samuel julius nombo
Member
- Jul 30, 2016
- 16
- 0
Jaman iv kwel bado au wamefunga wandugu
Nan kasema mwisho tarh 5??? Soma guide bookWamefunga afu leo tar 2 jamani na wamesema deadline ni tar 5
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Wamefunga afu leo tar 2 jamani na wamesema deadline ni tar 5
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Deadline ni tare 31 October for all applicantsHabari wakuu,nina diploma yenye GPA ya 3.9 nataka niombe degree TCU ila system yao inasomeka kwamba CAS will be opened for applicants with diploma qualifications by 31st July 2016.Mpaka now system inasomeka ivyo na deadline ya kuapply ni tar 5 mwezi huu.Mwenye uelewa naomba anijuze
Japo huu mchezo hauhitaji hasira kwa hapa to muchDUUUUH TCU wanafkiri huu ndio mwezi wa saba au?? hyo guide book mbona inacheleweshwa hvyo??
makatili sana yaani kwenda bachelor kutumia diploma viwango ni 3.5 gpa,hivi mtu usome advance upate chini ya point 4 uamue kwenda kusoma diploma miaka mitatu ambayo ni karibu sawa na degree then upate gpa 3.1 bado serikali katili ya ccm inakuambia kuwa huna sifa,haya maccm yana roho mbaya sanaWana discuss kushusha viwango vya GPA so sidhani kama kesho itakuwa hivyo
Tumeichagua wenyew, na wavimbe wapasuke.makatili sana yaani kwenda bachelor kutumia diploma viwango ni 3.5 gpa,hivi mtu usome advance upate chini ya point 4 uamue kwenda kusoma diploma miaka mitatu ambayo ni karibu sawa na degree then upate gpa 3.1 bado serikali katili ya ccm inakuambia kuwa huna sifa,haya maccm yana roho mbaya sana
Walituona tunaozungusha mikono malofa! Sasa mjionee namba inavyosomwa mm nimeshaapa miaka 800 hatakama Chadema ikiweka jiwe nalipigia kuraTumeichagua wenyew, na wavimbe wapasuke.
wacha waisome namba eeeeeehh!
haahahaahaaa
2020 mtakaa kwenye mstar wenyew
Sister au ww?Washushe aisee..sister ana 3.4, imeniuma mpaka basi![]()
Tuwe pamoja katka kufanikisha kuichukua nchi mwaka 2020Walituona tunaozungusha mikono malofa! Sasa mjionee namba inavyosomwa mm nimeshaapa miaka 800 hatakama Chadema ikiweka jiwe nalipigia kura
Teh ni sister mkuu, me nimemaliza chuo since 2012.Sister au ww?
Sawa mkuuTeh ni sister mkuu, me nimemaliza chuo since 2012.

universityDah! Mi nna 3.4 na mkopo nimeomba! Naongeza maombi ili hayo majadiliano yaZae matunda kiwango cha gpa kishushwe angalau kidogo.