Mkulu wawe
Member
- Mar 4, 2020
- 88
- 116
- Thread starter
- #21
Umedanganya mkuuDeogratius Kisandu a.k.a DON kisandu
Umedanganya mkuuDeogratius Kisandu a.k.a DON kisandu
Mkuu ukifanikiwa kupata ID yake nishtue nataka ni pm ili nijue Kama kapunguza bei nikamuoe
Kabisa,sababu mpaka ameamua kuichukua ili watu kibao waisikie pia ,inabd iwe story iliyopangiliwa vizuri na mtu mwenye ability kubwa..Nawasilisha
Tatizo lako ww unajihisi una akili kuliko wengine akati kinyume chake ndo sahihiSawa, kama akili zako zinakwambia Diva ndiyo kipimo cha u-Great Thinker, achana nazo, bila kukaa bila akili kuliko kuwa na akili zinazokudanganya.
Tatizo lako ww unajihisi una akili kuliko wengine akati kinyume chake ndo sahihi
Sina akili kuliko wengine, ila kipimo chako cha uGreat Thinker kuwa Diva ukedhihirisha kwamba akili zako hazina akili.
Washa redio yako usikilize clouds fmSi uziweke hapa
Situmiagi.Washa redio yako usikilize clouds fm
Ok,ngoja nitaletaSitumiagi.
Mkuu niambie..nini kinaendelea huku
Wanakusema chinene wangu kuwa wewe ni diva wa cloudsMkuu niambie..nini kinaendelea huku
Cheki ulivyoruka kiunzi.Wanakusema chinene wangu kuwa wewe ni diva wa clouds