Dini ni Utamaduni wa watu fulani

Dini ni Utamaduni wa watu fulani

Ustaarabu hatuangalia uvaaji wa kanzu na protocol za kininja

Katika maadili ya kiustaraabu au jamii ambayo kweli imestaarabika haiwezi kukubaliana na ndoa hii ambayo mtume wenu aliifanya

Sio kwasababu maumbile hayaruhusu, ni kwasababu taratibu za kiustaarabu hazikubaliani na unyama huo kwa watoto
mimi sijasema kuwa ustaarabu ni kuvaa kanzu na maninja.

Bali nimesema wastaarabu waarabu wanafanya hilo jambo.

Wakati wewe umeuliza kuwa jamii gani ya wastaarabu inafanya hivyo maana yake umekusudia kuwa mbali na hilo la kuoa mtoto wa miaka 6 hao watu ni wastaarabu.

Kwa hiyo ulikusudia kuwa wawe wastaarabu mbali na hilo la kuoa kitoto cha miaka 6.

Na waarabu mbali na hili la kuoa kitoto cha miaka 6 wana ustaarabu mwingi tu.
Ndo maana nikakuambia kuwa waarabu ni wastaarabu huwa wanafanya hivyo.
Sasa tena unaruka warukia kwingine.
Sio kwasababu maumbile hayaruhusu, ni kwasababu taratibu za kiustaarabu hazikubaliani na unyama huo kwa watoto
Kwani kuna taratibu gani na zimeandikwa wapi taratibu hizo za kiustaarabu ambazo dunia nzima imekubaliana kuwa hizo ndo ustaarabu bila kutofautiana hata kidogo ?
 
mimi sijasema kuwa ustaarabu ni kuvaa kanzu na maninja.
Ila?

Bali nimesema wastaarabu waarabu wanafanya hilo jambo.
Jambo gani?

Wakati wewe umeuliza kuwa jamii gani ya wastaarabu inafanya hivyo maana yake umekusudia kuwa mbali na hilo la kuoa mtoto wa miaka 6 hao watu ni wastaarabu.
Hiyo haiondoi maana kua sio wastaarabu. Kwadababu swala la ukatiri kwa mtoto mdogo katika maadili ya kistaarabu lazima liwe na uzito sana. Na pengine tungetegemea kuwaona wao ndio wako mstari wa mbele kulinda haki ya mtoto wa kike kwasababu mnawaita wastaraabu.

Katika jamii ambazo hazijinadi kua wastaarabu wameweka sheria kandamizi ambayo inamhukumu mwanaune kama mbakaji endapo atafanya ngono na binti mwenye umri chini ya maiaka 18.

Kwa hiyo ulikusudia kuwa wawe wastaarabu mbali na hilo la kuoa kitoto cha miaka 6.
Nawe mpaka hapa unaonesha jinsi gani hukubalini na ajenda yao ya kuoa mtoto wa miaka 6 na ndio maana unailelezea katika muktadha ambao sio rafiki na mazingira ya kiustaarabu.

Sasa wenzako wanajumlisha hili jambo kua nalo ni miongoni mwa ustaraabu

Na waarabu mbali na hili la kuoa kitoto cha miaka 6 wana ustaarabu mwingi tu.
Hiyo haiondoi maana kwamba hawajastaarabika. Hata hitler aliua watu zaidi ya milioni kumi lakini hatuwezi kusema sio gaidi eti kwasababu kulikua na watu wawili aliokua anawapenda

Ndo maana nikakuambia kuwa waarabu ni wastaarabu huwa wanafanya hivyo.
Sasa tena unaruka warukia kwingine.
Kusema wastaarabu hakuwafanyi wawe kweli wastaarabu ikiwa kama wanafanya ukatili kwa watoto wadogo

Kwani kuna taratibu gani na zimeandikwa wapi taratibu hizo za kiustaarabu ambazo dunia nzima imekubaliana kuwa hizo ndo ustaarabu bila kutofautiana hata kidogo ?

Kama utaratibu unakua unamipaka utaanzaje kusema watu flani ni wastaarabu na watu wengine sio wastaarabu wakati ukijua hao ambao sio wastaraabu wanasheria zao ambazo zinawaruhusu wao kufanya hivyo?

Unajua ukishasema kua hakuna sheria maalumu kwa dunia nzima inayotumika kuonyesha yupi mstaarabu, vile vile hupaswi kusema watu flani ni wastaarabu kwasababu vigezo hivyo unakua umevitoa kwenye sheria ya wapi?
 
Sasa wenzako wanajumlisha hili jambo kua nalo ni miongoni mwa ustaraabu
Ustaarabu kwangu ni jambo la lazima kulitekeleza.

Kuoa binti wa miaka 6 sio jambo la lazima kwangu ndio maana mtu akifanya naona sawa asipofanya naona sawa maadamu mazingira ya sehemu alipo na maumbile yanaruhusu.

Kuoa binti mdogo kwangu sio jambo baya ni zuri kama ambavyo ilivyo kuoa bibi kizee kwangu ni jambo zuri kwangu pia.

Kwangu mimi ustaarabu ni kuoa,hiyo una muoa nani ni ziada tu mradi awe mtu ambaye anafaa kuolewa.

Sasa ukianza kunilazimisha nione kuwa kuoa binti wa miaka 6 ni ukatili lazima uwe na hoja za Msingi sana.
 
sijagusia Kabisa kuhusu ustaarabu ufanye jambo lipi kwa hiyo usitie ila kana k2amba kuna jambo nilizungumza kuelezea hiko kitu ustaarabu.
Jambo gani?
La kuoa binti wa miaka 6.
Hiyo haiondoi maana kua sio wastaarabu. Kwadababu swala la ukatiri kwa mtoto mdogo katika maadili ya kistaarabu lazima liwe na uzito sana. Na pengine tungetegemea kuwaona wao ndio wako mstari wa mbele kulinda haki ya mtoto wa kike kwasababu mnawaita wastaraabu.

Katika jamii ambazo hazijinadi kua wastaarabu wameweka sheria kandamizi ambayo inamhukumu mwanaune kama mbakaji endapo atafanya ngono na binti mwenye umri chini ya maiaka 18
Ndo mana nikakuuliza kuwa kuna marejeo mamoja ambayo jamii zote Inarejea hapo kujua kila aina ya ustaarabu kwa mujibu wa marejeo hayo ?

Kama yapo ni yapi ?

Au ustaarabu unajulikana kwa vipimo gani ambavyo jamii zote duniani zimekubaliana katika vipimo hivyo ?

Kwa sababu kupinga kwako hili jambo nakubali kuwa unapinga ila je kwa hoja zipi,jibu hayo niliyokuuliza.
Kama utaratibu unakua unamipaka utaanzaje kusema watu flani ni wastaarabu na watu wengine sio wastaarabu wakati ukijua hao ambao sio wastaraabu wanasheria zao ambazo zinawaruhusu wao kufanya hivyo?
Kwani mimi wapi nimedai kuwa watu flani sio wastaarabu?

Hayo umeyadai wewe kuwa wale wanaooa watoto wa miaka 6 kuwa sio wastaarabu,ndo mana mimi nakuhoji hapa.

Mimi ninachokuelimisha hapa uone kuwa kwa mujibu wa tamaduni zao na mazingira yao hilo jambo sio baya kwao.wewe ndo upo hapa kuwatoa hao waarabu katika wastaarabu na wala sio mimi.
Unajua ukishasema kua hakuna sheria maalumu kwa dunia nzima inayotumika kuonyesha yupi mstaarabu, vile vile hupaswi kusema watu flani ni wastaarabu kwasababu vigezo hivyo unakua umevitoa kwenye sheria ya wapi?
Mimi nasema watu fulani wastaarabu kwa mujibu wa marejeo yangu na wala sio kwa mujibu wa marejeo ya dunia nzima,kwa sababu dunia nzima natambua haina marejeo moja.

Wewe unaeshadidia kuwa watu fulani sio wastaarabu ndio unatakiwa kujiuliza hapa kwa nini ushadidie hivyo bila hata kusema kuwa kwa mujibu wa taratibu zao hilo sio jambo baya ?

Umeahindwa hivyo bali unalazimisha kana kwamba wewe ndio unaratibu nani awe mstraabu na nani asiwe.

Kwa hiyo tunakubaliana kuwa kwa mujibu wa waarabu wenyewe hilo jambo la kuoa mtoto wa miaka 6 n.k sio jambo baya kwao na limefanyika tangu na tangu ila kwako wewe na jamii zingine sio ustaarabu ,tunakubaliana hivyo ama ?
 
Na wewe kiokote kutoka kwa huyo mwanazuoni wako, thibitisha usahihi wa hayo uliyoyaokota kutoka kwake.


Quran (Allah) anatutaka tutumie akili katika kutafakari maudhui aya zake, wewe kwa ujinga na ububusa wako unadhani akili ulizopewa ni kwa ajili ya kukariri aya za Quran na kuvukia barabara tu, akili uliyonayo ni ya "Majini-paka" na "Majini- nyoka", akili yako imelala doro.

QUR'AN inahitaji wetu wenye akili na sio Mabubusa.

Eti kwa mawazo yako ya hovyo; kipindi nyimati za mashariki ya kati wamepewa manabii kuwaongoza kumcha Allah huku Africa na sehemu zingine za dunia hakukuwa na watu waliohitaji Muongozo kutoka kwa Allah!!!??--- a shere stupid imbecility, sisi waafrika tulikuwa na laana gani kipindi hicho tukakosa neema ya manabii???, je tulikuwa kama wanyama au zama hizo huku hakukuwepo na watu ??!!.

Mjinga hawezi kujiuliza hayo maswali bali mwenye akili ya kutafakari maneno ya Allah.

Allah akuongize, akuondolee kibri cha "ujuaji" unyenyekee kwake ukilia kwa machozi huku ukiomba dua hii; "Ee mola wangu mimi sijui kitu nawe ndiye mjuzi wa kila kitu nizidishie elimu na uniruzuku ufahamu".
Aya uliyoitoa ipo wazi! Mungu ametuma Mitume na Manabii kila umma. Hiyo aya inajitosheleza. Atakayehitaji kuikubali maana yake aikubali na atakayehitaji kuikataa maana yake na aikatae.

Ipo Mitume ambayo haikutajwa kwenye Quran mfano Nabii Shiith A.S, Nabii Hizqiil (Ezikiel) A.S. n.k

Muhimu ni kwamba inabidi mtu afahamu elimu ni pana! Ila siku hizi kwenye Uislamu kuna wanaonyeshwa itikadi na kuna wanaonyeshwa elimu.

Ndiyo maana wenye kutafakari kama Mungu alivyowaita walikuwa wanazungukasehemu tofauti tofauti ya dunia. Walichokikuta ni kuwa sehemu nyingi zenye tamaduni tofauti kuna msingi mmoja wa Tawhiid nao yupo Mungu mmoja aliyetuumba na ni mwenye nguvu ila walichochanganya ni shirk. Kuwa Mungu ana washirikakwenye kuabudiwa. Walisahau ya kuwa Mungu anatosheka na shirika la peke yake.

Mwenye kutafakari ndipo anapotafakari inakuwaje licha ya shirk yao lakini bado wanaamini yupo mwenye nguvu mmoja aliyetuumba. Bila shaka kuna ujumbe ulifika hapa tangu awali. Kwa hiyo Quran msingi wake ni ule ule lakini kuna aya nyengine zinakutaka utafakari.

Ndiyo maana kwa kutafakari huku zama za dola za Kiislam zilizopita zilipiga hatua kubwa ya kidunia na akhera. Kipindi hicho kabla ya elimu haijafika kwa Bara Ulaya wa magharibi. Kwenye Fizikia Maulamaa wapo wameandika vitabu, Kemia Maulamaa wapo wameandika vitabu na fani zote.

Naishia hapa!
 
sijagusia Kabisa kuhusu ustaarabu ufanye jambo lipi kwa hiyo usitie ila kana k2amba kuna jambo nilizungumza kuelezea hiko kitu ustaarabu.

La kuoa binti wa miaka 6.

Ndo mana nikakuuliza kuwa kuna marejeo mamoja ambayo jamii zote Inarejea hapo kujua kila aina ya ustaarabu kwa mujibu wa marejeo hayo ?

Kama yapo ni yapi ?

Au ustaarabu unajulikana kwa vipimo gani ambavyo jamii zote duniani zimekubaliana katika vipimo hivyo ?

Kwa sababu kupinga kwako hili jambo nakubali kuwa unapinga ila je kwa hoja zipi,jibu hayo niliyokuuliza.

Kwani mimi wapi nimedai kuwa watu flani sio wastaarabu?

Hayo umeyadai wewe kuwa wale wanaooa watoto wa miaka 6 kuwa sio wastaarabu,ndo mana mimi nakuhoji hapa.

Mimi ninachokuelimisha hapa uone kuwa kwa mujibu wa tamaduni zao na mazingira yao hilo jambo sio baya kwao.wewe ndo upo hapa kuwatoa hao waarabu katika wastaarabu na wala sio mimi.

Mimi nasema watu fulani wastaarabu kwa mujibu wa marejeo yangu na wala sio kwa mujibu wa marejeo ya dunia nzima,kwa sababu dunia nzima natambua haina marejeo moja.

Wewe unaeshadidia kuwa watu fulani sio wastaarabu ndio unatakiwa kujiuliza hapa kwa nini ushadidie hivyo bila hata kusema kuwa kwa mujibu wa taratibu zao hilo sio jambo baya ?

Umeahindwa hivyo bali unalazimisha kana kwamba wewe ndio unaratibu nani awe mstraabu na nani asiwe.

Kwa hiyo tunakubaliana kuwa kwa mujibu wa waarabu wenyewe hilo jambo la kuoa mtoto wa miaka 6 n.k sio jambo baya kwao na limefanyika tangu na tangu ila kwako wewe na jamii zingine sio ustaarabu ,tunakubaliana hivyo ama ?
Ustaarabu ni nini?

Kipi kipimo cha kujua huu ni ustaarabu na huu siyo?
 
Ustaarabu ni nini?

Kipi kipimo cha kujua huu ni ustaarabu na huu siyo?
unasemaje juu ya maswaa ambayo nimekuuliza mimi hko juu,unakuwa kama hujayaona alafu unataka nikujibu wakati na wewe hujibu.

Unauliza maana ya ustaarabu kwani wewe wakati unadai waarabu sio wastaarabu ulikuwa umeweka mfukoni maana ipi ya ustaarabu mkuu ?
 
Aya uliyoitoa ipo wazi! Mungu ametuma Mitume na Manabii kila umma. Hiyo aya inajitosheleza. Atakayehitaji kuikubali maana yake aikubali na atakayehitaji kuikataa maana yake na aikatae.

Ipo Mitume ambayo haikutajwa kwenye Quran mfano Nabii Shiith A.S, Nabii Hizqiil (Ezikiel) A.S. n.k

Muhimu ni kwamba inabidi mtu afahamu elimu ni pana! Ila siku hizi kwenye Uislamu kuna wanaonyeshwa itikadi na kuna wanaonyeshwa elimu.

Ndiyo maana wenye kutafakari kama Mungu alivyowaita walikuwa wanazungukasehemu tofauti tofauti ya dunia. Walichokikuta ni kuwa sehemu nyingi zenye tamaduni tofauti kuna msingi mmoja wa Tawhiid nao yupo Mungu mmoja aliyetuumba na ni mwenye nguvu ila walichochanganya ni shirk. Kuwa Mungu ana washirikakwenye kuabudiwa. Walisahau ya kuwa Mungu anatosheka na shirika la peke yake.

Mwenye kutafakari ndipo anapotafakari inakuwaje licha ya shirk yao lakini bado wanaamini yupo mwenye nguvu mmoja aliyetuumba. Bila shaka kuna ujumbe ulifika hapa tangu awali. Kwa hiyo Quran msingi wake ni ule ule lakini kuna aya nyengine zinakutaka utafakari.

Ndiyo maana kwa kutafakari huku zama za dola za Kiislam zilizopita zilipiga hatua kubwa ya kidunia na akhera. Kipindi hicho kabla ya elimu haijafika kwa Bara Ulaya wa magharibi. Kwenye Fizikia Maulamaa wapo wameandika vitabu, Kemia Maulamaa wapo wameandika vitabu na fani zote.

Naishia hapa!
Mkuu umeandika kwa tahadhari kubwa ,unaweza kufunguka zaidi mkuu juu ya haya mas'ala tunyoyajadili hapa.

Umegusia suala la kumezeshwa elimu,hili jambo watu wengi tunalo sana zama hizi zetu pengine hata mimi sijasalimika nalo ktika baadhi ya maeneo.

Unaweza kufafanua zaidi juu ya mambo haya tunayojadiliana na bwana zurri hapa kuhusu kila ummah kupata mjumbe,bwana zurri anadai kwa kunukuu vitabu kuwa kuna ummah hazikupata mjumbe.

Una lolote la kuchangia katika hili mkuu ?
 
Na wewe kiokote kutoka kwa huyo mwanazuoni wako, thibitisha usahihi wa hayo uliyoyaokota kutoka kwake.


Quran (Allah) anatutaka tutumie akili katika kutafakari maudhui aya zake, wewe kwa ujinga na ububusa wako unadhani akili ulizopewa ni kwa ajili ya kukariri aya za Quran na kuvukia barabara tu, akili uliyonayo ni ya "Majini-paka" na "Majini- nyoka", akili yako imelala doro.

QUR'AN inahitaji wetu wenye akili na sio Mabubusa.

Eti kwa mawazo yako ya hovyo; kipindi nyimati za mashariki ya kati wamepewa manabii kuwaongoza kumcha Allah huku Africa na sehemu zingine za dunia hakukuwa na watu waliohitaji Muongozo kutoka kwa Allah!!!??--- a shere stupid imbecility, sisi waafrika tulikuwa na laana gani kipindi hicho tukakosa neema ya manabii???, je tulikuwa kama wanyama au zama hizo huku hakukuwepo na watu ??!!.

Mjinga hawezi kujiuliza hayo maswali bali mwenye akili ya kutafakari maneno ya Allah.

Allah akuongize, akuondolee kibri cha "ujuaji" unyenyekee kwake ukilia kwa machozi huku ukiomba dua hii; "Ee mola wangu mimi sijui kitu nawe ndiye mjuzi wa kila kitu nizidishie elimu na uniruzuku ufahamu".
mkuu umeongea jambo kubwa sana hasa katika hiyo dua.

"ewe mola niruzuku elimu na uniruzuku ufahamu"

Mtu anaweza akawa na elimu ila akakosa ufahamu,na mtu anaweza kuwa na ufahamu ila akakosa elimu,hawa wote wanaweza kuharibu zaidi ikiwa watapishwa kuzungumza kwa ajili ya maslahi ya wengi.

Kinachotakiwa ni elimu na ufahamu.

Mtu anaweza kuwa na elimu ya hadithi lakini kuzifahamu ni shida,kuzifanyia bahthi na kuzichambua ndio tatizo wakati kauli za Allah na Mtume zinakusanya mafundisho mengi ambayo kama mtu hauna ufahamu utaona dhaahiri ya mambo tu.

Wakati zurri anasema kuwa afrika hakukuwa na Mtume ,uislamu unasema kila ummah ulikuwa na Mtume tena mitume laki na kitu.

Sasa mtu unajiuliza hawa laki na kitu ndo huku afrika hakukuwa na mtume kabisa ilhali hawa waafrika nao ni ummah wa watu ambao wanastahiki kupewa mitume ?

Utaona kuwa hapo panahitaji tafakkuri ya ndani sana kuzielewa aya na hadithi za mtume wetu muhammad.

Umegusia jambo zuri sana n muhimu mnoo bwana mokaze.
 
Mfano baba yake mtume katika hadithi mtume anasema baba yake Mtume yuko motoni.

Ssasa kama yuko motoni na kafa mtume hata hajapeawa utume wala ujumbe unadhani kwa nini aende motoni na wakati yeye anakufa hapakuwa na mtume wala ujumbe wowote kwa wakati ule ?
Wanazuoni wanawaweka watu hao katika makundi matatu, kama ifuatavyo, pale wanapo wazungumzia "ahlul fatrah"

1. Wale ambao wamekiri na kuukubali upweke wa Allah kwa msaada wa neema ya akili waliyo pewa kwa kuhoji na kujiuliza, kama vile Qus bin Saida na Zayd bin Amr, baba wa Said bin Zayd ambao walitabiriwa kheri.

2. Wale ambao walibadilisha imani ya Mungu mmoja na kuelekea masanamu, wale walio leta dini zao na kujifanyia miungu wao kinyume na Allah, kama vile Amr bin Luhay, na hapa wanaingia wazaziwa mtume.

3. Wale ambao walikuwa baina ya wawili hao, hawaku kana wala hawakuwa washirikina, yaani maisha yao yote waliishi katika ujinga, yawni muda ambao hapakuwa na mtume, na kundi hili ndilo litakuja kupewa mtihani siku ya Qiyama, kama ilivyo kuja hadithi ambayo pia ameisimulia Imaam Ibn Hibban na Tabarani kadhalika.
 
Hapo najifunza kuwa ahlul fitra ni kikundi kidogo cha watu ambacho kipo ndani ya kundi kubwa la watu (ummah)kundi ambalo lilifikiwa na Mtume na ujumbe pia.
Unao ushahidi kuonyesha ya kuwa ahlul fatrah ni kikundi kidogo cha watu ?

Lakini, je kundi dogo la watu haliitwi umma ? Naona unarudi kule kule tulipo toka.
 
Sasa ukidai kuwa ahlul fitrah hawakupewa utume kwani hapo tafsiri yake si ni watu wa fitrah tafsiri ambayo ni ndogo ambayo inatoa idadi ndogo kuzidi ile ya ummah
Ukisoma katika sahihi al Bukhari, imaam Al Bukhari anapo ongelea maana ya Ahlul Fatrah ni kaumu ambayo baina ya nabii Issa na mtume Muhammad, hii ndiyo ahlul Fatrah sasa utaniambia kitambo hiki ni ulimwengu mzima au kitongoji kimoja au ni kikundi cha watu wachache.

Lakini, wanazuoni wetu kwa jitihada zao kwa idhni ya Allah, na kwa kuzingatia nususi na historia katika kipindi hiki ambacho hapakuwa na mtume, kipindi hiki wakakigawa katika makundi matatu.

Kaka Qur'aan na hadithi hazipingani, aya iko wazi na Hadithi iko wazi, na ulamaa wamebainisha jambo hili kwa uwazi wenye kukidhi haja.
 
Wanazuoni wanawaweka watu hao katika makundi matatu, kama ifuatavyo, pale wanapo wazungumzia "ahlul fatrah"

1. Wale ambao wamekiri na kuukubali upweke wa Allah kwa msaada wa neema ya akili waliyo pewa kwa kuhoji na kujiuliza, kama vile Qus bin Saida na Zayd bin Amr, baba wa Said bin Zayd ambao walitabiriwa kheri.

2. Wale ambao walibadilisha imani ya Mungu mmoja na kuelekea masanamu, wale walio leta dini zao na kujifanyia miungu wao kinyume na Allah, kama vile Amr bin Luhay, na hapa wanaingia wazaziwa mtume.

3. Wale ambao walikuwa baina ya wawili hao, hawaku kana wala hawakuwa washirikina, yaani maisha yao yote waliishi katika ujinga, yawni muda ambao hapakuwa na mtume, na kundi hili ndilo litakuja kupewa mtihani siku ya Qiyama, kama ilivyo kuja hadithi ambayo pia ameisimulia Imaam Ibn Hibban na Tabarani kadhalika.
Nadhani umefahamu hoja yangu ilipo ndio maana nikakupa hiyo mifano yote,buko kugawa baadaye kunarud pale pale kuwa hao wazazi wa Mtume sio katika ahlul fitrah.

Kwa sababu ingekuwa wazazi wa Mtume ni katika ahlul fitrah basi mtume asingesema baba yake yuko motoni,maana yake kuwa Kuweko kwake motoni ni ishara kuwa sio katika ahlul fitrah.

Unapowaingiza wazazi wa Mtume katika ahlul futrah na wakati mtme yeye anasema wako motoni maana yake unatuambia kuwa wewe ndo uko sahihi zaidi ya Mtume.

Unatakiwa ukubali tu kuwa baina ya wazazi wa Mtume na mtume kilipita kipindi kirefu,kipindi ambacho hakibatiishi uwajibu wa ujumbe wa huyo mtume kuwajibikia watu hata wa baadae kama wazaz wake mtume.

Wazazi wa Mtume sio katika ahlul fitrah,hivyo sio sahihi kuwatia hao katika kundi hilo.

Kama ni sahihi kuwatia hao basi utuambie kuwa kabla ya Mtume muhammad kuzaliwa watu wote wa kabla yake kabla ya kupewa utume walikuwa ni katika alul fitra kwa sababu nao ni watu kama wazazi wa Mtume pia.

Hoja zako hazijajengeka madhubuti,mgawanyo ulioufanya hauna maana yeyote katika mjadala wetu kwani haubadilishi chochote.
 
Aya haikusema kila mtu alipewa mtumr aya imesema kila ummah ulipewa Mtume .
Baada ya nabii Issa mpaka mtume Muhammad,kuna mtume gani au nabii gani alikuwepo hapa ulimwenguni ?

Mudachuu watu walizaliwa na watu waliishi na watu walikufa, huu ni ummah au siyo ummah ?

Sasa naona unanipotezea mzee kwa kujadili jambo liko wazi kuliko unavyofikiri.
 
Kama ni sahihi kuwatia hao basi utuambie kuwa kabla ya Mtume muhammad kuzaliwa watu wote wa kabla yake kabla ya kupewa utume walikuwa ni katika alul fitra kwa sababu nao ni watu kama wazazi wa Mtume pia.
Hao wote walikuwa ni ahlul fatrah ndiyo maana imaam al Bukhari anaposema ahlul Fatrah ana maanisha watu ambao waliishi kipindi ambacho ni baina ya nabii Issa na Mtume Muhammad, ila kwa juhudi za wanazuoni na kuangalia mambo kiundani wakaweka mgawanyo huo.
 
Ukisoma katika sahihi al Bukhari, imaam Al Bukhari anapo ongelea maana ya Ahlul Fatrah ni kaumu ambayo baina ya nabii Issa na mtume Muhammad, hii ndiyo ahlul Fatrah sasa utaniambia kitambo hiki ni ulimwengu mzima au kitongoji kimoja au ni kikundi cha watu wachache.
kwa hiyo baada ya nabii issa kufa kuna watu ambao walikuwa wakazaliwa na kuishi.hilo mosi.

Pili baada ya nabii issa kufa maana yake mafundisho hayakuishia hapo,mafundisho ya nabii issa yalienea kwa watu mbali mbali katika jamii.hilo pili.

Sasa jee

Je hizi jamii ambazo ziliishi baada ya nabii issa kufa,na hazikupata ujumbe wowote wa nabii issa,lau kama jamii hizi zingepata huo ujumbe wa nabii issa je ingekuwa ni wajibu kwao kufuata ujumbe huo au hata wangeuwacha wasingekuwa na dhima yeyote ?
 
Hoja zako hazijajengeka madhubuti,mgawanyo ulioufanya hauna maana yeyote katika
Hapa nimecheka sana, halafu muda huo huo unanad ya kuwa umeelewa nilicho kiandika, ajabu ajabu ajabu ajabu.
 
Baada ya nabii Issa mpaka mtume Muhammad,kuna mtume gani au nabii gani alikuwepo hapa ulimwenguni ?
Tuchukue baada ya nabii issa mpaka kabla ya mtume huu ummah wa baada ya nabii issa tuwape jina la watanzania.

Sasa je hawa watanzania(walioishi baada ya nabii issa) waliupata ujumbe wa nabii issa wakauwacha kwa kuwa sio mtume wao?

Au hawakufikiwa kabisa na ujumbe wa nabii issa kwa maana ya kuwa ungewafikia ujumbe huo wangewajibika kuufuata ?
 
Back
Top Bottom