Dini zinavyoharibu watu akili

Dini zinavyoharibu watu akili

Ha ha haaa. Sasa mtu kama huyo ukimuambia ua watu wanaoongea kiingereza atawaacha kweli? Haya madude yaliyoletwa na majahazi sometimes ni ubatili mtupu kama alivyoandika Mhubiri.
Sio kwamba ni ubatili ni upumbavu kabisa,unapigana kwa utamaduni wa wengine huku ukiuterekeza wa kwako
 
sasa kwa nini Mungu kawaumba watu bil+ wanaongea lugha tofauti? si angeumba watu waongee kiarabu tu... mimi siku ya mwisho ntamuomba anihukumu kiswahili. Afu bado unaweza kujifunza kiarabu na bado pepo usiione (kama kweli ipo)
Pepo ya nani mnadanganyana tu
 
Wafuasi wa dini wote hawanaga akili.

Just imagine jitu halifanyi kazi linaamini kwenye miujiza na baraka za ibrahimu wa uongo.

Majitu yanaacha madawa ya kitabibu na kukimbilia tiba za kipuuzi za hao manabii uchwara.

Jitu linamkashifu mwenzake kwa kumuita kafir&mpagani kisa dini iliyokuja kwa meli, kuna wale wapumbavu mpka waliofikia kuwatukuza wanadamu wenzao kwa kuwaita taifa teule, uteule sijui ni upi huo wakuuwa raia wasio na hatia, na kuna mpka wameaminishwa kuna miji mitakatifu huko uarabuni.

Huo wote ni upumbavu na ukosefu wa akili, washika dini wengi ni vilaza na masikini wa kutupwa, hiyo ndio main target ya waliotunga dini yaan kuhatibu akili na kuwagawanya watu ili watawalike vizuri
Ni Upumbavu uliokithiri aisee!!
 
Sababu ipo wazi alitupiwa ugonjwa wa ukichaa akawa chizi hilo lipo wazi
Alirogwa, hili ndiyo jibu sahihi. Sasa si ndiyo uonyeshe wapi alitupiwa ugonjwa wa kichaa.
 
Tumemaliza Muhammad alikuwa chizi schizophrenia
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063

Schizophrenia - kudhani umefanya jambo na kweli hukufanya
Kijana huwa unachekesha sana, unavyolazimisha mambo yawe unavyotaka na hayako hivyo bali haiwezekani iwe unavyotaka.
 
Mm mambo ya dini nilishaachana nayo toka nijue yaliyo nyuma ya dini.!!! Na nmekuwa nikiishi vzr sana sina ubaguzi wa kuwabagua watu kwa dini zao, kabila zao wala tamaduni tofauti na huko nyuma nilivyokuwa mfia dini...!!!

Sasa hapo ukimuuliza ushawahi kwenda peponi ukakuta watu wanaongea kiarabu atakwambia mtume kasema!!! Ujinga mtupu
Still ulikuwa uijui dini
 
Wafuasi wa dini wote hawanaga akili.

Just imagine jitu halifanyi kazi linaamini kwenye miujiza na baraka za ibrahimu wa uongo.

Majitu yanaacha madawa ya kitabibu na kukimbilia tiba za kipuuzi za hao manabii uchwara.

Jitu linamkashifu mwenzake kwa kumuita kafir&mpagani kisa dini iliyokuja kwa meli, kuna wale wapumbavu mpka waliofikia kuwatukuza wanadamu wenzao kwa kuwaita taifa teule, uteule sijui ni upi huo wakuuwa raia wasio na hatia, na kuna mpka wameaminishwa kuna miji mitakatifu huko uarabuni.

Huo wote ni upumbavu na ukosefu wa akili, washika dini wengi ni vilaza na masikini wa kutupwa, hiyo ndio main target ya waliotunga dini yaan kuhatibu akili na kuwagawanya watu ili watawalike vizuri
Si kweli.Kushika dini na kumjua MUNGU ni vitu viwili tofauti
 
Alirogwa, hili ndiyo jibu sahihi. Sasa si ndiyo uonyeshe wapi alitupiwa ugonjwa wa kichaa.
Alilogwa akawaje?, mbona kama unakwepa madhara ya ulozi aliyopata ,
Nyie waislamu mnatuambia alilogwa akawa schizophrenia, Yani anadhani kafanya jambo kumbe hajafanya
 
Kijana huwa unachekesha sana, unavyolazimisha mambo yawe unavyotaka na hayako hivyo bali haiwezekani iwe unavyotaka.
Sijalazimisha , ugonjwa wa akili wa kudhani umefanya jambo na hujalifanya unaitwa schizophrenia

Sasa msome Muhammad alikuwa na Hali gani

Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063

Schizophrenia - kudhani umefanya jambo na kweli hukufanya
 
Kijana huwa unachekesha sana, unavyolazimisha mambo yawe unavyotaka na hayako hivyo bali haiwezekani iwe unavyotaka.
Mgetuambia alikuwa ana pizi hewani au vipi maana alikuwa anawaza ndoto nyemvu

Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063
 
Alilogwa akawaje?, mbona kama unakwepa madhara ya ulozi aliyopata ,
Nyie waislamu mnatuambia alilogwa akawa schizophrenia, Yani anadhani kafanya jambo kumbe hajafanya
Sasa si hadithi imeonyesha wazi. Wewe tuinyeze wapi hadithi imesema alikuwa na matatizo ya akili ?

Hapa lazima uonyooshe maelezo.
 
Sijalazimisha , ugonjwa wa akili wa kudhani umefanya jambo na hujalifanya unaitwa schizophrenia

Sasa msome Muhammad alikuwa na Hali gani

Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063

Schizophrenia - kudhani umefanya jambo na kweli hukufanya
Malizia hadithi. Sasa huo siyo ugonjwa wa akili, ugonjwa wa akili ni huu ambao unao wewe.
 
Mgetuambia alikuwa ana pizi hewani au vipi maana alikuwa anawaza ndoto nyemvu

Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063
Hili lingine tena umelileta mpaka akili ikuae sawa, ruka ruka tu.
 
Mm mambo ya dini nilishaachana nayo toka nijue yaliyo nyuma ya dini.!!! Na nmekuwa nikiishi vzr sana sina ubaguzi wa kuwabagua watu kwa dini zao, kabila zao wala tamaduni tofauti na huko nyuma nilivyokuwa mfia dini...!!!

Sasa hapo ukimuuliza ushawahi kwenda peponi ukakuta watu wanaongea kiarabu atakwambia mtume kasema!!! Ujinga mtupu
Mohamedy nakuita mara3
 
Nabii wa kanisani kwetu Jumapili ya mwezi uliopita😁😁😁
XgAEiV7K.jpeg
 
Back
Top Bottom