mkomatembo
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 1,477
- 819
Mkuu utafute ule uzi hapa JF aliouleta Hutaki Unaacha.
Inasemekana Bilali yuko Kundi la EL, Shein pia aliwekwa na kundi hili na Karume pia analikubali.
If that being the case, is it Plan B ya EL kuwa Bilali achukue Nchi na EL awe Makamu wa Rais? Then baada ya Muda Bilali ajiuzulu kwa sababu yoyote ikiwemo Uzee ila EL achukue Nchi?
Watch out kipengele hicho kitakuwaje katika katiba mpya.
Great Thinker .....