Schizophrenia ndio inaenda na Hali yake maana alikuwa ana hallucinations , ndio unamkuta anasema alipaaa na punda mwenye mabawa mara kapasua mwezi na vyote hivyo hakuna Alie onaSio bipolar
Schizophrenia ndio inaenda na Hali yake maana alikuwa ana hallucinations , ndio unamkuta anasema alipaaa na punda mwenye mabawa mara kapasua mwezi na vyote hivyo hakuna Alie onaSio bipolar
2:102...wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil.Wewe ni mshabiki wa kidini wala huna nia ya kujifunza ukweli bali upotoshaji ili kukidhi nia yako ovu na ushabiki tu.
Umeuliza ni nani aliyeleta uchawi mimi nakakutajia sifa zingine kadhaa za mleta uchawi na kwa kifupi nikasema ni yule aliyeleta kila aina ya uovu, hapo nikadhani utakuwa umemjua mleta uchawi ni nani na jina lake ni lipi, kwa mtu yeyote mwema mwenye elimu ya dini bila shaka angalijua mleta Uchawi ni Shetani kinyume chake umekurupuka na kunukuu aya ambayo hata hukuisoma au umeamua kupotosha kishabiki ili ukidhi haja na nia yako ovu dhidi ya Allah na Quran, sasa tuangalie hiyo aya uliyoleta inasemaje juu ya yupi alileta/ alifundisha uchawi na katika hilo leo unasutwa kwa uongo wako.
Aya (2:102) inaanza kwa kusema;
"Na wakafuata yale waliyozua MASHETANI kuuzulia ufalme wa Suleiman. Na wala Suleiman hakukufuru bali MASHETANI ndio waliokufuru WAKIWAFUNDISHA WATU UCHAWI----" (2:102) Qur'an.
Sasa hapo ni wapi imeandikwa kwamba Allah(apishe mbali) alituma Malaika Haruta na Maruta kufundisha uchawi ??!!
Uwe japo na uoga kidogo moyoni mwako juu ya Mungu unapoamua kusema na kusambaza uongo, Uongo unakomaza roho ya kishetani kwani Uongo ni kazi ya Shetani.
Kidogo nimeanza kuelewa sasa 😂 kwanin wamisionari walikuja Kama watangulizi wa kikoloni. Ila niwaombe kuhusu dini kila mmoja ana Imani yake inayomtangulia baada yake tukifanya Mambo na hivyo kuhusu Aya Mambo yatatupotezea wakat bure na wanao endelea kusema hii ni Bora kura hii bado hawajakomaa kiakili na fikra wewe ni mwafrika na ni mtanzania kutoka uko ndani ndan unapataje ujasiri wa kusema hii ni bora alafu sio kwenu sijui wana uhakika gan?Wafuasi wa dini wote hawanaga akili.
Just imagine jitu halifanyi kazi linaamini kwenye miujiza na baraka za ibrahimu wa uongo.
Majitu yanaacha madawa ya kitabibu na kukimbilia tiba za kipuuzi za hao manabii uchwara.
Jitu linamkashifu mwenzake kwa kumuita kafir&mpagani kisa dini iliyokuja kwa meli, kuna wale wapumbavu mpka waliofikia kuwatukuza wanadamu wenzao kwa kuwaita taifa teule, uteule sijui ni upi huo wakuuwa raia wasio na hatia, na kuna mpka wameaminishwa kuna miji mitakatifu huko uarabuni.
Huo wote ni upumbavu na ukosefu wa akili, washika dini wengi ni vilaza na masikini wa kutupwa, hiyo ndio main target ya waliotunga dini yaan kuhatibu akili na kuwagawanya watu ili watawalike vizuri
Tusiojua kirabu tutaongea kwa lugha gani huko peponi?Ww sio muislam, acha chuki kma umeona upagani ndo dili usudharau wenzio
Huwa unasoma maandiko Yako au una type tu , Allah karuhusu mpaka uongo , Kuna uongo wa takiya , Kuna uongo wa mke na mume wote kawaruhusu kusema uongo na Kuna uongo kwenye vita karuhusu na uongo kwenye kuwadanganya watu ili wapataneUongo unakomaza roho ya kishetani kwani Uongo ni kazi ya Shetani.
Unajua Kwa Nini umekata Aya ? Allah aliwatuma harut na marut kwenda Babylon kufundisha watu uchawi embu bisha hilo kwanza
Haruti na Maruti walikuja kufundisha nini?Mimi nikadhani utapinga hiyo aya japo nimeiandika nusu!!--- nimeiandika nusu kwasababu sehemu hiyo ndio muktadha wa mada, wewe umeongopa kwamba Allah ndiye aliyeleta uchawi kupitia Malaika Haruta na Maruta kinyume chake aya inasema ni Shetani ndiye aliyefundisha/aliyeleta uchawi, kama nimeongopa basi wewe andika aya yote tuisome ili tuthibitishe kama nimesema Uongo.
2:102...wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil.
Haratu na marut walitumwa na Allah kifundisha nini?Unanishutumu mimi kwa kuandika aya nusu!!!, je wewe hapo umefanya nini??--- hebu abdika aya yote ili ufundishwe "the subject matter" ya hiyo aya, wewe unadhani Qur'an "inashikwa na kila mtu??" (grasping its meanings by everyone)?? لا يمسه الا المطهرون inashikwa na watu waliotakasika.
Huwa unasoma maandiko Yako au una type tu , Allah karuhusu mpaka uongo , Kuna uongo wa takiya , Kuna uongo wa mke na mume wote kawaruhusu kusema uongo na Kuna uongo kwenye vita karuhusu na uongo kwenye kuwadanganya watu ili wapatane
Soma
"it is not lawful to lie except in three cases: Something the man tells his wife to please her, to lie during war, and to lie in order to bring peace between the people."Jami` at-Tirmidhi 1939
Haratu na marut walitumwa na Allah kifundisha nini?
😂😂😂😂😂😂 Hapa tunanukuu vitabuUnakimbilia vitu usivyovijua??!!🤣🤣-- hebu soma hapa chini uone Wakristo wenzako wenye akili wanachosema::-
View attachment 2317392
Ni rahisi sana , harut na marut walitumwa kufanywa nini???Andika aya nzima hapa na tuisome ndipo tutajua walikuja kufanya nini, kwanini tuandikie mate na wino upo!!😏
😂😂😂😂😂😂 Hapa tunanukuu vitabu
Soma
"it is not lawful to lie except in three cases: Something the man tells his wife to please her, to lie during war, and to lie in order to bring peace between the people."Jami` at-Tirmidhi 1939
Ulisema muongo ni shetani muhammad amethitisha muongo ni AllahKwani Hicho kitabu kimeshushwa na Mungu??-- na ndio maana hata mimi in the same line of thinking nimekupa hiyo nukuu kutoka katika maandiko ya mkristo mwenzako anayezungumzia Lie, untruth, falsehood and deception ni kitu gani na ni wakati gani vinakuwa ethical na unethical ??--- msome kwanza huyo ndugu yako Mkristo mwenye akili ndipo upate nguvu ya kuhoji mambo ya "jirani yako".
Haujui Koran umekuruhusu kusema uong.?Kwani Hicho kitabu kimeshushwa na Mungu??-- na ndio maana hata mimi in the same line of thinking nimekupa hiyo nukuu kutoka katika maandiko ya mkristo mwenzako anayezungumzia Lie, untruth, falsehood and deception ni kitu gani na ni wakati gani vinakuwa ethical na unethical ??--- msome kwanza huyo ndugu yako Mkristo mwenye akili ndipo upate nguvu ya kuhoji mambo ya "jirani yako".
Ni rahisi sana , harut na marut walitumwa kufanywa nini???
Yaan mtu unamuuliza Kati ya Babu yako na yesu/Muhammad nani ameokoa maisha yako Anakwambia yesu/Muhammad. Utadhani hao jamaa walichukua jembe kulima ili familia yao ipate msosi na kuishi. Yaani dini hizi ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea kwenye jamii yetu.Wazungu na Waarabu waliwaweza sana waafrika mambumbumbu kwenye suala la dini. Mtu leo hataki kuitwa Machibya eti anaona ni jina la kijinga/kichawi anaona ni vyema kuitwa Peter au Hassan. WTF
Ulisema muongo ni shetani muhammad amethitisha muongo ni Allah