Diploma kwenda degree 2016

Diploma kwenda degree 2016

Sio lazima kucomment kila uzi. Ukiona hapakuhusu humu kausha, Great Thinkers hawapo hivyo. Jitahidi uweze kuishi na kila kundi la watu,
Do not criticize others..


Nakutafakari kwa wakati tofauti tofauti....Sikuelewi mpendwa unajambo binafsi au tatizo lako nini haswaa??
Mydear hii ni jukwaa kila mtu ana haki ya kusema chochote ili mradi haendi kinyume cha sheria zilizowekwa.....
Comment yangu kwa huu uzi ni #Loading# imekukwaza nini ndugu yangu??
Hayo mengine ni maswali na majibu ya mimi na wapendwa wenzangu na hayakuhusu hataa
Si bure mpendwa embu ukapime wewe yawezekana kichwani umeme ni mdogo.
 
Ni muda mrefu nimeona comment zako ni Negative kwa wahanga wa haya mabadiliko ya udahili wa chuo kikuu.. Sawa hili ni jukwaa je ni heri kwako fanani kusema chochote kwa hadhira? Hata km ni Hasi!!


Je kwa mawazo yako walio chini ya GPA ya 3.5 ni ******? Maana huu ndio uelekeo wako.
Kuna jamaa kampump hapo si unajua wabongo tunavyopenda sifa za kijinga!! Like "Jamaa anamatusi huyu mtaa mzima wanamiogopa!!!"
 
Ni muda mrefu nimeona comment zako ni Negative kwa wahanga wa haya mabadiliko ya udahili wa chuo kikuu.. Sawa hili ni jukwaa je ni heri kwako fanani kusema chochote kwa hadhira? Hata km ni Hasi!!


Je kwa mawazo yako walio chini ya GPA ya 3.5 ni ******? Maana huu ndio uelekeo wako.


Tafadhali naomba unionyeshe wapi ilipo comment yangu ya kuhusiana na kuwaponda wahanga wa kukosa GPA husika kwa huu uzi?

GPA wakose wengine mbaya awe rubii ??
 
Ni muda mrefu nimeona comment zako ni Negative kwa wahanga wa haya mabadiliko ya udahili wa chuo kikuu.. Sawa hili ni jukwaa je ni heri kwako fanani kusema chochote kwa hadhira? Hata km ni Hasi!!


Je kwa mawazo yako walio chini ya GPA ya 3.5 ni ******? Maana huu ndio uelekeo wako.
Naongezea hapo ndugu nina b, b, b, c na chuo kikuu ckioni tena hadi na RIP jaman hayo matokeo kweli mimi ni kilaza?
 
Wakuu mbona hii website ya TCU aifunguki? Au wezangu mmefanikiwa kuacsess?
 
Naongezea hapo ndugu nina b, b, b, c na chuo kikuu ckioni tena hadi na RIP jaman hayo matokeo kweli mimi ni ******?

Kuna namna nyingine mkuu ya kuingia chuo kikuu, unafanya mitihani maalum ukifaulu unadahiliwa, Kuna uzi humu unazungumzia hili, naomba utafute uusome. Jipe moyo mkuu, bado njia ipo.
 
Embu tuludi kwenye mada tuache achen mabishano, wakat mwingine inabid mtu akubali kushindwa ili mambo yasonge mbele. Back to topic.
 
Ila kusema kweli huyu mdada/anajiita rubii inabidi wakati mwingine awe na majibu mazuri kwa wahanga maana coment zake mara zote ni za kuwakwaza watu na huyu si mtu wa kwanza kukwazika na majibu yake. Badiliaka rubii hata kama umeyabahatisha pasi na kuyatolea jasho maana walioyapata kwa kuyatolea jasho huumizwa na maumivu ya wengine.
 
Huyu mdada msimshangae sn huenda thinking capacity yake n ndogo ujue unaweza ukasoma mpaka master's still ukawa hujui jinsi ya kuishi,kusema na watu !!! Hata hvo c kila alieko kweny hii forum kasoma zas y even her comments has no fruits
 
Watu wanajadili crucial points kuhusu maisha then we unadomoa tyu kile unachojickia !!! If you don hav something to say about da above topic pls shut up ua mouth: acha watu wanaohis hii mada inawagusa wajadili
 
Watoe guidebook hyo nasisi tupate mwafaka maana tar 31july imeshapita
 
Ila kusema kweli huyu mdada/anajiita rubii inabidi wakati mwingine awe na majibu mazuri kwa wahanga maana coment zake mara zote ni za kuwakwaza watu na huyu si mtu wa kwanza kukwazika na majibu yake. Badiliaka rubii hata kama umeyabahatisha pasi na kuyatolea jasho maana walioyapata kwa kuyatolea jasho huumizwa na maumivu ya wengine.




HA ha haa pole sana!
 
Back
Top Bottom