Nilisikia TBC jana wanasema Makamu wa Rais alikuwa Rukwa huko ziarani akafika mahali barabara zikawa mbovu sana ikabidi wamletee helkopta ya polisi asafiri nayo. kwa kuwa yeye ni kiongozi na wao serikali yao ndio imetufikisha hapa angepaswa kusafiri kwa barabara kama walivyokuwa wamepanga aone shida za watu. Kukwepa na kuagiza helkopta iletwe ni usaliti na sii uongozi bora