Wayne
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 659
- 204
Kwa taarifa yako mie situnzwi na ningependa kujua hicho kinachomtunza mume.
Kiongozi na wewe umeingia kwenye haya malumbano?!...sitaki kuamini...
Kaka sisi tusome tu hizi post....darasa tosha hili...
Kwa taarifa yako mie situnzwi na ningependa kujua hicho kinachomtunza mume.
Kongosho, nafkiri nilikosea hapa nilimquote kamusi, nikimwambia kwamba huyu Da Sophy na Eliza wa Tegeta ni mtu mmoja.
Kiongozi na wewe umeingia kwenye haya malumbano?!...sitaki kuamini...
Kaka sisi tusome tu hizi post....darasa tosha hili...
halafu pia hata wanaume waangalie watu wa kutoka nao jamani.
yaani huu uzi ilibidi mkaka wa watu aombe utolewe manake uliabisha sana na hyu da sophy anasema eti amsamehe aliweka ili kutaka kumuadabisha. mara ooh anajisifu huyu mwanaume ananipenda sana hafurukuti kwangu huoni aliomba mweneywe uzi utolewe na leo hii niko nae.
aaggggrrrrrrrrrrrrr nilitamani nivunje screen nimpige mangumi huyu mshezyyyyyyyyyyyyy.
hili lijianaume na lenyewe kama boya mweeh! bora hata msomi wa watu kajikalia pembeni hebu imagine mumeo ndo anatembea na kichaa kama huyu kweli si kukudhalilisha huku?? sijui hili likaka limelogwa ama sijui ni jinga la kuzaliwa. yaani nafkiri nina hasira hata sijui naandika nin.
we dada wewe
hebu niombe radhi tafadhali
yaaaaaaaaaaaaani umenidhalilisha kuniweka kundi la makahaba
pleasssssssssssssss soam post vizuri sio unarukia tu dada
uzi wenyewe huu hapa aliuweka eliza zamaniiiiii halafu eti leo anamsapoti da sophy wapi na wapi??Umbea unaniuma, uzi huo uliwekwa wapi? Siwezi kuupata kweli?
skiliza mimi nime ku quote wewe na kukumention tu ila nimekosea kupunctuate ili ionekane kwamba nilikuita kukupa ujumbe juu ya da sophy na eliza wa tegeta.
lolz! yaani umefuka kama moto wa kifuuu.
sasa nimekuelewa mpz.......unajua mikosi inaanzaga hivi hivi
haya manungayembe si ya kuchanganywa nayo utakosa hata salamu barabarani
[Da Sophy] yaani utajuta this time,utatembea uchi.Yule mama akiamua kumsamehe mumewe wewe huna chako.Shwain pori wewe.Natamani ningejua username ya huyo mbaba ningehakikisha anamrudia mkewe
Sikubaliani na wewe Da sophy siyo wote ambao wana degree hawaolewi wala hawatunzi ndoa. mm nina degree na namshukuru Mungu sina matatizo na Mume wangu. So sio wote.mwanamke akiwa na digirii anaandika ndoa kwenye karatasi halafu anaweka saini. anadhani ni mkataba wa upangaji halooooo. wenzie hatuandiki tunatenda. akasome upya au atupe vyeti havimsaidii.
najua leo utakuwa ume ni grade katika lile kundi jingineee lkn no sweat ngoja nimuadabishe mtu kwanza
Yaani huyu baba inaelekea pia hata huwa anaenda kumuomba msamaha mkewe,hili li Sophy limejuaje kama mmama wa watu anashindia wine?Huyu Sophy juzi katukana sana hapa anasema mbaba anashinda bar,ana kibamia basi tu anamsitiri.Mkewe kamfukuza na yeye atamfukuza.Watu si tukakumbuka tukamwambia yeye alijiona keki nae leo anachitiwayaani Azote huyu baba anajitia nuksi kwa kutembea na mtu wa hadhi ya dekio lenyewe kutwa kukanyagwa tu.
wanaume angalieni hawa wanawake wengine mikosi kabisa kutoka nao.
yaani Azote huyu baba anajitia nuksi kwa kutembea na mtu wa hadhi ya dekio lenyewe kutwa kukanyagwa tu.
wanaume angalieni hawa wanawake wengine mikosi kabisa kutoka nao.
thanks ma broda!Labda niandike hivi...nakupenda wewe mwanamke...sijakuona kwa macho lkn napenda busara yako...ila leo?! mhhh...nimeogopa kidogo...usiwe mkali hivyo baby
[Da Sophy] yaani utajuta this time,utatembea uchi.Yule mama akiamua kumsamehe mumewe wewe huna chako.Shwain pori wewe.Natamani ningejua username ya huyo mbaba ningehakikisha anamrudia mkewe
Mama....muwe mnatuombea waume zenu tunapotoka asubuhi kwenda kwenye shughuli zetu za kila siku...njiani ndiyo tunakutana na watu wa hiyo sampuli...wakati mwingine inakuwa ngumu....ngumu sana mama yangu...naomba sala zako..
huyu sophy sio mzima kichwan nawaambia.Yaani huyu baba inaelekea pia hata huwa anaenda kumuomba msamaha mkewe,hili li Sophy limejuaje kama mmama wa watu anashindia wine?Huyu Sophy juzi katukana sana hapa anasema mbaba anashinda bar,ana kibamia basi tu anamsitiri.Mkewe kamfukuza na yeye atamfukuza.Watu si tukakumbuka tukamwambia yeye alijiona keki nae leo anachitiwa
yaani Azote huyu baba anajitia nuksi kwa kutembea na mtu wa hadhi ya dekio lenyewe kutwa kukanyagwa tu.
wanaume angalieni hawa wanawake wengine mikosi kabisa kutoka nao.