Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Ndio maana Kenya wanachoma shule.
Ndio maana Kenya wanachoma shule.
Thubutuuu...
Jamani tusubiri make cku bado haijaisha.
Kabisa mkuu na weekend kivipi kwan hawakujua kuhusu hilo si wangesema wanafungua system tar 1 mwezi wa 8Huu utaratibu wa kusema siku bado haijaisha mimi naupinga sana.
Una roho ngumu sijawahi ona, IMANI YAKO NA IKUOKOE.
Nii >=3.5Jiandaeni na > 3.5
Habari ndiyo hiyo!
Washushe aisee..sister ana 3.4, imeniuma mpaka basiWana discuss kushusha viwango vya gpa so sidhani kama kesho itakuwa hivyo

Kampe MumeWashushe aisee..sister ana 3.4, imeniuma mpaka basi![]()
Acha upotoshaji hakuna viwango vya GPA vinavyoshushwa,walisema kwenyetangazo lao kwamba mazungumzo na TCU yanaendelea ili waweze kudahili wanafunzi kulingana na sifa zilizotolewa na serikali sasa wewe kusema hayo umetoa wapi?? Usiwadanganye watu bhana.Wana discuss kushusha viwango vya gpa so sidhani kama kesho itakuwa hivyo
Yah anaweza kupata...ili mradi apate chuo..na kozi yake iwe priority...Kuna dogo wa diploma mwaka huu wanamaliza mwezi wa nane na ameomba mkopo bila matokeo ya diploma anaweza pata?.je kuna uwezekano wa kufungua tena maombi ya mkopo hapo baadae?
Habari ndiyo hiyo!
Imefika?? kwani ilikua inaenda wapi??
rubiiiiii jaman daaah majibu yako shikamoo daaah
I

Vipi na wewe umepata wapi??Loading. .....