Diploma kwenda degree 2016

Diploma kwenda degree 2016

Du mimi nina 2.1 naombeni ushauri nirudie diploma au ntafute kazi ntapata diploma in civil engineering
 
Kuna dogo wa diploma mwaka huu wanamaliza mwezi wa nane na ameomba mkopo bila matokeo ya diploma anaweza pata?.je kuna uwezekano wa kufungua tena maombi ya mkopo hapo baadae?
Mwambie ajaribu kukata rugaa kwa kuongeza academic transcript ya Stashahada muda wa appeals ukifika, wakati ambao atakuwa ameshaanza masomo ya shahada. Asidharau ni lazima appeals ipotie chuoni.
 
Nakutafakari kwa wakati tofauti tofauti....Sikuelewi mpendwa unajambo binafsi au tatizo lako nini haswaa??
Mydear hii ni jukwaa kila mtu ana haki ya kusema chochote ili mradi haendi kinyume cha sheria zilizowekwa.....
Comment yangu kwa huu uzi ni #Loading# imekukwaza nini ndugu yangu??
Hayo mengine ni maswali na majibu ya mimi na wapendwa wenzangu na hayakuhusu hataa
Si bure mpendwa embu ukapime wewe yawezekana kichwani umeme ni mdogo.
Ww n wapendwa wak sjui cmna inbox zenu mkachatie uko...
 
Ww n wapendwa wak sjui cmna inbox zenu mkachatie uko hapa 2na discuss crioz issues...unatoambwa_bandan nn


shouger hii ni jamiiforum sio group lenu la familia...sasa wee mjukuuwasubianamjaalaaaanamkamatia kuta
...ukiona tunakubana sogea
 
Ww n wapendwa wak sjui cmna inbox zenu mkachatie uko hapa 2na discuss crioz issues...unatoambwa_bandan nn

Hii sio sehemu salama ya kuzungumza lugha ya matusi, jaribu Facebook au kwenye group la Wasap vinginevyo utazibeba gharama za hiyo mitusi.
 
Back
Top Bottom