thanks ma broda!
ila nisamehe tu kwa leo as nataka nimwonyeshe huyu dada nini maana ya mume wa mtu.
inaumiza sana jinsi ambavyo mtu unaanza na mtu wako halafu ghafla shetani ka a huyu anaingia ni experience mbaya sana acha tu.
utakuta mtu umeanza maisha na mumeo kwenye chumba kimoja, wakati mwingine hata ugali wa kulumangia uliwashinda
eti leo baada ya miaka kadhaa, mumeshakuwa na majumba, gari n.k ndio kidudu mtu kinakuingilia
yaani ule wakati ambao sasa ndio mnatakiwa mkae muinjoi ndoa yenu anawaingilia bacteria wa ajabu
inauma kwa kweli tabia hii ni MBAYA akina mama/dada tuheshimu ndoa za wenzetu