Dini ni Utamaduni wa watu fulani

Hoja ya maana ya ummah, wanaingia hao ahlul fitrah, na hadithi imethibitisha wazi kabisa ya kuwa kuna watu hawakufikiwa na ujumbe.
hatujaeewana.

Mtume kasema ahlul fitrah na wala haikusema umatul fitrah.

Kuingiza ahlul fitrah ikawa sawa na umma ambao Qurani imesema kila ummah ulipewa mjumbe,kuingiza huko ni kwa mujibu wa nani ikiwa Mtume kasema ahlul na sio ummah ?
 
hatujaeewana.

Mtume kasema ahlul fitrah na wala haikusema umatul fitrah.

Kuingiza ahlul fitrah ikawa sawa na umma ambao Qurani imesema kila ummah ulipewa mjumbe,kuingiza huko ni kwa mujibu wa nani ikiwa Mtume kasema ahlul na sio ummah ?
Kaka unanipotezea muda au mimi nitakuwa nakupotezea muda. Kasome hadithi uelewe usitake kubisha ujinga mzee.

Umma ni jamaa ya watu, soma surat al Qasas aya ya 23. Ahlul fitrah ni jamaa ya watu ambao hawakufikiwa na ujumbe wala mtume na ni katika watu wa aina nne ambao watatahiniwa siku ya hukumu, soma hadithi katika musnad ya Imaam Ahmad.
 
Sawa tumekuelewa lakini mbona nina mashaka kidogo juu ya ukristo kunasibishwa na Jewish culture!! maana hadi leo wayahudi sio wakristo. Namaanisha Wayahudi haswa sio hawa wengine
 
Umma ni jamaa ya watu, soma surat al Qasas aya ya 23. Ahlul fitrah ni jamaa ya watu ambao hawakufikiwa na ujumbe wala mtume na ni katika watu wa aina nne ambao watatahiniwa siku ya hukumu, soma hadithi katika musnad ya Imaam Ahmad.
Aya ni hii hapa..

وَلَمَّا وَرَدَ مَاءَ مَدْيَنَ وَجَدَ عَلَيْهِ أُمَّةً مِّنَ النَّاسِ يَسْقُونَ وَوَجَدَ مِن دُونِهِمُ امْرَأَتَيْنِ تَذُودَانِ ۖ قَالَ مَا خَطْبُكُمَا ۖ قَالَتَا لَا نَسْقِي حَتَّىٰ يُصْدِرَ الرِّعَاءُ ۖ وَأَبُونَا شَيْخٌ كَبِيرٌ

(AL-QAS'AS' - 23)
Na alipo yafikia maji ya Madyana alikuta umati wa watu wananywesha (wanyama wao), na akakuta karibu yao wanawake wawili wanawazuia wanyama wao. Akasema: Mna nini? Wakasema: Hatunyweshi sisi mpaka wamalize hao wachunga. Na baba yetu ni mzee sana.

Aya imesema umati wa watu na watu hawa wa hapa sio ahlul fitrah,kwa maana hawa watu katika aya hii wana mtume ambae kisa chake kinaelezewa hapo.

Kwa hiyo hapo aya imetaja munasaba kwa ummah kwa sababu huyo mtume yupo.

Hakuna ummah ambao haukufikiwa na utume,bali katika hizo nyumati ndio kuna baadhi ya watu wachache ambao hawakufikiwwa na ujumbe.

Ukisema kuna ummah haukufikiwa na ujumbe lazima ulete aya au hadithi ya kisheria ikielezea hilo jambo kuwwa ahlul fitrah kama nao walikuwa wanajumuishwa kuwa ni ummah kisheria.
 
Aya ni hii hapa..

وَلَمَّا وَرَدَ مَاءَ مَدْيَنَ وَجَدَ عَلَيْهِ أُمَّةً مِّنَ النَّاسِ يَسْقُونَ وَوَجَدَ مِن دُونِهِمُ امْرَأَتَيْنِ تَذُودَانِ ۖ قَالَ مَا خَطْبُكُمَا ۖ قَالَتَا لَا نَسْقِي حَتَّىٰ يُصْدِرَ الرِّعَاءُ ۖ وَأَبُونَا شَيْخٌ كَبِيرٌ

(AL-QAS'AS' - 23)
Na alipo yafikia maji ya Madyana alikuta umati wa watu wananywesha (wanyama wao), na akakuta karibu yao wanawake wawili wanawazuia wanyama wao. Akasema: Mna nini? Wakasema: Hatunyweshi sisi mpaka wamalize hao wachunga. Na baba yetu ni mzee sana.

Aya imesema umati wa watu na watu hawa wa hapa sio ahlul fitrah,kwa maana hawa watu katika aya hii wana mtume ambae kisa chake kinaelezewa hapo.

Kwa hiyo hapo aya imetaja munasaba kwa ummah kwa sababu huyo mtume yupo.

Hakuna ummah ambao haukufikiwa na utume,bali katika hizo nyumati ndio kuna baadhi ya watu wachache ambao hawakufikiwwa na ujumbe.

Ukisema kuna ummah haukufikiwa na ujumbe lazima ulete aya au hadithi ya kisheria ikielezea hilo jambo kuwwa ahlul fitrah kama nao walikuwa wanajumuishwa kuwa ni ummah kisheria.
Hapa nakupa maana ya ummah, ili ujue ya kuwa wapo watu hawakufikiwa na ujumbe na wao walikuwa ni ummah.

Maana ya Umma ni jamaa ya watu wengi. Sasa tunarudi katika ubainifu ya kuwa wals ahlul fitrah ni ummah au siyo ummah. Aya hii inaonyesha umma ni jamaa ya watu katika watu wengi.

Unaposema aya imekusudia umma ambao tayari wana mjumbe, nitakuuliza nini maana ya ummah, na utarudi katika maana ya aya ambayo imekusudia jamaa ya watu. Ambao ahlul fitrah ni jamaa ya watu.

Sasa aya iliyosema ya kuwa katika ummah Allah alishusha mtume, na maana ya umma ni jamaa ya watu wengi, hadithi imekuja kutufafanua ya wapo watu ambao hawakufikiwa na ujumbe, nao ni umma kwa maana ya aya.
 
Hapa nakupa maana ya ummah, ili ujue ya kuwa wapo watu hawakufikiwa na ujumbe na wao walikuwa ni ummah.

Maana ya Umma ni jamaa ya watu wengi. Sasa tunarudi katika ubainifu ya kuwa wals ahlul fitrah ni ummah au siyo ummah. Aya hii inaonyesha umma ni jamaa ya watu katika watu wengi.

Unaposema aya imekusudia umma ambao tayari wana mjumbe, nitakuuliza nini maana ya ummah, na utarudi katika maana ya aya ambayo imekusudia jamaa ya watu. Ambao ahlul fitrah ni jamaa ya watu.

Sasa aya iliyosema ya kuwa katika ummah Allah alishusha mtume, na maana ya umma ni jamaa ya watu wengi, hadithi imekuja kutufafanua ya wapo watu ambao hawakufikiwa na ujumbe, nao ni umma kwa maana ya aya.
Kumbe tunakubaliana kuwa maana ya ummah inaweza kuwa eidha..

1.kundi miongoni mwa watu wengi.

2.watu wengii wotee.

Sasa ile aya..

"hakika sisi tumetuma katika kila ummah mjumbe..."

Umma iliyokusudiwa hapa ni maana ya ummah namba moja au namba mbili ?

Na hao ahlul fitrah wanaingia katika maana ipi ya ummah namba 1 au namba 2 ?
 
Kumbe tunakubaliana kuwa maana ya ummah inaweza kuwa eidha..

1.kundi miongoni mwa watu wengi.

2.watu wengii wotee.

Sasa ile aya..

"hakika sisi tumetuma katika kila ummah mjumbe..."

Umma iliyokusudiwa hapa ni maana ya ummah namba moja au namba mbili ?

Na hao ahlul fitrah wanaingia katika maana ipi ya ummah namba 1 au namba 2 ?
Wanaingia katika maana zote hizo.
 
Wanaingia katika maana zote hizo.
Kwa hiyo unamaanisha ahlul fitrah wanaingia katika maana mbili hizo zote yaani 1na 2.

Kwa hiyo kwa kauli yako hii unakubali kuwa ahlul fitrah walikuweko na Mtume ?

Ukisema wevuliwa na hadithi ya mtume maana yake unakubali kiuficho kuwa ahlul fitrah hawaingii katika maana zote hizo mbili,maana yake wataingia katika maana moja ile ya ya kundi dogo la watu katika kundi kubwa kabisa.

Ikiwa mambo yako hivi maana yake ni kuwa ahlul fitrah ni kundi fulani la watu ambalo lilikuwa ndani ya kundi kubwa la watu.
Na hilo kundi kubwa la watu ndio ummah ambao alikuweko mtume wa ummah huo.

Unasemaje kuhusu maana ya ahlul fitrah kuwa ni kundi dogo ambalo liko ndani ya kundi kubwa ambalo lilikuwa na mtume lakini tu ahlul fitrah hawakupata ujumbe wa mtume huyo ?
 
Watakuwaje na mtume wakati jina lao linaainisha kutofikiwa na mtume ?
kwa hiyo unakubali kuwa ahlul fitrah ni kikundi kidogo cha watu kilichokuwa ndani ya kundi kubwa la watu ambao kwa ujumla wake walifikiwa na mtume ?
 
kwa hiyo unakubali kuwa ahlul fitrah ni kikundi kidogo cha watu kilichokuwa ndani ya kundi kubwa la watu ambao kwa ujumla wake walifikiwa na mtume ?
Hili halipo sababu jina lao tu limeakisi na limekidhi ya wao kutokufikiwa na mtume wala ujumbe, na kwa wingi wao au uchache wao kwa maana ya umma nao ni umma.
 
Kabla ya uislam waarabu walikuwa kwenye "ENZI ya ujinga "
Uislam ulipo kuja ukawafundisha stara.
Jinsi ya kuabudu,jinsi ya kula,jinsi ya kuoa, kuishi na watu n.k.
Uislam unajitegemea. Ndo maana hata mmakonde wa mtwara anaweza kuwa muislam na kusoma quran.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ustaarabu wa kuoa mtoto wa miaka 6?
 
Hili halipo sababu jina lao tu limeakisi na limekidhi ya wao kutokufikiwa na mtume wala ujumbe, na kwa wingi wao au uchache wao kwa maana ya umma nao ni umma.
Ukisikia ahlul fulani maana yake hao ahlul ni baadhi ya watu katika kundi fulani.

Mfano

Ahlul bayt..watu wa nyumba ya mtume hii maana yake kuna watu ambao sio wa nyumba ya mtume wakati huo huo.

Ahlul bidaa..maana yake wakati huo huo kuna watu ambao sio ahlul bidaa.maana yake kuna kundi la watu ambalo ndani yake kuna ahlul bidaa na wasiokuwa wao.

Ahlul Jannah maana yake wakati huo huo kuna ambao sio ahlul jannah.maana yake kuna kundi la watu ambalo ndani yake kuna wa jannah na wasiokuwa hao.

Ahlul ilmi wakati huo huo kuna ambao sio ahlul ilmi.maana yake kuna kundi la watu hapo ambao kuna ahlul ilmi na wasiokuwa hao.

Na ahlul fitrah maana yake wakati huo huo kuna ambao sio ahlul fitrah.kwa maana ya kuwa kuna kundi kubwa la watu ambalo ndani yake kuna ahlul fitrah na wasiokuwa wao.

Sasa ukilazimisha kuwa ahlul iwe kama unavyoona wewe ni mtihani kwa kweli.

Maana ya ahlul fitrah ni baadhi ya watu ambao wapo katika ummah fulani hawakufikiwa na ujumbe.

Kwani Mtume hakuona hiyo neno ummah asitumie hilo neno ummah tu katika tamko lake la ahlul fitrah asitumie ummatul fitrah ?
 
Ukisikia ahlul fulani maana yake hao ahlul ni baadhi ya watu katika kundi fulani.

Mfano

Ahlul bayt..watu wa nyumba ya mtume hii maana yake kuna watu ambao sio wa nyumba ya mtume wakati huo huo.

Ahlul bidaa..maana yake wakati huo huo kuna watu ambao sio ahlul bidaa.maana yake kuna kundi la watu ambalo ndani yake kuna ahlul bidaa na wasiokuwa wao.

Ahlul Jannah maana yake wakati huo huo kuna ambao sio ahlul jannah.maana yake kuna kundi la watu ambalo ndani yake kuna wa jannah na wasiokuwa hao.

Ahlul ilmi wakati huo huo kuna ambao sio ahlul ilmi.maana yake kuna kundi la watu hapo ambao kuna ahlul ilmi na wasiokuwa hao.

Na ahlul fitrah maana yake wakati huo huo kuna ambao sio ahlul fitrah.kwa maana ya kuwa kuna kundi kubwa la watu ambalo ndani yake kuna ahlul fitrah na wasiokuwa wao.

Sasa ukilazimisha kuwa ahlul iwe kama unavyoona wewe ni mtihani kwa kweli.

Maana ya ahlul fitrah ni baadhi ya watu ambao wapo katika ummah fulani hawakufikiwa na ujumbe.

Kwani Mtume hakuona hiyo neno ummah asitumie hilo neno ummah tu katika tamko lake la ahlul fitrah asitumie ummatul fitrah ?
Unapo ambiwa ahlul fitrah ni watu ambao hawakufikiwa na ujumbe wala mtume, kisha ukasoma aya inayosema ya kuwa kila umma ulifikiwa na ujumbe unajifunza nini hapo ?

Huku watu hao wakiingia katika umma na ni umma, nilikuuliza historia iliandika kuna watu waliitwa Wamagharibi ya kale bali kulipita kitambo hapakuwa na mtume wala nabii, hawa watu ni umma au ni nini ? Mathalani jamii ile ya Wagiriki na Wanafalsafa wa kale wa Magharibi huu ni mfano tosha, na waliishi kitambo kirefu sana. Kina Thales, Homeri, Demokritus wa Abdera, Plato wengine, hizi zilikuwa ni jamii kubwa.
 
Unapo ambiwa ahlul fitrah ni watu ambao hawakufikiwa na ujumbe wala mtume, kisha ukasoma aya inayosema ya kuwa kila umma ulifikiwa na ujumbe unajifunza nini hapo ?
Hapo najifunza kuwa ahlul fitra ni kikundi kidogo cha watu ambacho kipo ndani ya kundi kubwa la watu (ummah)kundi ambalo lilifikiwa na Mtume na ujumbe pia.

Tukisema mtume tunakusudia na ule ujumbe.

Aya haikusema kuwa kila mtu alipewa ujumbe ama alifikishiwa utume,aya haiakuainisha kuwa kila mtu bali aya imeainisha kuwa kila ummah.

Sasa ukidai kuwa ahlul fitrah hawakupewa utume kwani hapo tafsiri yake si ni watu wa fitrah tafsiri ambayo ni ndogo ambayo inatoa idadi ndogo kuzidi ile ya ummah.

Aya haikusema kila mtu alipewa mtumr aya imesema kila ummah ulipewa Mtume .

Na katika huo ummah wenye mtume sasa kuna baadhi ya watu wachache ambao hawakupata huo ujumbe wa Mtume sasa.

Ni sawa na kuwa waseme tanzania walileta chakula lakini haina maana kuwa kila mtanzania alipata chakula.

Ama tanzania walileta vyandarua haina maana kuwa kila mtanzania mmoja mmoja alipata,ila kwa tanzania walileta.

Au china wamepata corona,haina amaana kila mchina mmoja mmoja kaipata corona.

Na ndivyo ilivyo katika ahlul fitrah sasa.hao ni baadhi ya watu wachache katika ummah wa watu fulani waliopewa mtume,ila hao sasa hawakufikiwa na ujumbe huo na wala hawakufikiwa na mtume.

Wangefikiwa na mtume basi na huo ujumbe wa Mtume ungewafikia pia.

Kwa hiyo hapo changanua ubongo vizuri uone urahisi wa mambo.

Unasoma na kufikiri kaka ama unasoma tu kilichoandikwa.
Huku watu hao wakiingia katika umma na ni umma, nilikuuliza historia iliandika kuna watu waliitwa Wamagharibi ya kale bali kulipita kitambo hapakuwa na mtume wala nabii, hawa watu ni umma au ni nini ? Mathalani jamii ile ya Wagiriki na Wanafalsafa wa kale wa Magharibi huu ni mfano tosha, na waliishi kitambo kirefu sana. Kina Thales, Homeri, Demokritus wa Abdera, Plato wengine, hizi zilikuwa ni jamii kubwa.
Hao watu unaowasema wewe kama kweli hawalufikiwa na ujumbe siweI kukataa.lakini kutokufikiwa kwao haina maana ya kuwa ati hakukuwepo na ujumbe wa Mtume fulani ambae alitumwa kwa zama za watu ambao hao wanafalsafa wakiwemo.

Mfano baba yake mtume katika hadithi mtume anasema baba yake Mtume yuko motoni.

Ssasa kama yuko motoni na kafa mtume hata hajapeawa utume wala ujumbe unadhani kwa nini aende motoni na wakati yeye anakufa hapakuwa na mtume wala ujumbe wowote kwa wakati ule ?

Ukisema kuwa ilitakiwa wafuate mila ya nabii ibraahimu hapo maanaa ayake utakubali kuwa tokea aondoke nabii ibraahaimu ujumbe wake umefanya kazi na uliwajibikia zama zote za hapo kati mpaka kufikia wakati wa mtume muhammad,unakubali hilo ?
 
Mkuu unadhani mtoto wa miaka sita hawezi kuolewa kwa sababu ya katiba hairuhusu ,au unadhani hawezi kuolewa kwa sababu maumbile hayamruhusu ?
Unadhani kuna jamii gani ya ustaarabu inayoweza kukubaliana na ndoa ya mtoto wa maiaka 6 kuolewa na mzee wa 50+?
 
Unadhani kuna jamii gani ya ustaarabu inayoweza kukubaliana na ndoa ya mtoto wa maiaka 6 kuolewa na mzee wa 50+?
jamii ya kiarabu ya kistaarabu imekubali hilo.

Jibu swali langu sasa.

Unadhani mtoto wa miaka sita haiwezekani kuolewa kwa sababu ya katiba haijaruhusu,au hawezi kuolewa kwa sababu ya maumbile hayaruhusu ?
 
jamii ya kiarabu ya kistaarabu imekubali hilo.

Jibu swali langu sasa.

Unadhani mtoto wa miaka sita haiwezekani kuolewa kwa sababu ya katiba haijaruhusu,au hawezi kuolewa kwa sababu ya maumbile hayaruhusu ?
Ustaarabu hatuangalia uvaaji wa kanzu na protocol za kininja

Katika maadili ya kiustaraabu au jamii ambayo kweli imestaarabika haiwezi kukubaliana na ndoa hii ambayo mtume wenu aliifanya

Sio kwasababu maumbile hayaruhusu, ni kwasababu taratibu za kiustaarabu hazikubaliani na unyama huo kwa watoto
 
Back
Top Bottom