Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Dr Slaa hajaanguka kisiasa kwani siasa alikwisha achana nayo kitambo, mwacheni mzee afanye mambo yake, hakuna kati yetu wa kumuhemelea msosi, Kila mmoja apambane na hali yake
 
Hivi mnadhani supermarket Za Canada ni sawa na za Hapa bongo?

Huo mshahara wake wenyewe hata hakuna mfanyakazi wa bongo anaweza ufikia.....
Hatuongelei mshahara yunaongelea heshima Na hadhi ya mhusika.
Mbona huko huko majuu kusafisha wazee makalio baada ya kujisaidia kunalipa????
Dr.Mihogo wako kwishney
Yote hayo yule mama Sijui alimtoaga wapi .Anampotosha sana
 
Waswahili tuna msemo wetu wa..'kazi ni kazi, ilimradi mkono uende kinywani'; yaani haitakiwi mtu kuchagua kazi, kikubwa kazi husika iwe halali na iwe inakulipa.

Kama kichwa habari kinavyosema kuwa, Dk. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA amepewa ajira ya afisa mauzo wa supermarket huko Canada, je, hii tuite kupanda na kuangakuka kisiasa kwa Dk. Slaa?

Itakumbukwa pia, Dk. Slaa aliwahi kuwa Rais wa bodi ya hospitali ya CCBRT, ya jijini Dar Es Salaam.

View attachment 627742

Halafu watu kwenye nchi maskini, wanaofanya kazi moja moja wanalalamika hela inabana.
 
Amechoka kushindia mihogo, aende Roma atubu arudie upadre then akafundishe seminari anaweza kuwa mwalimu mzuri sana wa Theology
Yule sasa ni mlei (raia) maamuma hawezi tena maana upadre alivuliwa kwa taratibu zote za kikatoi
 
Ukweli utabaki pale pale!!
Chadema itawachukua miaka mingi kupata Katibu Mkuu kama Dr Slaa! Nafikiri wanaomkejeli Dr slaa wanashida ya ufahamu.
 
Nakukatalia katakata. Mbowe asingeweza kuuza chama. You're very good and busy as well in terms of propagation!
Hata ingekua wewe usingekataa hana uchungu sio chake cha baba mkwe na bado yeye ameendelea kua na hisa alafu ni bado mwenyekiti kuna hasara gani kwa bl 10 za bure!
 
Amechoka kushindia mihogo, aende Roma atubu arudie upadre then akafundishe seminari anaweza kuwa mwalimu mzuri sana wa Theology

Ninyi ndiyo wakutubu siyo yeye......
Kwa malipo yake ana sita hiki anazopata hutaweza kuzipata Tanzania mpaka unakufa
 
Halafu watu kwenye nchi maskini, wanaofanya kazi moja moja wanalalamika hela inabana.
M/Kijiji hatufanyi kazi moja ndio maana tunafuga, tunalima, biashara ..... ila utamaduni wa kuajiliwa sehemu mbili tatu etc hakuna na nidhani ni kwa vile sehemu za kukuajili hazipo
 
Tz alikuwa anakula mihogo nadhani kwa jinsi vyuma vilivyokaza kwa wadhamani wake wa hapa nchini, basi huko alikuwa anakula makombo.
Lakini hongera yake, walau mkono uende kinywani. Kazi kazi.

Huku hata chakuka anachokula mbwa wake wewe huwezi kukinunua....
 
This is a very cheap lies and unfounded. At his age and if he has been accepted as a immigrant than it must have been on conditions of his qual8fications and the possibilities of getting employment in his profession. If his was accepted as a refugee and at his age , he will be provided with pension or living allowances and a house.

Hizi ni siasa za maji taka
 
205.jpeg
Ni jambo la kawaida..
from hero to zero

zile pesa alizopewa na ccm kuuvuruga upinzani angefungua beshara hapa tz angekuwa mbali kweli!! sasa kule yule mchumba mzee amekula pesa zote sasa utakuta yeye mchumba analea wazee na mume anauza pampaz dhambi za usaliti hazijamuacha salama alisaliti upadre akamsaliti rose kamili akatusaliti watanzania na kutuletea matatizo mazito tuliyoayo sasa ............... na sasa mungu naye amemgeuzia kibao ameanza kumtendea miujiza suun atakaa barabarani akicheza sindimba na mkewe ili wachangiwe pesa za pango😛😛😛😛😛😛😛



JUST JOCKING
 
Mnafikiri supermarket za majuu ni sawa na za kwemu hizi mnawapa mishahara midogo wafanyakazi wenu na bado muwalimbikizie mishahara yao ...kule unakuta analipwa kwa saaa au dola kama elfu 5 ...na hio anaifanya tu basi uzee ndo ule umebisha hodi kwake kwani ana nini cha kupoteza
 
This is a very cheap lies and unfounded. At his age and if he has been accepted as a immigrant than it must have been on conditions of his qual8fications and the possibilities of getting employment in his profession. If his was accepted as a refugee and at his age , he will be provided with pension or living allowances and a house.

Hizi ni siasa za maji taka
Hey there, boss! Having a lot of "ifs" won't change the truth! He is a very good shopkeeper out there in Canada! Saskatchewan in particular! Hahahahahaa!
 
Back
Top Bottom