Digirii haitunzi mume

Digirii haitunzi mume

sasa hataki kutumia mashudu ata ishi vipi?

hapo sasa. tena siku hizi ni zaid ya falcon manake ni combine dose utafikiri formula ya mashudu ya broiler ya interchick.
bado mtu unagomea. subiri uanze kuinua kenchi ndo utakumbuka shuka tayari cd4 zikiwa 1.
 
na akitaka tumuonyeshe niaje niaje pale kati mods wahamishe jukwaa!
mssnshsndehehfefneeejoeend zaaaake!

mamam mwenye madgreeeeeee yake saahizi burdannnnnnnnnnnnn
wewe na ungumbaru unaleta kelele fyokofyoko kibao sasa mwambie Da Sophy asubiri kupanga folen ya mashudu.
 
Last edited by a moderator:
weweeeeeeeeeeeeeee, hapa tunajua anatusoma tu hata kama akiwa invisible...
yaani mume atuibie na kukesha kwetu akuone hakuna maana?
nakuambia na mipasho yake yote hapa hatarudi, labda kwa ID nyingine

mwali wala shaka uspate mie huyu hata aje na ID gani bado nitamgundua tu.
so far huyu lazima nimtoe humu jamvini kama @da jane. na nakumbuka alikuja na ID nyingine nikamlipua na yenyewe ikapewa life ban.

nimesema hivi hapana chezea ndoa ya mwanamke mwingine, ukipewa msaada uwe na heshima sio lifti kisha unataka kupiga na honi. sasa wewe fichama najua unaugulia maumivu ya moyo sasa hivi.
 
Hahahaaa..... Yaani maneno yako wewe dada, nacheka mwenyewe kama mwehu..!
Neylu huu ni mwoto wa kuotea mbali.
niko mtu decent sana but sometimes i do cut wires and if that happens i loose control over everything manake nitaonea kama chiriku.
 
Last edited by a moderator:
mwali wala shaka uspate mie huyu hata aje na ID gani bado nitamgundua tu.
so far huyu lazima nimtoe humu jamvini kama @da jane. na nakumbuka alikuja na ID nyingine nikamlipua na yenyewe ikapewa life ban.

nimesema hivi hapana chezea ndoa ya mwanamke mwingine, ukipewa msaada uwe na heshima sio lifti kisha unataka kupiga na honi. sasa wewe fichama najua unaugulia maumivu ya moyo sasa hivi.
ha haaa, wale kimya kimya, lol!
tatizo hawa hawataki kula kimya kimya..... wanataka na wenyewe wajulikane kama huyu hivi
 
ha haaa, wale kimya kimya, lol!
tatizo hawa hawataki kula kimya kimya..... wanataka na wenyewe wajulikane kama huyu hivi

yaani huyu leo nyama imetumbukiwa na nyongo ana hiari aitupe ama aile.
mie mpaka nimkomeshe leo.
 
ana niiiini!
msalkha tu huyu![
ndala tu hii heshima yake choooni!QUOTE=HoneyBee;5847682]Wewe degree huna, na mume huna. Point yako ?[/QUOTE]
 
yako sentensi imetuama ujumbe kabambe
Ukweli unaufumua milele pekee Mola ataishai
achunge yake tabia aache kula vya watu
vya watu sumu havitapikiki hata kwa maziwa
mimi wangu pekepeke lakini nasomeka
hahahah! Asprin yule mwizi wa waume za watu karudi tena.

amesahau kwamba yeye hataishi milele manake si wa mbegu, na inaelekea hajui kabisa kwamba haat ANNA alikuwa na tambo kama hizi na sasa ngoma imemuadabisha anaish kwa nguvu ya mashudu.
 
Filimbi nyiiiingi mishavu imewatuna kwa kujawa mapovu kisa digirii zenu zilowajaza ujinga. Kama kusoma dili mbona walosoma tuko wote kwenye sacos tunabembeleza msingi wa kuuza losheni. Na biashara hamuiwezi kote tunawapiga bao. Nyie pesa zenu mnabahatisha kwenye semina na kongamano za mafisadi wenzenu huko maana hata bwana wa kuwahonga hamwezi pata kwa nyodo zenu. Eti niwakimbie kwa lipi?
 
Kwa taarifa yenu,
1. Bwana niko naye. Nilipotaka kumpiga chini juzi kanililia hapa kama mtoto kanikumbusha mateso yote anayopata mtaa wa kule. Wanawake tumeumbiwa huruma namshangaa mwenzangu wa kule. Nimemhurumia ba watoto wangu kwa nini ateseke wakati nipo. Amekubali masharti yangu YOTE saizi kaenda kazini akirudi ni HAPA. Mi ndio Da Sophy mwingine photocopy.
2. Bwana mwenyewe kasoma digrii anazo na ung'eng'e anatema kiukweli si kama nyie na digirii zenu za kivukoni mkifungua hiyo mibakuli yenu ni shombo tu hadi kinyaa. Sa kumbe yule ajuza mtaa ule kaweka ligi ya nani zaidi. Sa sijui hizo wine anazofakamia ni za kupoza mawazo kwa kukosa unyumba au ndo kujipongeza kumshinda mume, anajijua mwenyewe. Kwani inahuuuu!
3. Kama digirii za yule ajuza mali bwana asingeziacha mbili mtaa wa kule aje huku kupiga magoti kwa ngumbaru.

Mnalo limewaganda mwaka huu.
 
Back
Top Bottom