Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Kalaghabahooooo!!!! Unafikiri anapenda kwenda kuosha vyombo na uzima ule ulaya...ulaya.. . Hapendi apumzike na kucheza wajukuu umri huu?? Unafikiri kijana yule eti anatafuta maisha ulaya??? Jiongezee kidogo tu....ni unafiki ule unamfanya awe kama popo sasaa!!!!
Huiajibu hoja yangu thibitisha uliloliandika siyo kumshambulia bila hoja makini thibitisha yoyote yule anapaswa kufanya kazi na ale arifuuuu no more no less
 
Kipindi kile cha 2015 Mkewe alisema wanategemea kurejea nchini Tanzania kuja kuanzisha taasisi kubwa sana ya shule za kisasa za kimataifa ili Dr.Slaa awe mkurugenzi. Sasa sijui hilo wazo limeyeyukia wapi?
Maana hilo wazo lingemfaa zaidi Dr.Slaa kuliko hilo la kuuza duka.

Kiasili Dr.Slaa ni Mwanasiasa, Mwanathiologia na Msomi wa falsafa, uwanja wake wa kazi ulipaswa uwe Siasa, Dini au Elimu.
Sasa biashara ya kuuza duka ni kumtesa kisaikologia na kumshosha kimwili na kiakili. Kitaalamu sio sahihi kabisa kwa mtu mwenye umri wa Dr.Slaa(Zaidi ya Miaka 60) kudandia ajira ambazo hakuwahi kujifunza au kuzifanya akiwa kijana.
 
50bil ishakata? Angebaki hapa halafu akajenga kiwanda cha hizo bidhaa za majumbani si angefanya exportation mpaka huko Canada kwenye hiyo min supermarket? 50bil si haba hasa kwa MTU wa rika lile.
Kodi za kule si lelemama na ukimuajiri hata house girl lazima umpe mshahara kulingana na kiwango kilichowekwa nk.. Na kila kitu lazima kiwe na bima
 
Hakupata bili 50,aliwekewa kwenye akaunti 2b alivyoenda kuchota akakuta milioni 2!akauliza why akaambiwa aliyeweka 2b anasema alikosea sifuri 3,Dr. alilia sana lakini tayari alishajiuzuru.chezea sisiyem
Akome. Ina maana hana tofauti na wale madiwani wake waliohongwa kule shinyanga na arusha kisha wakaambulia hewa na ahadi zisizotekelezeka hadi leo? Mungu hajawahi kumuacha mnafiki kavimbiwa kwa shibe hata mara moja! Ukome dr wa mihogo kwa unaa wako!
 
Hivi kuishi na kujinasibu unafanyakazi Canada no ujanja au ujinga...

Dr mzima unakosa uzalendo kujenga uchumi wa nchi yako, unaumia na baridi unaishi maisha ya dhiki ya kujificha halafu unaibuka unautangazia umma upuuzi?

elimu itakukomboa endapo utaishi kwenye mstar mnyofu...Kama wee in MTU wa mungu ungesema ukweli tu..hivi ni kweli lowasa Ana dhambi kuu awe sababu unayotamba nayo.

Huwezi kututoa mitandaoni. binadam Ana roho mby Sana huyu...unashindwaje kujua baada ya uhai wako utaishia mavumbini? vipi usije kufanyakaz umma uliokusomesha?
 
Hata kama ndio angekuwa mhudumu mradi kodi ya kulipa pango na mama mushumbusi na mtoto wao wanaishi haina haja ya kumjadili ndivyo alivyoamua kuishi kusema amepanda au ameshuka haina mashiko ili hali yeye alishatangaza kuachana na unafiki wa kisiasa!
 
Hivi kuishi na kujinasibu unafanyakazi Canada no ujanja au ujinga...

Dr mzima unakosa uzalendo kujenga uchumi wa nchi yako, unaumia na baridi unaishi maisha ya dhiki ya kujificha halafu unaibuka unautangazia umma upuuzi?

elimu itakukomboa endapo utaishi kwenye mstar mnyofu
Karma is bitch... Where is lipumba now
 
Hivi kuishi na kujinasibu unafanyakazi Canada no ujanja au ujinga...

Dr mzima unakosa uzalendo kujenga uchumi wa nchi yako, unaumia na baridi unaishi maisha ya dhiki ya kujificha halafu unaibuka unautangazia umma upuuzi?

elimu itakukomboa endapo utaishi kwenye mstar mnyofu
Karma is bitch... Where is lipumba now
 
Funika kombe..unafiki tu huo kucheza na akili za watu.
 
Hata kama ndio angekuwa mhudumu mradi kodi ya kulipa pango na mama mushumbusi na mtoto wao wanaishi haina haja ya kumjadili ndivyo alivyoamua kuishi kusema amepanda au ameshuka haina mashiko ili hali yeye alishatangaza kuachana na unafiki wa kisiasa!
mmemfanya kitu kibaya sana mjue... Mungu anawaona
 
Hivi mnadhani supermarket Za Canada ni sawa na za Hapa bongo?

Huo mshahara wake wenyewe hata hakuna mfanyakazi wa bongo anaweza ufikia.....
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hivi mnadhani supermarket Za Canada ni sawa na za Hapa bongo?

Huo mshahara wake wenyewe hata hakuna mfanyakazi wa bongo anaweza ufikia.....
Wala sio kitu cha maana sana kuwa muuza duka huko Canada. Ndio kazi za kawaida sana za watu wa kipato cha chini wanazozifanya huko. Waafrika wengi waliokimbilia huko ndio kazi zao. Hazihitaji usomi wala utaalamu.
 
Hivi mnadhani supermarket Za Canada ni sawa na za Hapa bongo?

Huo mshahara wake wenyewe hata hakuna mfanyakazi wa bongo anaweza ufikia.....

Ni kweli kabisa, mshahara wake ni mkubwa sana ukilinganisha na mshahara wa mtu wa nafasi kikazi kama yeye kwa nchi za Afrika. Lakini kumbuka kuwa, kule maisha ni a ghali sana. The more you earn the more you're forced to pay.
 
Back
Top Bottom