safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,166
- 15,850
hatujaeewana.Hoja ya maana ya ummah, wanaingia hao ahlul fitrah, na hadithi imethibitisha wazi kabisa ya kuwa kuna watu hawakufikiwa na ujumbe.
Mtume kasema ahlul fitrah na wala haikusema umatul fitrah.
Kuingiza ahlul fitrah ikawa sawa na umma ambao Qurani imesema kila ummah ulipewa mjumbe,kuingiza huko ni kwa mujibu wa nani ikiwa Mtume kasema ahlul na sio ummah ?