Cybercrime
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 3,246
- 1,113
Rais wa hovyo kabisa kunaumuhimu wa kuanza mazoezi ya judo kuekekea 2015.
sipati picha na yale Makengeza, hiyo judo ataipigaje.
Rais wa hovyo kabisa kunaumuhimu wa kuanza mazoezi ya judo kuekekea 2015.
Haya drama ingine kutoka kwa Dr.Slaa sasa sijui Bavicha watafuata yapi ya Lema au Dr.Slaa.
Siungi mkono alichosema Kikwete,ninalaani!ila nawaomba vyama upinzani waache vurugu tuone hao CCM,watamchokonoa nani
Yote ni mamoja!Haya drama ingine kutoka kwa Dr.Slaa sasa sijui Bavicha watafuata yapi ya Lema au Dr.Slaa.
CHADEMA wajanja sana wanataka tumia huo mwanya kuua watu.
Huyu nae akamatwe
Nitaakikisha nchi haitawaliki Dr.W.Slaa1. itaichukua Tanzania siku 100 kupata katiba mpya
2. Tanzania itageuka kuwa nchi ya viwanda ndani ya mwaka mmoja
3. CHADEMA ikiingia ikulu mfuko wa saruji th. 5000
4. mabomba ya gezi yanajengwa kutoka mtwara kwenda Ulaya
5. nchi haitatawalika
Unaweza kuongezea upu.pu wa huyu Askofu.
View attachment 139689
Anayetangaza kila uchao kuwa nchi haitatawalika sio huyu huyu slaa??
miluzi mingi ilimpoteza mbwa.navyo wafahamu cdm kila kiongoz atatoa tamko
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu, alipoulizwa kama kauli ya rais inaashiria Jeshi la Polisi limeshindwa kutekeleza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania na pia kama si uchochezi wa wazi, alisema hajapata taarifa hizo wala kusikia, na kwamba atafanyia kazi ajue kama alichoelezwa kimetamkwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa.
"Mimi ndiyo kwanza ninasikia kutoka kwako, wewe ndiyo unaniambia, ngoja nifuatilie nijue kama kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa CCM," alisema IGP Mangu.
Ninalaani kauli ya slaa kuwa nchi haitatawalika. Ninalaani kauli ya nasari kuwa kaskazini ijitenge. Kikwete washughulikie sasa hivi haraka hawa wahainiSiungi mkono alichosema Kikwete,ninalaani!ila nawaomba vyama upinzani waache vurugu tuone hao CCM,watamchokonoa nani
Siungi mkono alichosema Kikwete,ninalaani!ila nawaomba vyama upinzani waache vurugu tuone hao CCM,watamchokonoa nani
Dr.Slaa yaani nyie mnawapiga mapanga raia na kuwamwagia tindikali muachwe tu.
mzinz akichapiwa huumia sana
Acha ujinga wewe, hakuna raia mwema anayeua wananchi kwenye chaguzi.Ninawasiwasi na utendaji wa IGP Ernest Mangu, kwanza anataka kutuamin isha ya kuwa hajasikia kauli hii ya uchochezi kutoka kwa AMIRI JESHI MKUU. Je hana wanausalama wanaoripoti kwake ama watendaji wengine wanaomshauri?
Vilevile anataka kutudanganya ya kuwa mara akidhibitisha ya kuwa kauli hiyo ilitolewa na RAIS basi atachukua hatua za kisheria. Sasa tumebaini kumbe hata IGP Mangu ni pandikizi la CCM maaliumu kwa kulinda uhalifu wao. Sasa sisi RAIA WEMA sijui kimbilio la usalama wetu lipo wapi?
Atakaethubutu kumkamata Dr. W. Slaa nani!? wathubutu waone patakavyovurugika hapa.
Siungi mkono alichosema Kikwete,ninalaani!ila nawaomba vyama upinzani waache vurugu tuone hao CCM,watamchokonoa nani