Dini vs Ushirikina: Kwanini ningechagua ushirikina

Leo kwa mara kwanza umeongea kitu ambacho ngumu watu kukuelewa ila kiukweli dini zina utumwa we je fikiria mitume wa zamani walioandikwa katika bible au Quran wawe wayahud au waarabu au waebrania kwanini sio wahindi au wazungu au wafrika
 
Ushawahi kwenda kwa whitchdoctor!
Najua utasema hapana,lakini ukweli unaujua
Mwenyewe!

Ova
angalia jina witch halafu doctor.kuna mchawi daktari? sijawahi kwenda sababu haiwezekani hata kwa akili ya kawaida a witch akawa doctor!! Eti witchdoctor! mmmmm.A witch is a witch always!
 
Swali la kwanza kuhusu ushirikina nadhani tumeshajadili sana kule
Swali la pili kuhusu dini nimeshalijibu kwenye mada kuu.. Hebu chukua muda kuisoma tena tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa unapoteza lengo la mjadala. Kule tulijadili kuhusu Uchawi kwa mtindo wake na muafaka haukufikiwa japo hili si lengo.

Ama kujadili jambo la dini kwa kurejea mada nyingine hii si kanuni ya mjadala sababu nina uhakika maswali yangu mada yako ya dini haija jibu maswali haya. Ili mjadala uende vizuri ya humu tumalize humu humu.
 
Hapa unapoteza lengo la mjadala. Kule tulijadili kuhusu Uchawi kwa mtindo wake na muafaka haukufikiwa japo hili si lengo.

Ama kujadili jambo la dini kwa kurejea mada nyingine hii si kanuni ya mjadala sababu nina uhakika maswali yangu mada yako ya dini haija jibu maswali haya. Ili mjadala uende vizuri ya humu tumalize humu humu.
Dah ok sawa sawa naona majibu yangu kwako hayajatoshana kabisa
 
Haya ni maslahi yangu kiroho na nilitangaza kabla mwanzoni kabisa mwa post... Sasa ukinibishia na kusema ni uongo nitashindwa kukuelewa
Mimi kuwa na imani yangu na dini yangu hakunizuii kujadili madhaifu yangu yake labda tu nikubali kukaa ndani ya duara nisihoji chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujajibu swali nililo kuuliza.
 
Dah ok sawa sawa naona majibu yangu kwako hayajatoshana kabisa
Siyo kwamba hayajatoshana,bali hujajibu maswali na tusipelekane kwenye mada nyingine muda ambao majibu unaweza kuyatoa hapa hapa. Elimu ni ile ambayo uko nayo kifuani na unaweza kuitoa muda wowote.

Shukrani.
 
Kinjekitile na wale mababu si waliamini kakisema maji, risasi zitageuka maji, walitumia dini au ushirkina. Vita vile chanzo msingi wake ulikuwa dini au ushirkina.

Dini ni nini? Sio set ya unachoamini as a whole, inaweza kuwa rasmi au isiyo rasmi kuwa mshirikina pia yaweza kuwa ni dini ya ushirikina.
 
Maslahi yangu kiroho: mimi ni mshika dini kwa imani na dhehebu langu na nina hofu na Mungu

Dini ni njia buniwa ya mwanadamu ya kumtafuta Mungu iliyoshindwa vibaya kabisa; chochote afanyacho mwanadamu chini ya jua hakina ukamilifu wa kimungu kwakuwa mwanadamu mwenyewe si mkamilifu.

Ni katika kutengeneza huo mfumo uitwao dini binadamu anajikuta anajichanganya mwenyewe ama kutofautiana na mwenzake, ama kabila na kabila, imani na imani. Kufikia hapo ndio zikaanza kufumuka dini na imani za kila aina.

Wanaomtaja na kumwamini Mungu wakawa na dini zao nyingi tu lakini ndani yao wakipingana wenyewe kwa wenyewe. Walioona kwa Mungu hakuwatoshi nao wakaanzisha dini zao lakini nao hawakuishia pema, ni mitufuano tu. Kila dini sasa bila kujali ni ya kumtaja Mungu mmoja ama miungu wakawa na mitume na manabii wao. Na kila dini inawaheshimu na kuwatii sana sana.

Ni kupitia michakato hiyo ya kidini kujitangaza na kutaka kukubalika zaidi ndani ya jamii mbalimbali duniania. Dini imejikuta kwenye mtanziko mkubwa wa mambo mabaya kabisa duniani.

Ni kwa kupitia dini hizo mamilioni wamepoteza maisha yao kwa vita ya kidini ama kuuawa kwenye mabishano ya kidini.

Ni kupitia dini hizo watu kwa maelfu wamepotea na kupotezwa na wasionekane tena.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani wamepitia madhila na mateso makubwa sana.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani, wameteswa, wamenyanyaswa na kudhalilishwa kwa kiwango kisichomithilika
Dini badala ya kuwa suluhisho imegeuka kuwa jinamizi litishalo ndani ya jamii mbalimbali

Ushirikina haujawahi kufanya mambo mabaya hivyo kama yaliyofanya kwa kutumia dini, lakini ushirikina unatumiwa vibaya na wanadini kama pitio na kimbilio la kutupia lawama na mabaya yote kuficha madhaifu yao kwenye dini.

Inachekesha mno kiongozi wa dini anaposimama kwenye madhabahu na kuanza kukemea ushirikina kumbe jana yake tu alikuwa huko ama naye ni agent na muumini mwaminifu wa ushikirikina.. Viongozi wa dini zote hizi zinazoamini katika Mungu mmoja ndio kundi linaloongoza kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji na ni waumini wakubwa wa ushirikina!

Kila nikipima haya mawili katika mizania ya haki bado USHIRIKINA una nafuu kubwa katika uhalisia wake kuliko hiki kitu kizuri kiitwacho dini!
Shime shime waafrika basi na turudi kuabudu katika miungu ya mababu zetu izi dini tulizoletewa tuwaachie wenye nazo,,
Kama sisi tulikuwa wa ramli na ancestors wetu waliishi nazo hizo kwa amani kubwa basi hatuna budi kuzienzi
 
Sijui kwanini tunahukumu sana kwenda kwa waganga mkuu? It's the African way of life mpaka mzungu na mwarabu alipokuja kuharamisha. Tuwe proud na mila na tamaduni zetu,sioni shida kwenda kwa mganga as long as siendi kumfanyia mtu ubaya bali kutatua changamoto zangu. Wahindi wamebaki na tamaduni zao,wakorea,wajapani maisha yanasonga ili sisi waafrika tunateseka kweli.
Tz kuna dini na imani nyingi na zote zinahukumu dini nyingine kuwa si sahihi, kwann wewe hutaki kuhukumiwa na dini yako ya waganga?
 
Apo Sasa ndo nimeelewa kwanini 2% ya wachina ndo wanaamini kuwa Mungu yupo
Maslahi yangu kiroho: mimi ni mshika dini kwa imani na dhehebu langu na nina hofu na Mungu

Dini ni njia buniwa ya mwanadamu ya kumtafuta Mungu iliyoshindwa vibaya kabisa; chochote afanyacho mwanadamu chini ya jua hakina ukamilifu wa kimungu kwakuwa mwanadamu mwenyewe si mkamilifu.

Ni katika kutengeneza huo mfumo uitwao dini binadamu anajikuta anajichanganya mwenyewe ama kutofautiana na mwenzake, ama kabila na kabila, imani na imani. Kufikia hapo ndio zikaanza kufumuka dini na imani za kila aina.

Wanaomtaja na kumwamini Mungu wakawa na dini zao nyingi tu lakini ndani yao wakipingana wenyewe kwa wenyewe. Walioona kwa Mungu hakuwatoshi nao wakaanzisha dini zao lakini nao hawakuishia pema, ni mitufuano tu. Kila dini sasa bila kujali ni ya kumtaja Mungu mmoja ama miungu wakawa na mitume na manabii wao. Na kila dini inawaheshimu na kuwatii sana sana.

Ni kupitia michakato hiyo ya kidini kujitangaza na kutaka kukubalika zaidi ndani ya jamii mbalimbali duniania. Dini imejikuta kwenye mtanziko mkubwa wa mambo mabaya kabisa duniani.

Ni kwa kupitia dini hizo mamilioni wamepoteza maisha yao kwa vita ya kidini ama kuuawa kwenye mabishano ya kidini.

Ni kupitia dini hizo watu kwa maelfu wamepotea na kupotezwa na wasionekane tena.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani wamepitia madhila na mateso makubwa sana.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani, wameteswa, wamenyanyaswa na kudhalilishwa kwa kiwango kisichomithilika
Dini badala ya kuwa suluhisho imegeuka kuwa jinamizi litishalo ndani ya jamii mbalimbali

Ushirikina haujawahi kufanya mambo mabaya hivyo kama yaliyofanya kwa kutumia dini, lakini ushirikina unatumiwa vibaya na wanadini kama pitio na kimbilio la kutupia lawama na mabaya yote kuficha madhaifu yao kwenye dini.

Inachekesha mno kiongozi wa dini anaposimama kwenye madhabahu na kuanza kukemea ushirikina kumbe jana yake tu alikuwa huko ama naye ni agent na muumini mwaminifu wa ushikirikina.. Viongozi wa dini zote hizi zinazoamini katika Mungu mmoja ndio kundi linaloongoza kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji na ni waumini wakubwa wa ushirikina!

Kila nikipima haya mawili katika mizania ya haki bado USHIRIKINA una nafuu kubwa katika uhalisia wake kuliko hiki kitu kizuri kiitwacho dini!
 
Huu ni uongo wa kauli na matendo au unaidanganya nafsi yako.

Huwezi kuwa mshika dini ukawa mshirikina,sababu ushirikina unakutoa katika dini hasa dini ya Uislamu.

Swali langu ni Wewe ni dini gani na dhehebu gani na kwanini upo kwenye dini hiyo na dhehebu hilo ?
Hasa unini wewe mfuga majini?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani kwa wito. Ila kabla sijaendelea mbali zaidi,jambo ulilo liandika linapaswa zaidi ulielezee kwa ushahidi na si kama ulivyo fanya wewe.

Swali la kwanza ni Ushirikina ni nini na ipi historia yake ?

Swali la pili ni Dini ni nini ?
Kwenye dini hujataka historia?
 
Back
Top Bottom