Zanzibar 2020 DK. Hussein Mwinyi ndiye anayefaa kupewa urais Zanzibar, anazo sifa za kuulinda Muungano

Deogratias Mutungi

Senior Member
Oct 1, 2019
137
179
Mantiki ya kisiasa inaonyesha Dkt. Hussein Mwinyi ana weledi, busara na nidhamu za kuulinda muungano bila nongwa yoyote, aidha ni mwaminifu na myenyekevu anayeshauriwa na kusikiliza, kwa sifa hizo anastahili kupewa nchi kupitia sanduku la kura hapo Oktoba 28, Wanazanzibari kwa umoja wenu mchagueni Dk. Mwinyi aendeleze na kudumisha misingi ya Mwl. Nyerere na Karume ya kuona Muungano unastawi na kuwa bora zaidi, Aidha Dkt. Mwinyi anauchungu na Muungano na anajua dhamani yake, kuliko viongozi wengineo wanao omba ridhaa ya kupewa kiti cha urais.​

Muungano upo salama mikononi mwa Dkt. Mwinyi endapo mtampa ridhaa ya kuwatumikia, lakini Muungano upo mashakani endapo kura atapewa kiongozi yoyote yule zaidi ya Mwinyi, ni rai ya andiko hili kuwaombeni wana wapendwa wa Zanzibar kumchagueni Dkt. Mwinyi hili Muungano, Amani, Maendeleo na uchumi wa watu na vitu viboreshwe zaidi, aidha tumuamini, tumtume na kumuombea kwa maslahi ya taifa la Zanzibar.​

Dkt. Hussein Mwinyi anao uwezo, nia, upeo na utayari wa kuwatumikia wanazanzibari kuliko mgombea yoyote yule kwa sasa ndani ya visiwa vya Zanzibar, hivyo imani ya kuiona Zanzibar mpya itawale vichwani mwetu na tutambue ipo njiani, ni imani ya andika hilo kuwa ubora wa Dkt. Hussein Mwinyi utamfanya ashinde kiti cha urais dhidi ya Bwana Maalim Seif Shariff Hamad, Bila shaka hata bwana Maalim analitambua hilo kutokana na upekee wa sifa alizo nazo Dkt. Hussein Mwinyi, Myonge myongeni lakini haki yake mpeni.​
 
Mantiki ya kisiasa inaonyesha Dkt. Hussein Mwinyi ana weledi, busara na nidhamu za kuulinda muungano bila nongwa yoyote, aidha ni mwaminifu na myenyekevu anayeshauriwa na kusikiliza, kwa sifa hizo anastahili kupewa nchi kupitia sanduku la kura hapo Oktoba 28, Wanazanzibari kwa umoja wenu mchagueni Dk. Mwinyi aendeleze na kudumisha misingi ya Mwl. Nyerere na Karume ya kuona Muungano unastawi na kuwa bora zaidi, Aidha Dkt. Mwinyi anauchungu na Muungano na anajua dhamani yake, kuliko viongozi wengineo wanao omba ridhaa ya kupewa kiti cha urais..​
Alokwambia wazanzibari wana shida ya muungano nani ? Watu wanakufa njaa, maisha magumu unadhani nani atakufahamu ukimuelezea kulinda muungano. Acheni ulofa bana!
 
Iwe ni Mwinyi au Maalim;

Nawaambia WaZanzibar siku zote, Nchi yenu ilipaswa kuwa mfano (economic hub) kwa east and south Africa. Kama mtaendelea kuwa na Viongozi wasio na ujasiri wa nini kifanyike at a given time, mtaendelea kulia kila siku mnatawaliwa.

Kuulinda Muungano sio kulea madhaifu ya Muungano hata kama upande Fulani utaudhika. Muungano ninlazima uwe na manufaa yanayoonekana sio ya kufikirika, kwa pande zote.

Zanzibar Hanna Uhuru wa kusema wala kuamua, mna Uhuru wa kulalamika tu na baadae mnapozwa kishkaji. Hili lisingewezekana kama mngekuwa na mamlaka kamili (sovereignty).
Jiangalieni, mna tofauti gani na Slave state au protected state.

Zanzibar mna future iliyo hai lakini mnaongozwa na mioyo iliyokufa sidhani kama mtafika. You will always be under the mercy of other people who will think for you.
 
Waasisi wa Muungano huu wa Tanganyika na Zanzibar ulipoundwa hawakuwashirikisha wala kuwauliza wananchi wa pande zote mbili za muungano.

ingelikuwa vizuri sana serikali ikaitisha kura ya maoni ya kuwauliza wananchi wanautaka muungano huu uendelee au basi.
kwa sababu malalamiko ya wananchi juu ya muungano huu yamezidi kushika kasi.

NA HAYATI MZEE ABEDI KARUME ALISEMA :) Muungano ni kama koti likikubana unalivua:eek::mad:
 
Mantiki ya kisiasa inaonyesha Dkt. Hussein Mwinyi ana weledi, busara na nidhamu za kuulinda muungano bila nongwa yoyote, aidha ni mwaminifu na myenyekevu anayeshauriwa na kusikiliza, kwa sifa hizo anastahili kupewa nchi kupitia sanduku la kura hapo Oktoba 28, Wanazanzibari kwa umoja wenu mchagueni Dk. Mwinyi aendeleze na kudumisha misingi ya Mwl. Nyerere na Karume ya kuona Muungano unastawi na kuwa bora zaidi, Aidha Dkt. Mwinyi anauchungu na Muungano na anajua dhamani yake, kuliko viongozi wengineo wanao omba ridhaa ya kupewa kiti cha urais...​
Muungano wa kulinda namna hii ujue hamna muungano hapo ni ndoa ya lazima
 
💃🏽💃🏽💃🏽
Yaani ni 💚💛💚💛💚💛💚

🎶🎶🎶Mbele kwa Mbele...
 
Mantiki ya kisiasa inaonyesha Dkt. Hussein Mwinyi ana weledi, busara na nidhamu za kuulinda muungano bila nongwa yoyote, aidha ni mwaminifu na myenyekevu anayeshauriwa na kusikiliza, kwa sifa hizo anastahili kupewa nchi kupitia sanduku la kura hapo Oktoba 28, Wanazanzibari kwa umoja wenu mchagueni Dk. Mwinyi aendeleze na kudumisha misingi ya Mwl. Nyerere na Karume ya kuona Muungano unastawi na kuwa bora zaidi, Aidha Dkt. Mwinyi anauchungu na Muungano na anajua dhamani yake, kuliko viongozi wengineo wanao omba ridhaa ya kupewa kiti cha urais.​

Muungano upo salama mikononi mwa Dkt. Mwinyi endapo mtampa ridhaa ya kuwatumikia, lakini Muungano upo mashakani endapo kura atapewa kiongozi yoyote yule zaidi ya Mwinyi, ni rai ya andiko hili kuwaombeni wana wapendwa wa Zanzibar kumchagueni Dkt. Mwinyi hili Muungano, Amani, Maendeleo na uchumi wa watu na vitu viboreshwe zaidi, aidha tumuamini, tumtume na kumuombea kwa maslahi ya taifa la Zanzibar.​

Dkt. Hussein Mwinyi anao uwezo, nia, upeo na utayari wa kuwatumikia wanazanzibari kuliko mgombea yoyote yule kwa sasa ndani ya visiwa vya Zanzibar, hivyo imani ya kuiona Zanzibar mpya itawale vichwani mwetu na tutambue ipo njiani, ni imani ya andika hilo kuwa ubora wa Dkt. Hussein Mwinyi utamfanya ashinde kiti cha urais dhidi ya Bwana Maalim Seif Shariff Hamad, Bila shaka hata bwana Maalim analitambua hilo kutokana na upekee wa sifa alizo nazo Dkt. Hussein Mwinyi, Myonge myongeni lakini haki yake mpeni.​
Tanganyika tunafaidikaje na muungano huu?
 
Waasisi wa Muungano huu wa Tanganyika na Zanzibar ulipoundwa hawakuwashirikisha wala kuwauliza wananchi wa pande zote mbili za muungano.
ingelikuwa vizuri sana serikali ikaitisha kura ya maoni ya kuwauliza wananchi wanautaka muungano huu uendelee au basi.
kwa sababu malalamiko ya wananchi juu ya muungano huu yamezidi kushika kasi.

NA HAYATI MZEE ABEDI KARUME ALISEMA :) Muungano ni kama koti likikubana unalivua:eek::mad:
Na Karume alipotaka kulivua koti, akavuliwa uhai
 
Mantiki ya kisiasa inaonyesha Dkt. Hussein Mwinyi ana weledi, busara na nidhamu za kuulinda muungano bila nongwa yoyote, aidha ni mwaminifu na myenyekevu anayeshauriwa na kusikiliza, kwa sifa hizo anastahili kupewa nchi kupitia sanduku la kura hapo Oktoba 28, Wanazanzibari kwa umoja wenu mchagueni Dk. Mwinyi aendeleze na kudumisha misingi ya Mwl. Nyerere na Karume ya kuona Muungano unastawi na kuwa bora zaidi, Aidha Dkt. Mwinyi anauchungu na Muungano na anajua dhamani yake, kuliko viongozi wengineo wanao omba ridhaa ya kupewa kiti cha urais.

Muungano upo salama mikononi mwa Dkt. Mwinyi endapo mtampa ridhaa ya kuwatumikia, lakini Muungano upo mashakani endapo kura atapewa kiongozi yoyote yule zaidi ya Mwinyi, ni rai ya andiko hili kuwaombeni wana wapendwa wa Zanzibar kumchagueni Dkt. Mwinyi hili Muungano, Amani, Maendeleo na uchumi wa watu na vitu viboreshwe zaidi, aidha tumuamini, tumtume na kumuombea kwa maslahi ya taifa la Zanzibar.

Dkt. Hussein Mwinyi anao uwezo, nia, upeo na utayari wa kuwatumikia wanazanzibari kuliko mgombea yoyote yule kwa sasa ndani ya visiwa vya Zanzibar, hivyo imani ya kuiona Zanzibar mpya itawale vichwani mwetu na tutambue ipo njiani, ni imani ya andika hilo kuwa ubora wa Dkt. Hussein Mwinyi utamfanya ashinde kiti cha urais dhidi ya Bwana Maalim Seif Shariff Hamad, Bila shaka hata bwana Maalim analitambua hilo kutokana na upekee wa sifa alizo nazo Dkt. Hussein Mwinyi, Myonge myongeni lakini haki yake mpeni.no no no​
 
Mantiki ya kisiasa inaonyesha Dkt. Hussein Mwinyi ana weledi, busara na nidhamu za kuulinda muungano bila nongwa yoyote, aidha ni mwaminifu na myenyekevu anayeshauriwa na kusikiliza, kwa sifa hizo anastahili kupewa nchi kupitia sanduku la kura hapo Oktoba 28, Wanazanzibari kwa umoja wenu mchagueni Dk. Mwinyi aendeleze na kudumisha misingi ya Mwl. Nyerere na Karume ya kuona Muungano unastawi na kuwa bora zaidi, Aidha Dkt. Mwinyi anauchungu na Muungano na anajua dhamani yake, kuliko viongozi wengineo wanao omba ridhaa ya kupewa kiti cha urais.

Muungano upo salama mikononi mwa Dkt. Mwinyi endapo mtampa ridhaa ya kuwatumikia, lakini Muungano upo mashakani endapo kura atapewa kiongozi yoyote yule zaidi ya Mwinyi, ni rai ya andiko hili kuwaombeni wana wapendwa wa Zanzibar kumchagueni Dkt. Mwinyi hili Muungano, Amani, Maendeleo na uchumi wa watu na vitu viboreshwe zaidi, aidha tumuamini, tumtume na kumuombea kwa maslahi ya taifa la Zanzibar.

Dkt. Hussein Mwinyi anao uwezo, nia, upeo na utayari wa kuwatumikia wanazanzibari kuliko mgombea yoyote yule kwa sasa ndani ya visiwa vya Zanzibar, hivyo imani ya kuiona Zanzibar mpya itawale vichwani mwetu na tutambue ipo njiani, ni imani ya andika hilo kuwa ubora wa Dkt. Hussein Mwinyi utamfanya ashinde kiti cha urais dhidi ya Bwana Maalim Seif Shariff Hamad, Bila shaka hata bwana Maalim analitambua hilo kutokana na upekee wa sifa alizo nazo Dkt. Hussein Mwinyi, Myonge myongeni lakini haki yake mpeni.​
aka kuulinda ukoloni
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mzaramo wa Mkuranga anagombea vipi wakati yeye si mzawa wa visiwani? Wazanzibar wameuchoka Muungano FAKE kama tulivyouchoka huku Bara.
 
unafiki ni asili ya CCM,akiwa waziri Zanzibar ilipitia kwenye matatizo makubwa ikiwepo hilo analosema. Aseme aliwahi kuchukua hatua gani. Nakumbuka mwanasheria wa Zanzibar alipoteza cheo chake kwa kupigania haki ya wazanzibar,yeye kipindi hicho alikuwa anakula kuku kwa mlija akiwa pande zipi
 
Back
Top Bottom