🐕🦺🦮Diwani wa Kata wa Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani Mhandisi Mohamed Kilumbi, amesema kuwa Kata ya Mbuyuni wilayani humo inakabiriwa na upungufu mkubwa wa Condom na kuiomba kamati ya kupambana na UKIMWI kuchukulia kwa uzito jambo hilo na kuharakisha kuzipeleka.
View attachment 2008870
Kondomu sio bidhaa ya biashara sawa na pamna za wanawake? Wafanya biashara hawawezi kuzipata na kuweka madukani mtaani?Diwani wa Kata wa Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani Mhandisi Mohamed Kilumbi, amesema kuwa Kata ya Mbuyuni wilayani humo inakabiriwa na upungufu mkubwa wa Condom na kuiomba kamati ya kupambana na UKIMWI kuchukulia kwa uzito jambo hilo na kuharakisha kuzipeleka.
View attachment 2008870
30% Mahanithi?, Mbona kubwa Sana?. Source ya Takwimu zako ni ipi??.Kila kitu ni haba, wanaume rijali ni 20% 37% ni mashoga, 13% wana low sperms count na 30% mahanithi
Kwa iyo unadhani kutakuwa na maisha bila sex yani safe sex!?Akili yake ni sex tu, typical CCM leader
Kondomu ni muhimu sana kwani inasaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ya magonjwa ya zinaa, uhaba wa kondomu ni hatari kwa afyaKwa iyo unadhani kutakuwa na maisha bila sex yani safe sex!?
Mama wa kupima mitambo anasemajeKondomu ni muhimu sana kwani inasaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ya magonjwa ya zinaa, uhaba wa kondomu ni hatari kwa afya
Atakuwa amefanya utafiti kwenye ukoo30% Mahanithi?, Mbona kubwa Sana?. Source ya Takwimu zako ni ipi??.
Halafu zimeadimika kipindi kibaya, msimu wa likizo kwa vijanaDiwani wa Kata wa Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani Mhandisi Mohamed Kilumbi, amesema kuwa Kata ya Mbuyuni wilayani humo inakabiriwa na upungufu mkubwa wa Condom na kuiomba kamati ya kupambana na UKIMWI kuchukulia kwa uzito jambo hilo na kuharakisha kuzipeleka.
Usisumbuke, siku nyingine hiyo nauli unayotumia kuzunguka mpe bodaboda akakununulie akuleteeHakuna kitu kinanipa shida kma kwenda kununua condom alaf unakuta pharmacy nyingi zinauzwa na wamama umri sawa na mama yang dah ukienda sehem nyngne unakuta mwanaume na mwanamke ila zipo hadharan hapo ukiagiza ni kila mtu anaona unaenda kufungiwa Nini, huwa nazunguka sana had nipate sehem anauza kijana mwzangu na yuko peke yake, alaf nachukua nyingi ili nisirudirudi kutafuta inawezekana Wana wenye tabia kama yangu ndo wamezimaliza wameweka akiba ndani
Hazitakiwi kuadimika, namna ya kupambana na magonjwa ya zinaa ni kinga zitumike ipasavyo ili mwili ulioathirika uwekewe mipaka hii inasaidia hata katika kipindi cha matibabu badala ya kutibiwa watu 1000, basi watibiwe 300.Halafu zimeadimika kipindi kibaya, msimu wa likizo kwa vijana
Analinda watu wake maana amegundua wanabanyana sanaHuyu mhandisi uchwara anawazà kuzini tu.
Unaona ugumu kununua condom jana nipo Pharmacy na wateja wengine kama 4 hivi mwamba kaja anataka huduma haraka apewe viagraa...🤣Hakuna kitu kinanipa shida kma kwenda kununua condom alaf unakuta pharmacy nyingi zinauzwa na wamama umri sawa na mama yang dah ukienda sehem nyngne unakuta mwanaume na mwanamke ila zipo hadharan hapo ukiagiza ni kila mtu anaona unaenda kufungiwa Nini, huwa nazunguka sana had nipate sehem anauza kijana mwzangu na yuko peke yake, alaf nachukua nyingi ili nisirudirudi kutafuta inawezekana Wana wenye tabia kama yangu ndo wamezimaliza wameweka akiba ndani.
Ahahahhah dah alitisha sanaUnaona ugumu kununua condom jana nipo Pharmacy na wateja wengine kama 4 hivi mwamba kaja anataka huduma haraka apewe viagraa...