Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,245
FafanuaHuyu mhandisi uchwara anawazà kuzini tu.
Kweli inahitaji ukauzu flani, ila ukiwazia maisha na afya yako unajilipua tu bila kujali anayeuza au watu waliopo ndani phamacyHakuna kitu kinanipa shida kma kwenda kununua condom alaf unakuta pharmacy nyingi zinauzwa na wamama umri sawa na mama yang dah ukienda sehem nyngne unakuta mwanaume na mwanamke ila zipo hadharan hapo ukiagiza ni kila mtu anaona unaenda kufungiwa Nini, huwa nazunguka sana had nipate sehem anauza kijana mwzangu na yuko peke yake, alaf nachukua nyingi ili nisirudirudi kutafuta inawezekana Wana wenye tabia kama yangu ndo wamezimaliza wameweka akiba ndani
Dah kweli wazalamu shidaDiwani wa Kata wa Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani Mhandisi Mohamed Kilumbi, amesema kuwa Kata ya Mbuyuni wilayani humo inakabiriwa na upungufu mkubwa wa Condom na kuiomba kamati ya kupambana na UKIMWI kuchukulia kwa uzito jambo hilo na kuharakisha kuzipeleka.
View attachment 2008870
Diwani atakuwa na guest House huyuDiwani wa Kata wa Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani Mhandisi Mohamed Kilumbi, amesema kuwa Kata ya Mbuyuni wilayani humo inakabiriwa na upungufu mkubwa wa Condom na kuiomba kamati ya kupambana na UKIMWI kuchukulia kwa uzito jambo hilo na kuharakisha kuzipeleka.
View attachment 2008870
hahahahahhaaHuyu mhandisi uchwara anawazà kuzini tu.
Hakuna kitu kinanipa shida kma kwenda kununua condom alaf unakuta pharmacy nyingi zinauzwa na wamama umri sawa na mama yang dah ukienda sehem nyngne unakuta mwanaume na mwanamke ila zipo hadharan hapo ukiagiza ni kila mtu anaona unaenda kufungiwa Nini, huwa nazunguka sana had nipate sehem anauza kijana mwzangu na yuko peke yake, alaf nachukua nyingi ili nisirudirudi kutafuta inawezekana Wana wenye tabia kama yangu ndo wamezimaliza wameweka akiba ndani
Who did that research? Wote CCM? Interesting data Kama watu wanalimana kwa matako, hiyo hatari au ndiyo maendeleo?Kila kitu ni haba, wanaume rijali ni 20% 37% ni mashoga, 13% wana low sperms count na 30% mahanithi
Nunua pharmacy yoteNunua box uweke stock mzee!
Pole sana, hivi magonjwa yapi bado yapoHakuna kitu kinanipa shida kma kwenda kununua condom alaf unakuta pharmacy nyingi zinauzwa na wamama umri sawa na mama yang dah ukienda sehem nyngne unakuta mwanaume na mwanamke ila zipo hadharan hapo ukiagiza ni kila mtu anaona unaenda kufungiwa Nini, huwa nazunguka sana had nipate sehem anauza kijana mwzangu na yuko peke yake, alaf nachukua nyingi ili nisirudirudi kutafuta inawezekana Wana wenye tabia kama yangu ndo wamezimaliza wameweka akiba ndani
KabisaaaDiwani atakuwa na guest House huyu