Dini ni Utamaduni wa watu fulani

Dini ni Utamaduni wa watu fulani

Kabla sijajibu tafadhali naomba kujua kuwa MBALI NA VITABU au Qurani umejuaje kuwa Muhammad alitumwa kwa waarabu pasi na kutumia vitabu ama kitabu ?
Si wanasema kwamba huwez kuswali kwa lugha tofaut na ya Arabs, hii pekee inatosha kuthibitisha Mohamed Ni kwa ajili yao tu.
 
Si wanasema kwamba huwez kuswali kwa lugha tofaut na ya Arabs, hii pekee inatosha kuthibitisha Mohamed Ni kwa ajili yao tu.
Huo ni ushahidi wa ndani ya uelewa wako.

Ushahidi ni ule wa kimaandiko useme kuwa huyo mtu ni kwa waarabu tu.
 
mkuu zurri wewe unatambua fika kuwa katika kujenga hoja unatumia dalili.
Sahih kabisa.
Na dalili tunaweza kutumia dailili ya ujumla ama dalili maalumu.
Sahihi kabisa, ni wakati gani unatumia dalili ya ujumla ? Je kwa kuangalia dalili au kwa njia gani ?
Mfano kuna watu wanafunga haya masiku kumi yote,ukitafuta dalili maalumu iliyosema kuwa watu wafunge masiku haya haipo hiyo dalili.
Lakini pia mtume hakufunga masiku haya kama alivyosimulia mama Aisha hadithi ipo katika Sahihi Muslimu. Sasa tutawauliza watu hao ambao unasema wamefunga na ushahidi umetujia ya kuwa mtume hakufunga masiku haya. Vipi wao wafunge masiku haya ?
.ila kuna dalili Ya jumla ile inayosema kuwa "katika masiku haya kumi matendo mema yanapendeza zaidi kwa Allah"
Sahihi lakini huoni kama hadithi ya mama Aisha imekuja kulivua hilo wanalo lifanya wao kwa kutuambia ya kuwa mtume hakufanya hilo ?
Kwa hiyo katika jumla ya matendo mema na hii funga inaingia pia katika matendo hayo mema pia.
Hakuna anae kataa hilo, ila mtume hakufunga masiku yote. Sasa tutawauliza wanamfata mtume au wanafata nafsi zao maana hili ni jambo la kiibada.
Ndio maana shekh muqbil Kama sikosei,akasema kuwa hasemi kama ni bidaa kufunga masiku haya ila hakuna athari wala asili kutokea huko kwa mtumee kuwa
Kwa jinsi navyo mjua Shaykh Muqbil bin Haadiy al Waadi'y Allah amrahamu sidhani kama ameyasema, naomba ulifanyie kazi hili ili uweke kumbu kumbu vizuri uniambie haya mabeni Shaykh ameyasema katika kitabu au katika munasaba.
Ukiangalia vizuri utaona kuwa imetumika lafdhi ya

كل أمة
"KULLI UMMATIN"
Kwa maana ya kila Ummah.
Lafdhi hii siipingi lakini maana ya kisheria huwa inatengua maana ya kilugha. Mathalani wapo watu ambao katika Uislamu wannatambulika ya kuwa hawakufikiwa na ujumbe kabisa si kwa mitume wala kwa kinyume chake, na watu hao kila zama wapo, na Uislamu una watambua watu hao, jina kidogo limenitoka, ila nikikumbuka nitakutajia na hukmu yao ni kuwa siku ya Qiyama wataitwa watu hao na wale watoto ambao walikufa kabla ya umri wa kuandikiwa madhambi watapewa mitihani watakao faulu wataliowa pepo na watakao feli wataliowa moto.
Na kullu inabaki kulliyah maadamu hakuna kilichokuja kuivua kullu hiyo.
Kilicho ivua ipo hadithi ya mama Aisha kama nilivyo kugusia huko juu, hadithi ipo katika sahihi Muslim.
Na hakuna sehemu kwenye Qurani inayosema tena kuwa kuna ummah haukufikiwa na Mtume au kuna ummah haukuwa na Mtume.
Lakini Qur'aan haikutaja habari hizo, kwahiyo mtu anaye sema kwa kukata kabisa jambo ambalo limefichikana anatakiwa atupe ushahidi wa hilo, ama kuna visa vingi vya kiisrailiyaat, ambavyo vimeandika habari nyingi, na baadhi ya wanazuoni huwa wannavitumia lakini hatutakiwi kuvikubali wala kuvikataa, sababu havina uhakika na tuna vikubali vile vilivyoungwa mkono na Qur'aan na Hadithi na kinyume chake ni ukweli.
Kwa maana hata waafrica nao walikuwa katika sehemu ya Ummah huo uliotajwa na Qurani.
Unawajua Wanafalsafa wa kale wa Magharibi ? Hawa walikuwa kabla ya nabii Issa na kabla ya mtume kulikuwa na umma hapa,je ni mtume gani alikuwepi katika nyumati hizi kioindi ambacho hapakuwa na ujumbe ? Naona unasahau ya kuwa utume unaenda sambamba na ujumbe na historia zimenukuu hizi habari.
1.Sasa je kuna sehemu inasema umma wa Waafrica hawakuwa na Mtume ?
Na hakuna sehemu ambayo Qur'aan inasema Afrika kulikuwa na mtume. Kwa maana hiyo utakuwa umeielewa vibaya maana ya aya kwa kulinda nganisha na uhalisia jinsi ulivyo, na Qur'aan ndiyi uhalisia wenyewe.
 
Sahih kabisa.

Sahihi kabisa, ni wakati gani unatumia dalili ya ujumla ? Je kwa kuangalia dalili au kwa njia gani ?

Lakini pia mtume hakufunga masiku haya kama alivyosimulia mama Aisha hadithi ipo katika Sahihi Muslimu. Sasa tutawauliza watu hao ambao unasema wamefunga na ushahidi umetujia ya kuwa mtume hakufunga masiku haya. Vipi wao wafunge masiku haya ?

Sahihi lakini huoni kama hadithi ya mama Aisha imekuja kulivua hilo wanalo lifanya wao kwa kutuambia ya kuwa mtume hakufanya hilo ?

Hakuna anae kataa hilo, ila mtume hakufunga masiku yote. Sasa tutawauliza wanamfata mtume au wanafata nafsi zao maana hili ni jambo la kiibada.

Kwa jinsi navyo mjua Shaykh Muqbil bin Haadiy al Waadi'y Allah amrahamu sidhani kama ameyasema, naomba ulifanyie kazi hili ili uweke kumbu kumbu vizuri uniambie haya mabeni Shaykh ameyasema katika kitabu au katika munasaba.

Lafdhi hii siipingi lakini maana ya kisheria huwa inatengua maana ya kilugha. Mathalani wapo watu ambao katika Uislamu wannatambulika ya kuwa hawakufikiwa na ujumbe kabisa si kwa mitume wala kwa kinyume chake, na watu hao kila zama wapo, na Uislamu una watambua watu hao, jina kidogo limenitoka, ila nikikumbuka nitakutajia na hukmu yao ni kuwa siku ya Qiyama wataitwa watu hao na wale watoto ambao walikufa kabla ya umri wa kuandikiwa madhambi watapewa mitihani watakao faulu wataliowa pepo na watakao feli wataliowa moto.

Kilicho ivua ipo hadithi ya mama Aisha kama nilivyo kugusia huko juu, hadithi ipo katika sahihi Muslim.

Lakini Qur'aan haikutaja habari hizo, kwahiyo mtu anaye sema kwa kukata kabisa jambo ambalo limefichikana anatakiwa atupe ushahidi wa hilo, ama kuna visa vingi vya kiisrailiyaat, ambavyo vimeandika habari nyingi, na baadhi ya wanazuoni huwa wannavitumia lakini hatutakiwi kuvikubali wala kuvikataa, sababu havina uhakika na tuna vikubali vile vilivyoungwa mkono na Qur'aan na Hadithi na kinyume chake ni ukweli.

Unawajua Wanafalsafa wa kale wa Magharibi ? Hawa walikuwa kabla ya nabii Issa na kabla ya mtume kulikuwa na umma hapa,je ni mtume gani alikuwepi katika nyumati hizi kioindi ambacho hapakuwa na ujumbe ? Naona unasahau ya kuwa utume unaenda sambamba na ujumbe na historia zimenukuu hizi habari.

Na hakuna sehemu ambayo Qur'aan inasema Afrika kulikuwa na mtume. Kwa maana hiyo utakuwa umeielewa vibaya maana ya aya kwa kulinda nganisha na uhalisia jinsi ulivyo, na Qur'aan ndiyi uhalisia wenyewe.
Unakubali kuwa waafrika walikuwa ni katika hizo nyumati ?

Nimeona twende kifupifupi...
 
Kwa jinsi navyo mjua Shaykh Muqbil bin Haadiy al Waadi'y Allah amrahamu sidhani kama ameyasema, naomba ulifanyie kazi hili ili uweke kumbu kumbu vizuri uniambie haya mabeni Shaykh ameyasema katika kitabu au katika munasaba.
Screenshot_20200724-164159.jpg
angalia hio fatawaa kuanzia hapo nilipopigia mstari soma utayaona maneno ya sheikh muqbil.

Na huko chini umewekewa kitabu na marejeo yake,kwa hiyo ni wewe tu na muda wako mkuu kwenda kutafuta.


Sheikh anasema wazi kabisa "lau mtu akafunga masiku haya,hatuwezi kumkataza wala kumuita kuwa ni mzushi ama kazua,kwa sababu ya kuenea kwa ile hadithi iliyotangulia ya ibn Abbas"

Hili linaweza kukupa mwanga kuwa wapo wanazuoni wakubwa wanaona kuwa sio uzushi kufunga masiku haya kumi kwa sababu hadithi imeeneza kila tendo jema,na shekhe japokuwa anakubali kuwa Mtume hakufunga,lakini anafahamu kuwa kauli ya mtume imejumuisha matendo yote mema.
 
Hao mitume ya kiafrica walipewa kitabu gani?


Mtume Ibrahim, Nuhu, luti, Yunus, Shuaibu, Salehe, Yakubu nk walipewa vitabu gani??--- kwanza ungehoji vitabu vya hao manabii ambao habari zao tumesimuliwa na Allah ndani ya Qur'an ndipo uulize vitabu vya manabii ambao habari zao hatukusimuliwa.
 
Wahafidhina wapo tayari kumbagua na kumchukia ndugu yake yaani mwafrika mwenzake ambae amezaliwa na kukua nae mtaa m'moja tokea utotoni kwaajiri ya kumfurahisha mwarabu koko kutoka zanzibar anaejifanya anamjua sana MUNGU.

Cha ajabu ukienda uarabuni ambapo ndipo mnaita jamii takatifu hamthubutu kuswali na hao jamaa sababu wanawaona kama nguruwe au mfuko wa mbolea mbichi......

So kimsingi mleta uzi upo sahihi dini ni asili ya tamaduni fulani....mdharau au mchukia nduguye ni mtumwa ajae....
 
Sahihi kabisa, ni wakati gani unatumia dalili ya ujumla ? Je kwa kuangalia dalili au kwa njia gani ?
Unatumia dalili ya ujumla ikiwa hakuna dalili ya umaalumu.kama kuna dalili ya umaalumu basi dalili ya ujumla haifanyi kazi katika jambo hilo.

Kama hakuna dalili maalumu basi tunatumia dalili ya ujumla.

Mfano..

Mama aisha alipata siku za mwezi akiwa ameenda hijja,akamuuliza mtume kuwa amepata siku itakuwaje ?
Mama aisha akaambiwa kuwa afanye kila wanachofanya mahujaji isipokuwa twawafu.

Ukiangalia hapo utaona kuwa hata kuswali mahujaji wanasali pia kwa hiyo mama aisha hakukatazwa kusali alikatazwa kufanya tawafu.kwa maana kwa ujumla huo mpaka kusali ilikuwa asali.

Lakini kuna dalili khaaswa ambazo zimekuja nje ya hadithi hiyo kuvua kuwa mwenye hedhi hatakiwi kusali.

Kwa hiyo ujumla wa hadithi ya mama aisha utamruhusu kufanya kila anachofanya hujaji isipokuwa yale ambayo yamevuliwa kuwa hayafai kufanywa na mtu aliyeko katika siku zake.

Kwa hiyo dalili ya ujumla tunaitumia ikowa hakuna dalili maaluumu.


Lakini pia mtume hakufunga masiku haya kama alivyosimulia mama Aisha hadithi ipo katika Sahihi Muslimu. Sasa tutawauliza watu hao ambao unasema wamefunga na ushahidi umetujia ya kuwa mtume hakufunga masiku haya. Vipi wao wafunge masiku haya ?
Kwa matendo yake hakufunga.

Ila kwa maneno yake ameruhusu kwa ile dalili ya ujumla kwa kusema matendo mema.

Kama ambavyo mtume kwa matendo yake sala za usiku hakuzidisha zaidi ya raka 11.

Ila kwa maneno yake ameruhusu rakaa zaidi ya hizo 11 pale aliposema kuwa "sala za usiku ni rakaa mbili mbili...."

Kwa maana sali rakaa mbili,toa salamu,sali rakaa mbili toa salamu....pakikaribia alfajiri unamalizia witri.

Huwezi kusema kuwa ati haifai kusali zaidi ya rakaa kumi na moja ati kwa kuwa Mtume hakuzidisha,kwenye kauli yake karuhusu.



Kilicho ivua ipo hadithi ya mama Aisha kama nilivyo kugusia huko juu, hadithi ipo katika sahihi Muslim
Haijaivua kwa sababu hadithi ya mama aisha haikukanusha kuwa mtume hakusema maneno yale ya "masiku haya 10 matendo mema yanapendwa zaidi na Allah .."

Bali hadithi ya mama aisha inasema kuwa mtume hakufunga,na wala hadithi haijasema kuwa mtume hakufunga.

Hadithi moja inaeleza alichosema Mtume wa Allah.

Hadithi nyingine inaeleza alichofanya Mtume wa Allah.

Kuwepo kwa mpingano wa maneno ya Mtume na matendo yake sio hoja ya kuharamisha kitu kingine kwamba hakifai.

Mfano Mtume alisema kuwa sala za usiku ni rakaa mbili mbili....yaani mbili toa salamu,mbili toa salamu.

Ila mama aisha huyo huyo akasema kuwa Mtume hakuzidisha rakaa zaidi ya 11.

Sasa hapo kuna matendo ya mtume ambayo alionekana akifanya,na kuna kauli ya Mtume mwenyewe kama kule kwenye masiku 10 ya dhulhijja,kuna maneno na vitendo vyake.

Sasa huwezi kusema haifai kuzidisha zaidi ya rakaa 11 kwa kufuata ufahamu wako huo.
 
Mkuu mokaze nimekuelewa.

Allah anasema "tumetuma katika kila Umma mtume awaambie watu wamuabudu Allah na wajiepushe na twaaghuti"

Bila shaka idadi ya mitume hiyo zaidi ya laki moja inaendana na akili kuwa kila uumma ulikuwa na Mtume pia..

Nadhani kwa wanaobisha hawajatafakari vizuri.


Shukrani sana mkuu Safuher, Tafadhali mjulishe ndugu Jurjani.
 
Mathalani wapo watu ambao katika Uislamu wannatambulika ya kuwa hawakufikiwa na ujumbe kabisa si kwa mitume wala kwa
watu hao hawakufikiwa na mjumbe,haina maana ya kuwa mtume hakuwepo.

Kwa sababu hao watu unaowasema walikuwa katika umma fulani na huo ummah ulikuwa na mjumbe,ila ujumbe wa huyo mjumbe haukuwafika hao watu.

Nadhani unafahamu kuwa watu na ummah ummah ni mkubwa zaidi ya watu.

Kwa sababu hata leo hii kuna watu ambao hawajapata ujumbe wa uislamu,wako maporini huko hawwajui lolote lakini watu hao wapo katiuka ummah huu huu tunaoishi sisi.

Hivyo kutaka kuweka sawa watu fulani kuwa ummah ni makosa.

Na kama ukisema kuwaa kuna watu hawakupata mjumbe kwa kumaanisha kuwa watu hao ni ummha,basi je Qurani inajikanyaga kwa kusema kuwa ilipeleka mjumbe katika kila ummah ?
Mbona ummah wako bwana zurri haukupata mjumbe kama Qurani inavyodai ?

Utaona kuwa kuna pahala umeenda kombo,ni pale pakushikilia kuwa hao watu ni ummah pia.kumbe hao watu ambao hawakupata ujumbe wako ndani ya ummah wenye mjumbe tayari.


Unawajua Wanafalsafa wa kale wa Magharibi ? Hawa walikuwa kabla ya nabii Issa na kabla ya mtume kulikuwa na umma hapa,je ni mtume gani alikuwepi katika nyumati hizi kioindi ambacho hapakuwa na ujumbe ? Naona unasahau ya kuwa utume unaenda sambamba na ujumbe na historia zimenukuu hizi habari.
Kwa hiyo Qurani iliposema kuwa kila ummah ulipelekewa mjumbe sio kweli kwa unavyoona ?

Na kama ni kweli kila ummah ulikuwa na mjumbe unadhani huo ummah wa hapo katikati kabla ya Mtume haukuwa na mjumbe ambaye mafundisho yake yaliwahusu mpaka hao watu wa hapo katikati kabla ya Mtume ?
 
Si
nadhani nimekujibu
sijapata kupitia vitabu
nimepata kupitia simulizi

nijibu na mimi swali langu pale mwanzo
Simulizi gani ambazo hazirejei kwenye vitabu vya hilo jambo ?

Hujajibu swali langu bado.

Simulizi ipi ambayo haiarejei kwenye vitabu ?
 
Si
nadhani nimekujibu
sijapata kupitia vitabu
nimepata kupitia simulizi

nijibu na mimi swali langu pale mwanzo
Simulizi gani ambazo hazirejei kwenye vitabu vya hilo jambo ?

Hujajibu swali langu bado.

Simulizi ipi ambayo haiarejei kwenye vitabu ?
 
Back
Top Bottom