King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
nimeimba shairi kwa sauti ya malenga wetu wa rtd. asante mwaaaalim!
hana hadhi ya nyumba kubwa, mdomo asiufungue,
hafai hata kwa kurumanga, kutoweza atia kinyaa,
hana sura wala umbo, kimo na elimu pia
aondoe shombo la pombo jamvini, akae ajifunze kujiswafi.
naondoka kufanya kazi nitarudi magharibi
ila huyu pimbi msuteni, makavu aambiwe,
msimwonee haya, manake hasitiriki
kazoea kuvaa moja, mbili kamwe haziwezi.
tamati nahitimisha, mkoloni kanibana
walakini kahaba huyu, kamwe asivumiliwe.
mtupieni vyake virago, aianze safari ya upweke.
maji haya ni mazito Da Sophy, huyawezi.
Last edited by a moderator: