurahisha katika hili kwani mme act with precision and clarity it deserved.

Kikwete ameiharibu hii nchi, FACT. Kama rais yeye na chama chake wameshindwa kuleta maendeleo ambayo aliahidi na kutumainisha watu "maisha bora..."

Sasa anataka kutuangamiza, kwani baada ya kuona silaha walizotumia kujaribu kutugawa kama Taifa zimeshindwa; zile za kutoganisha kidini, kikabila na kitabaka zimeshidwa. Sasa ameona bora tuwaane tu kwa sababu yoyote ile, he must be a bloodsucker.

HUyu Rais anasahau aliapa kuilinda na kuitetea Katiba, ambayo ndani haki zetu za kuishi, kufanya kazi na mali zetu vimebainishwa wazi.

Tutashinda uovu huu nao kwa msaada wa MUNGU wetu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom