Dini zinavyoharibu watu akili

Dini zinavyoharibu watu akili

Kisai na @ Mokaze nani alifundisha uchawi duniani?


Aliyefundisha uchawi ni yule aliyefundisha Uzinzi, wizi, uongo, kushengenya, kuua nafsi isiyo na hatia, dhuluma, aliyeleta upanga na kuvuruga amani kifupi ni yule aliyeleta kila aina ya uovu,, ---- sasa nadhani utakuwa umemjua.
 
SIO PEPONI TU,hata duianini,kanisani unatumia maneno ya kiarabu na umejifunza ,bila kujijua unajifundisha kiarabu,hata neno salama(kiarabu)Habari(kiarabu)Kanisa(kiarabu)Kitubio(kiarabu)Sadaka(kiarabu)Zaka(kiarabu)Kasisi(kiarabu)Toba(kiarabu)nk.Hata hicho kiswahili,ulichoandika,karibia asilimia kubwa ni maneno ya kiarabu.Ukichunguza zaidi,maneno mengi ya lugha nyingi duniani ni kiarabu,kuna maneno au namba za kiarabu.Kwenye science,maneno mengi ni ya kiarabu,kuanzia masomo yenyewe
1:Chemistry-Kemia ni kiarabu
2.Hisabati ni Kiarabu
3.Doctor -Ductour -Daktari ni kiarabu
4.Namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,ni namba za kiarabu.
5.Mhandisi,ni neno la kiarabu
6.Mwalimu ni neno la kiarabu.
7.Darasa ni neno la kiarabu
8.Elimu ni neno la kiarabu
9.sayari ni neno la kiarabu
10.Rais ni neno la kiarabu
11.Waziri ni neno la kiarabu
12 .Wizara ni neno la kiarabu
13.Neno Swahili ni neno la kiarabu
14.Hatari,Furaha,Rafiki,Tafadhali,Baridi,Dhamiri,Kamusi,Huru,Habari,Kata,Msumari,Kitabu,Mahali,
15.Nyakati,:Asubuhi,Dakika,Saa,Wakati,alasiri,Magharibi,Alfajiri,karne,
16 .Juma(weeki),Alhamisi,ijumaa.
17.Tausi
18.Nusu,Robo,Sita,saba,Tisa,Ishirini,Thelathini,Arubaini,Hamsini,Sitini,Sabiini,Themanini,Tisiini,Mia,Elfu,
19.Dini.
20 Msamiati mwingi unaotumika kwenye dini ya kiislamu na Kikristo una asili ya kiarabu:
Ibada
Msikiti
Kanisa
Zaka
Sadaka
MALAIKA
SHETANI
Thawabu
Dhambi
Kasisi
Imamu
Kitubio
21.Mjina ya kamikali,zote yanayoanzia na Al,kama alkaline,alkal,Alkaline,Alkaloid, nk
Hapo ulipo unatumia maneno ya kiarabu ,bila kujijua au unajijua,lakini huelewi.
umesahau kuna alkasusu
 
Kwa hiyo akileta mtume anaetumia kiswahili basi atalazimisha watu wote watumie kiswahili wakati anajua kabisa kuna makabila mengine, ama hajui kama kuna makabila ama lugh nyingine? Huyo mola ni mzima kichwani kweli? Huyo ni mola ama mura?
dah nacheka kama mazuri ila mambo ya jahazi tuyaache jahazini
 
Aliyefundisha uchawi ni yule aliyefundisha Uzinzi, wizi, uongo, kushengenya, kuua nafsi isiyo na hatia, dhuluma, aliyeleta upanga na kuvuruga amani kifupi ni yule aliyeleta kila aina ya uovu,, ---- sasa nadhani utakuwa umemjua.
Allah ndie alileta mafunzo ya uchawi kwa kuwatuma harut na marut wafundishe watu uchawi Koran 2:102
 
Watu wanashindwa kutofautisha Mungu na dini.

Dini (tamaduni)hata sisi tulikua nazo sema zimemezwa baada ya wao kutuletea kwa nguvu coz mwanzoni zilipingwa pia.

Dini ni biashara hakuna jipya.
 
Kwa Nini ulidanganya haumjui Alie leta uchawi?
Sijadanganya, uliuliza swali la kipuuzi. Na hii ni adabu ya kujibu maswali. Unaweza ukaniuliza swali ma ukajua ya kuwa ninajua ila nikakujibu kwamba sijui. Walio kaa kwenye vikao vya kielimu na tena kwa wanachuoni hili wanalijua. Sababu kuna adabu za kuuliza maswali na kujibu maswali.
 
Sijadanganya, uliuliza swali la kipuuzi. Na hii ni adabu ya kujibu maswali. Unaweza ukaniuliza swali ma ukajua ya kuwa ninajua ila nikakujibu kwamba sijui. Walio kaa kwenye vikao vya kielimu na tena kwa wanachuoni hili wanalijua. Sababu kuna adabu za kuuliza maswali na kujibu maswali.
Tumemaliza Allah kaleta uchawi na uchawi huo ukamdhuru muhmmad mpaka akawa schizophrenia
 
Allah ndie alileta mafunzo ya uchawi kwa kuwatuma harut na marut wafundishe watu uchawi Koran 2:102


Wewe ni mshabiki wa kidini wala huna nia ya kujifunza ukweli bali upotoshaji ili kukidhi nia yako ovu na ushabiki tu.

Umeuliza ni nani aliyeleta uchawi mimi nakakutajia sifa zingine kadhaa za mleta uchawi na kwa kifupi nikasema ni yule aliyeleta kila aina ya uovu, hapo nikadhani utakuwa umemjua mleta uchawi ni nani na jina lake ni lipi, kwa mtu yeyote mwema mwenye elimu ya dini bila shaka angalijua mleta Uchawi ni Shetani kinyume chake umekurupuka na kunukuu aya ambayo hata hukuisoma au umeamua kupotosha kishabiki ili ukidhi haja na nia yako ovu dhidi ya Allah na Quran, sasa tuangalie hiyo aya uliyoleta inasemaje juu ya yupi alileta/ alifundisha uchawi na katika hilo leo unasutwa kwa uongo wako.

Aya (2:102) inaanza kwa kusema;

"Na wakafuata yale waliyozua MASHETANI kuuzulia ufalme wa Suleiman. Na wala Suleiman hakukufuru bali MASHETANI ndio waliokufuru WAKIWAFUNDISHA WATU UCHAWI----" (2:102) Qur'an.

Sasa hapo ni wapi imeandikwa kwamba Allah(apishe mbali) alituma Malaika Haruta na Maruta kufundisha uchawi ??!!

Uwe japo na uoga kidogo moyoni mwako juu ya Mungu unapoamua kusema na kusambaza uongo, Uongo unakomaza roho ya kishetani kwani Uongo ni kazi ya Shetani.
 
Wewe ni mshabiki wa kidini wala huna nia ya kujifunza ukweli bali upotoshaji ili kukidhi nia yako ovu na ushabiki tu.

Umeuliza ni nani aliyeleta uchawi mimi nakakutajia sifa zingine kadhaa za mleta uchawi na kwa kifupi nikasema ni yule aliyeleta kila aina ya uovu, hapo nikadhani utakuwa umemjua mleta uchawi ni nani na jina lake ni lipi, kwa mtu yeyote mwema mwenye elimu ya dini bila shaka angalijua mleta Uchawi ni Shetani kinyume chake umekurupuka na kunukuu aya ambayo hata hukuisoma au umeamua kupotosha kishabiki ili ukidhi haja na nia yako ovu dhidi ya Allah na Quran, sasa tuangalie hiyo aya uliyoleta inasemaje juu ya yupi alileta/ alifundisha uchawi na katika hilo leo unasutwa kwa uongo wako.

Aya (2:102) inaanza kwa kusema;

"Na wakafuata yale waliyozua MASHETANI kuuzulia ufalme wa Suleiman. Na wala Suleiman hakukufuru bali MASHETANI ndio waliokufuru WAKIWAFUNDISHA WATU UCHAWI----" (2:102) Qur'an.

Sasa hapo ni wapi imeandikwa kwamba Allah(apishe mbali) alituma Malaika Haruta na Maruta kufundisha uchawi ??!!

Uwe japo na uoga kidogo moyoni mwako juu ya Mungu unapoamua kusema na kusambaza uongo, Uongo unakomaza roho ya kishetani kwani Uongo ni kazi ya Shetani.
Unajua Kwa Nini umekata Aya ? Allah aliwatuma harut na marut kwenda Babylon kufundisha watu uchawi embu bisha hilo kwanza
 
Back
Top Bottom