MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
Hatuongelei mshahara yunaongelea heshima Na hadhi ya mhusika.
Mbona huko huko majuu kusafisha wazee makalio baada ya kujisaidia kunalipa????
Dr.Mihogo wako kwishney
Yote hayo yule mama Sijui alimtoaga wapi .Anampotosha sana naye amekuwa kama ZUZU
unajua kuna wanawake wengine ukimwangalia tu uson unajua haoa kazi ipo !kifupi yule mama ana akili zaid ya slaa !na ni macho juu juu mama wa kimujini !kwisha kazi yake