Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,520
- 2,161
Nimepata revelation nyingi sana juu wa watu waliofanikiwa kiuchumi kwa kutumia ushirikina lakini sijaambiwa kuhusu madhara/ athari zake kwa mhusika
Hata hao viongozi wa dini wanatumia ushirikina kwa sababu hiihii ya ku-secure ugali wao sasa ushirikina unaonekana kuwa effective sana kwenye maswala ya hela. Naombeni hoja zenu wadau
Hata hao viongozi wa dini wanatumia ushirikina kwa sababu hiihii ya ku-secure ugali wao sasa ushirikina unaonekana kuwa effective sana kwenye maswala ya hela. Naombeni hoja zenu wadau