kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
Nenda kwa muda wako kwa kiongozi wa ufipa atakuonyesha!Leta nakala ya risiti. Laa sivyo, kipara chako ni kovu - sugu!
Nenda kwa muda wako kwa kiongozi wa ufipa atakuonyesha!Leta nakala ya risiti. Laa sivyo, kipara chako ni kovu - sugu!
Anaweza kurudi tukiwa na moyo wa kusameheanaatauza mpaka maandazi na vitumbua. anaikumbuka Chadema kwa sasa lakini keshanyea kambi atarudije?
Hivi yupo humu JF, aje atupe ujuzi wake humu, tunaogopa kwenda kuanza kuokota chupa za majiHalafu utashangaa akiwa humu JF anawakejeli wasomi wanaolalamika kukosa ajira hapa Tanzania kwa kuwaambia watumie usomi wao kujiajiri wakati yeye mwenyewe ameajiriwa.
Mkuu wangu, weye si muongo ila umeandika uongo.Nenda kwa muda wako kwa kiongozi wa ufipa atakuonyesha!
Ukweli anao chairman!Mkuu wangu, weye si muongo ila umeandika uongo.
Hakupata bili 50,aliwekewa kwenye akaunti 2b alivyoenda kuchota akakuta milioni 2!akauliza why akaambiwa aliyeweka 2b anasema alikosea sifuri 3,Dr. alilia sana lakini tayari alishajiuzuru.chezea sisiyem
50,000,000,000/=Unaijua billioni 50 ?
Nakukatalia katakata. Mbowe asingeweza kuuza chama. You're very good and busy as well in terms of propagation!Ukweli anao chairman!
Kwa kiswahili fasaha, Dr.Slaa ameajiriwa kuuza duka la mtu huko Canada. Ni muuza duka.
Hongera Dr.Slaa.











"Wilbroad is a shopkeeper"Umri ule akasome nini mkuu? Labda akasome magazeti.si alisema anaenda kusoma nadhani hiyo anafanya internship
Kwa kiswahili fasaha, Dr.Slaa ameajiriwa kuuza duka la mtu huko Canada. Ni muuza duka.
Hongera Dr.Slaa.
atauza mpaka maandazi na vitumbua. anaikumbuka Chadema kwa sasa lakini keshanyea kambi atarudije?
hahahahha my ribs !au twende tukale mahwange kuluhunga!Hahahahahaa! Karibu Mibikimitaali. Mwambie semegi unakuja kuwasalimia "vanyalukolo"!
Ndiyo mkuu. Wamempa na tisheti imeandikwa mgongoni "WAZEE KUKUMBUKA"!hivi wazungu wanaajiri wazee wa miaka 70?
Nimewazaaa muda huu anakimbiza mende kwenye shelfu Mara Sijui bidhaa zimepunguaaKipindi kile cha 2015 Mkewe alisema wanategemea kurejea nchini Tanzania kuja kuanzisha taasisi kubwa sana ya shule za kisasa za kimataifa ili Dr.Slaa awe mkurugenzi. Sasa sijui hilo wazo limeyeyukia wapi?
Maana hilo wazo lingemfaa zaidi Dr.Slaa kuliko hilo la kuuza duka.
Kiasili Dr.Slaa ni Mwanasiasa, Mwanathiologia na Msomi wa falsafa, uwanja wake wa kazi ulipaswa uwe Siasa, Dini au Elimu.
Sasa biashara ya kuuza duka ni kumtesa kisaikologia na kumshosha kimwili na kiakili. Kitaalamu sio sahihi kabisa kwa mtu mwenye umri wa Dr.Slaa(Zaidi ya Miaka 60) kudandia ajira ambazo hakuwahi kujifunza au kuzifanya akiwa kijana.