Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Hongera Dr Slaa kazi ndio uhai wa binadamu.
 
Nyie mnalitazama kisiasa. Mimi naliona kiroho zaidi...
Mungu ni Mungu tu
 
CCM Mungu anawaona mjue! Hata ubunge tu mmeshindwa kumpa?
 
Alichosoma Dr. Slaa mara nyingi ni vigumu kupata ajira kwenye maisha yetu ya kawaida. Yeye kasomea upadri hiyo ndo kama degree ya kwanza. Phd yake ni ya sheria za kanisa. Sheria za kanisa zitakupa ajira gani nje ya kanisa na siasa?

Hivyo employeability yake inakuwa shakani.

Hata hivyo siamini alicho kisema sababu hii familia ilipiga pesa ndefu.
 
Atakuwa anafungua maboksi na kupanga bidhaa kwenye shelf au shelves kwani Sales Associate au kwa Kiswahili "Afisa Mauzo" ni cheo cha chini supermarket baada ya cleaner. Nothing glamorous at all about it. Ni mwendo wa "minumum wage".
 
zile pesa alizo hongwa na chama chakavu zimeisha au naye alidhulumiwa kama profesa lipumbavu
 
Mwacheni afanye kazi, kwani nyie mlitaka mumpatie kazi gani mliyoona inafaa
 
Afadhali ya huyo anayefanya kazi supermarket, kuna mwanasiasa mmoja anaitwa mutungirehi, yy alipokosa ubunge akabaki kuzurura tu hapa mjini na kupiga kelele kwenye madadala!!!
 
Back
Top Bottom