Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Dk. Slaa aajiriwa supermarket

The average salary for a Sales Manager/Officer is $60,063 kwa mwaka in Canada ambayo ni dola elfu 5 kwa mwezi
Kama milioni 11 na ushee kwa mwezi....
Endeleeni kusema kafulia
 
Kwa vyovyote vile Dr.Slaa huenda atakuwa ameshinikizwa na mkewe kufanya hiyo kazi. Yule mkewe sio wa mchezo mchezo aisee, sijui kamlisha nini yule mzee?

Na unaweza kushangaa mkewe ametulia zake ndani bila kazi huku akitafuna mkwanja wa jasho la Dr.Slaa bila huruma.

Mshumbusi Mungu anakuona aisee!
Kazi ipo kwa Dr.Slaa
 
Hakupata bili 50,aliwekewa kwenye akaunti 2b alivyoenda kuchota akakuta milioni 2!akauliza why akaambiwa aliyeweka 2b anasema alikosea sifuri 3,Dr. alilia sana lakini tayari alishajiuzuru.chezea sisiyem
hahaha
 
CCM wamempa wakati mgumu sana Dr. Wetu, kurudi anaona aibu kwamba ataangaliana vipi na wapinzani hasa CHADEMA ambao 99% walikuwa na imani kubwa mno - kawasaliti kwa visingizio ambavyo ki-mantiki havina mashiko.

Sasa inabidi tu aishi huko uhamishoni ingawa anawamisi sawa watu wa jimboni kwake karatu, amefikia hatua hata kushindwa kutoa comments juu ya shambulio la Lissu kumbuka DR. na Lissu walifanya kazi kwa ukaribu mno wakati wa ujenzi wa CHADEMA ni msingi. - Mikakati mingi ilipagwa ha hawa wawili, sasa iweje leo yupo kimyaaa!!

CCM wamempa wakati mgumu sana.
 
50bil ishakata? Angebaki hapa halafu akajenga kiwanda cha hizo bidhaa za majumbani si angefanya exportation mpaka huko Canada kwenye hiyo min supermarket? 50bil si haba hasa kwa MTU wa rika lile.
Anazo sasa!?
 
The average salary for a Sales Manager/Officer is $60,063 kwa mwaka in Canada ambayo ni dola elfu 5 kwa mwezi
Kama milioni 11 na ushee kwa mwezi....
Endeleeni kusema kafulia

Kama ndiyo hiyo anapata, heri arudi nyumbani apate milioni 3 ili aishi karibu na ndugu jamaa na marafiki kuliko kuishi huko kwenye mahela mengi halafu hana amani na uhuru, kumbuka kuwa karibu na ndugu/jamaa zako hata kama unapata kidogo ni amani tosha. Isitoshe, hiyo milioni 11 ni hela ya kawaida sana kwa kule. Heri arudi nyumbani mzee wetu acheze na wajukuu zake na kucheza bao na kunywa gahawa.
 
Daktari ni msomi na alikuwa katibu mkuu wa chadema.
Naomba kujuzwa. .. Huko canada yuko kama mkimbizi au anasoma..??kama ni mkimbizi ni makosa gani kayafanya na kama anasoma kwa nini asipewe mkopo..
 
Hawa Wabongo wanaomponda Dr kufanya kazi supermarket utafikiri kila mtu ana mshahara au kazi ya maana! Wengi mshahara hata 1m haufiki!
 
The average salary for a Sales Manager/Officer is $60,063 kwa mwaka in Canada ambayo ni dola elfu 5 kwa mwezi
Kama milioni 11 na ushee kwa mwezi....
Endeleeni kusema kafulia[/quotes]
anasave kiasi gani baada ya matumizi?? ujue ana watoto huku kawatelekeza alizaa na waumini wake,
 
Kwa vyovyote vile Dr.Slaa huenda atakuwa ameshinikizwa na mkewe kufanya hiyo kazi. Yule mkewe sio wa mchezo mchezo aisee, sijui kamlisha nini yule mzee?

Na unaweza kushangaa mkewe ametulia zake ndani bila kazi huku akitafuna mkwanja wa jasho la Dr.Slaa bila huruma.

Mshumbusi Mungu anakuona aisee!
Sio lazima awe kamlisha kitu kupitia mdomoni Mkuu,
Wanawake wana mbinu nyingi sana za kumteka Mwanaume ikiwemo hata Kitandani,
Umpate Mwanamke aliefundwa akafundika mbona unaweza kujenga kwao hata Ghorofa wakati kwenu Mama yako analala ndani ya Kibanda cha nyasi.
 
Waswahili tuna msemo wetu wa..'kazi ni kazi, ilimradi mkono uende kinywani'; yaani haitakiwi mtu kuchagua kazi, kikubwa kazi husika iwe halali na iwe inakulipa.

Kama kichwa habari kinavyosema kuwa, Dk. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA amepewa ajira ya afisa mauzo wa supermarket huko Canada, je, hii tuite kupanda na kuangakuka kisiasa kwa Dk. Slaa?

Itakumbukwa pia, Dk. Slaa aliwahi kuwa Rais wa bodi ya hospitali ya CCBRT, ya jijini Dar Es Salaam.

View attachment 627742
Safi sana.Afanye kazi ili asije Nyang'anywa na wazungu Kipenzi chake kilichomtorosha nchi
 
The average salary for a Sales Manager/Officer is $60,063 kwa mwaka in Canada ambayo ni dola elfu 5 kwa mwezi
Kama milioni 11 na ushee kwa mwezi....
Endeleeni kusema kafulia
Mbona hujaweka na GHARAMA ZA MAISHA (KULA, MATIBABU NA USAFIRI), KODI ANAZOLIPA, etc
 
Waswahili tuna msemo wetu wa..'kazi ni kazi, ilimradi mkono uende kinywani'; yaani haitakiwi mtu kuchagua kazi, kikubwa kazi husika iwe halali na iwe inakulipa.

Kama kichwa habari kinavyosema kuwa, Dk. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA amepewa ajira ya afisa mauzo wa supermarket huko Canada, je, hii tuite kupanda na kuangakuka kisiasa kwa Dk. Slaa?

Itakumbukwa pia, Dk. Slaa aliwahi kuwa Rais wa bodi ya hospitali ya CCBRT, ya jijini Dar Es Salaam.

View attachment 627742

Doctorate yake ya Theology imeshindwa Kumkomboa na Yeye ameshindwa kuitumia kweli mpaka aende kufanya Kazi za Kiwango cha chini kabisa cha Hadhi yake?
 
Back
Top Bottom