Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Huyu demu pamoja na wapambe wake inaonekana wanaipenda sana JF.
Wakati fulani wakalazimisha kutengeneza bifu kati yake na JF, akatishia kuishitaki JF!! baadae akapiga kimya.
Kuendelea kuleta habari zake hapa ni wazi kwamba amegundua JF ni mahali muafaka kwa kujifanyia "marketing" kuliko blog yake.
Wakati fulani wakalazimisha kutengeneza bifu kati yake na JF, akatishia kuishitaki JF!! baadae akapiga kimya.
Kuendelea kuleta habari zake hapa ni wazi kwamba amegundua JF ni mahali muafaka kwa kujifanyia "marketing" kuliko blog yake.