Diva anaramba koni....

Huyu demu pamoja na wapambe wake inaonekana wanaipenda sana JF.
Wakati fulani wakalazimisha kutengeneza bifu kati yake na JF, akatishia kuishitaki JF!! baadae akapiga kimya.
Kuendelea kuleta habari zake hapa ni wazi kwamba amegundua JF ni mahali muafaka kwa kujifanyia "marketing" kuliko blog yake.
 
wa kawaida sanaaaa...extreeeemly below stds...kama vipi ongeza picha zake za full coverage may b ataongeza credits but to me shes just a crapppppp
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom