Dini zinavyoharibu watu akili

Umemjibu vyema
 
Hadithi hii hapa kwa ukamlifu wake.

The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not.
Ndio maana nikaweka mpaka maelezo ya ugonjwa wa schizophrenia Yani ni kudhani umefanya jambo kumbe hujafanya, huyo myahudi alimloga Muhammad kwa kumtupia ugonjwa wa akili

Schizophrenia -is a serious mental disorder in which people interpret reality abnormally. Schizophrenia may result in some combination of hallucinations, delusions, and extremely disordered thinking and behavior that impairs daily functioning, and can be disabling.
 
Safi kabisa hili si ndiyo ulilolizua katika muendelezo wako wa kuzusha uongo. Au hujaelewa hata unachokiandika nacho ni uongo ? Yaani Mtume hakuwa na hilo unalosema ila wewe umeliweka na ukaliita ni ugonjwa wa akili.
 
Ushauri wangu kijana achana na sisi Waislamu sababu elimu tuko nayo sisi na umakini kadhalika. Utaendelea kuaibika na kuonekana mjinga na kilaza mpaka unakufa.

Kazi yangu nimemaliza.
[/QUOTE]
Yani jambo lipo wazi alikuwa anadhani kafanya jambo na hajafanya huo ni ugonjwa wa schizophrenia ndio alilogewa ugonjwa wa akili

Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063
 
Hii pia ni kuhimiza mtu kutokujilimbikia Mali pasi na kuwa na za kuzifanya.

Tena ni vyema wenye uwezo wakasaidia na wenzao wasio kuwa na uwezo kwenda kutekeleza ibada ya Hijja.

Yaani kuna watu wana Mali mpk hawana cha kuzifanya. Kutoa dollar elfu 10 kwao ni km hela ya vocha tu
 
Safi kabisa hili si ndiyo ulilolizua katika muendelezo wako wa kuzusha uongo. Au hujaelewa hata unachokiandika nacho ni uongo ? Yaani Mtume hakuwa na hilo unalosema ila wewe umeliweka na ukaliita ni ugonjwa wa akili.
Mbele ya macho Yako Muhammad alikuwa anadhani kafanya jambo na hakufanya , alilogwa kwa kupewa ugonjwa wa akili unaitwa schizophrenia

The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not.

Mpaka anakuja kutuambia mara kapaa na punda , mara kapasua mwezi kumbe alikuwa chizi kwa mwaka mzima
 

Umejibu mulemule kama alivoandika yeye.

Kwamba hamtaki kusikia kuwa hija ni biashara

Nawewe umesema mnapenda sana kwenda huko kufanya ibada.

Yaani ni kuwa una muunga mkono.
 
Tumejifunza kwasababu walikuja kututawala na hatukuwa na lugha moja, hivyo tukatohoa baadhi ya maneno kama ilivyo kwenye kiingereza, tumetohoa kwa vile tu walitutawala.

Ingekuwa lugja ya Mungu, tungekuwa tunajua wote duniani bila kuwa na lugha nyingine.
 
Onyesha wapi
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063

Schizophrenia - kudhani umefanya jambo na kweli hukufanya
 
Unasemaje?

Allah kumbe ana mipaka?

Hata lugha ya kiswahili hajui?

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Hasikii lugha nyingine zaidi ya kiarabu.

Ukimuomba kwa kiswahili ni kutwanga maji kwenye kinu.

Kinachonisikitisha ni kwamba hata ukimuomba kwa kiarabu hajibu kitu.
 
Umejibu mulemule kama alivoandika yeye.

Kwamba hamtaki kusikia kuwa hija ni biashara

Nawewe umesema mnapenda sana kwenda huko kufanya ibada.

Yaani ni kuwa una muunga mkono.
Kwanini unaandika uongo na kujitoa ufahamu kwa makusudi. Nakupa kazi onyesha ufanano na useme ni waislamu gani hawataki kusikia hilo ?

Maana yake hakuna asiye jua kama wanaingiza mapato sababu kuna makampuni yanafanya kazi hiyo nahuo ni utaratibu na si jambo baya. Hili weka akilini. Ndiyo maana nashangaa unaposema au kuunga mkono uongo alio uandika huyo mwenzako.

Kingine tunasema hata waingize kipato zaidi ya hicho hilo ni jambo lao lakini sisi tunatimiza amri ya Allah na hii ni kwa mwenye uwezo, wao wanaingiza pesa na sisi tunapata thwawabu, sasa utaona ya kuwa nyinyi ni wajinga juu ya jambo hili, sababu hili kwetu tunalijua na ni maarufu sana. Tena tunajua hata hayo makampuni yanayosafirisha mahujaji nayo yanapiga pesa. Sasa shida iko wapi vijana ?
 
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063

Schizophrenia - kudhani umefanya jambo na kweli hukufanya
Kazi yangu nimemaliza. Uwe unanukuu habari kamili tena ule mzizi wa habari hutakiwi kuuacha.
 
Nimekuwekea Hadithi kwa ukamilifu wake, soma acha kupoteza muda na kupotosha ukweli.

Ile kazi ya kuweka andiko lenu kisha ulihakiki, naona umeishindwa.
 
Nimekuwekea Hadithi kwa ukamilifu wake, soma acha kupoteza muda na kupotosha ukweli.

Ile kazi ya kuweka andiko lenu kisha ulihakiki, naona umeishindwa.
Kisai unachobisha kipo mbele ya macho Yako , Muhammad alikuwa anadhani kafanya jambo kumbe hajafanya au unataka kusema alikuwa anaigiza ? Na kufikiri umefanya kitu na hujakifanya ni ugonjwa wa akili unaitwa schizophrenia na huu ugonjwa muhammad alikuwa nao mwak mzima

The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not.
 
Malizia hadithi kijana, acha kupoteza muda. Na sababu imeelezwa humo.
 
Kazi yangu nimemaliza. Uwe unanukuu habari kamili tena ule mzizi wa habari hutakiwi kuuacha.
Tumemaliza Muhammad alikuwa chizi schizophrenia
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063

Schizophrenia - kudhani umefanya jambo na kweli hukufanya
 
Dahhh kijana unachekesha wewe eti allah ajifunze kijaruo uyo unayemkashifu ndiye aliyezileta lugha zote izi unazoona wewe za mahana na kama angeamua au akiamua duniani kote wote tuongee lugha moja anaweza lwa utukufu na nguvu alizonazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…