Digirii haitunzi mume

Digirii haitunzi mume

Wewe mwanaume unayetembea na hili jitu Sophy rudi kwa mkeo,naamini umo humu JF.Angalia umetoka wapi na mkeo,kweli unaharibu ndoa yako kwa sababu ya huyu kinuka mkojo.Jiulize juzi kakutukana sana humu.

kweli kabisa baba rudi kwa wife, huyo sophy malaya wa town tu, atakuua na mapresha

wife tena msomi, katulia mwenyewe, Mungu akupe nini tena jamani..
hebu ona hili lisophy lilivyo na maneno ya chooni, halina heshima wala adabu limekuandika huku mitandaoni kuwa una kibamia, si bora wife amekufichia siri ndugu yangu, huyo ndo wako wa kufa na kuzikana
hebu rudi kwa wife bana, atakusamehe sisi wanawake ni wasamehevu sana
pleaaaase rudi kwa wife achana na machangudoa yatakuharibia hadi kazi sijui utaishije hapa mjini
 
ana tabu gani nae kazaliwa na mgodi katikati ya miguu. si ndo digirii karithishwa na mamake? akiachwa anadaka mwanaume mwingine wa mtu na kuanza matambo upya. usisiskie uso usio na haya, mbayaaa. hata adam alipojiona yuko uchi alijificha hadi Mungu akauliza uko wapi.
mwache karibuni atawajua

yeye si aliona kuvunja ndoa ya mwenzie raha eeee sasa na yeye atakunya kwenye ndoo muda si mrefu

bora hata wife wa jamaa kajisomea na kazi yake katulia, da sophy sijui atamlilia nani na elimu yake ya std 7
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hahahaaaaaaaaaaaaaa eti ufundi

waseme wengine siyo weye da sophy

kama umefundwa mbona umekosa mume wako basi? nijibu hilo tu

We una mume? Huyo unayemwita mumeo mwenyewe akuita nungaembe kwa taarifa yako. Tena wazi mchana kweupe mbele ya hawara zake watoto wa shule. Mtaani wanamwita bodi ya shule na unajua. Kila binti wa sekondari aliyempa lifti kamlala na simu kamnunulia. Tayari ushasahau yule housegerl wako uliyemtimua ukakuta badae mumeo kampangishia mtaa wa pili. Bado waja hapa kutamba una mume kumbe mwenyewe akuita nungaembe. Ndo ujue sasa navokujua. Na ukileta fyoko zaidi namwaga yote. mwanga we.
 
nimeamini dushelele tamu sana, watu wanacharurana na kuachana minyonyo nje nje???!!!
 
mnajuana kumbe??

We una mume? Huyo unayemwita mumeo mwenyewe akuita nungaembe kwa taarifa yako. Tena wazi mchana kweupe mbele ya hawara zake watoto wa shule. Mtaani wanamwita bodi ya shule na unajua. Kila binti wa sekondari aliyempa lifti kamlala na simu kamnunulia. Tayari ushasahau yule housegerl wako uliyemtimua ukakuta badae mumeo kampangishia mtaa wa pili. Bado waja hapa kutamba una mume kumbe mwenyewe akuita nungaembe. Ndo ujue sasa navokujua. Na ukileta fyoko zaidi namwaga yote. mwanga we.
 
ha ha haaaaaaaaaaaaaaa umerudi eeeeeeeee, nilikuwa nakusubirije??

sasa baada ya kuomba msamaha kibamia ndio kimerefuka?

baa alienda kufanya nini kama wewe ni mtaalamu wa mapenzi kweli?

mbona kakuchiti sasa wakati ulijidaaaaaaaaaaai kuwa amefika?

si ulijitia wewe unajua pa kumshika sasa amekupokonyokaje tena?

kwa taarifa yako huyo hajafika anakokwenda, na safari moja huanzisha nyingine upo hapo?

kama alivyomchiti mkewe na wewe kakuchiti vile vile

Na kama alivyomtelekeza wife basi nawe jiandae
kibaya zaidi atarudi kwa wife ili ujinyonge kabisa

Ya kibamia umesema wewe kama ndo unachotaka inakuhusu mwenyewe.
Baa alienda kupunguza mawazo nilipomtishia kumwacha. Nimemswameh karudi na sasa ni zaidi ya mwanzo. We inakuuma nini na digirii unazo, pesa unazo na wine zipo madukani. Kila mtu ale kitu roho yake inapenda. Baba J kapenda huku mwacheni nyie kunyweni wine zenu. Halafu baba J kwanini huwajibu hawa vigagula?
 
Baba J unaitwa huku, njoo basi.

Seriously, kwa nini msikutane mahali mkaongea?
Haijalishi mnachukiana kiasi gani, lakini watoto wenu ni ndugu au haina umuhimu kwenu?

Ya kibamia umesema wewe kama ndo unachotaka inakuhusu mwenyewe.
Baa alienda kupunguza mawazo nilipomtishia kumwacha. Nimemswameh karudi na sasa ni zaidi ya mwanzo. We inakuuma nini na digirii unazo, pesa unazo na wine zipo madukani. Kila mtu ale kitu roho yake inapenda. Baba J kapenda huku mwacheni nyie kunyweni wine zenu. Halafu baba J kwanini huwajibu hawa vigagula?
 
We una mume? Huyo unayemwita mumeo mwenyewe akuita nungaembe kwa taarifa yako. Tena wazi mchana kweupe mbele ya hawara zake watoto wa shule. Mtaani wanamwita bodi ya shule na unajua. Kila binti wa sekondari aliyempa lifti kamlala na simu kamnunulia. Tayari ushasahau yule housegerl wako uliyemtimua ukakuta badae mumeo kampangishia mtaa wa pili. Bado waja hapa kutamba una mume kumbe mwenyewe akuita nungaembe. Ndo ujue sasa navokujua. Na ukileta fyoko zaidi namwaga yote. mwanga we.

manungaembe hayo yanayolalwalalwa hovyo na kuchoropolewa mimba mpaka daktari anagoma kuendelea kuwachoropoa.......

Mke hawezi kuwa nungayembe

napita tu jamani....
 
msitiri aisee, mume mtamu, si unajua hilo?
Kaeni mzungumze, au muolewe wote wawili kwa faida ya watoto wenu na amani ya mume wenu.


Sasa je. Yani namjua ndani nje. Bora ajinyamazie nimstiri.
 
Mama....muwe mnatuombea waume zenu tunapotoka asubuhi kwenda kwenye shughuli zetu za kila siku...njiani ndiyo tunakutana na watu wa hiyo sampuli...wakati mwingine inakuwa ngumu....ngumu sana mama yangu...naomba sala zako..


neno hilo
 
Ya kibamia umesema wewe kama ndo unachotaka inakuhusu mwenyewe.
Baa alienda kupunguza mawazo nilipomtishia kumwacha. Nimemswameh karudi na sasa ni zaidi ya mwanzo. We inakuuma nini na digirii unazo, pesa unazo na wine zipo madukani. Kila mtu ale kitu roho yake inapenda. Baba J kapenda huku mwacheni nyie kunyweni wine zenu. Halafu baba J kwanini huwajibu hawa vigagula?

atujibu wa kazi gani na wewe ni radio unakula betrii. weeh poozeo tu atarudi kwa mkewe huyo hahahhaa. angekupenda wewe wala usingehitaji kujinadi aisee. uliza wenzio tulizua mtiti mume ndo anahaha. mtoto wa kike kupita kujihashua wakati mwanaume kakaa kando anakuchora tu. mpe hiyo si umepewa bure, kila mwenye mguu aje umuoshe basi manake una huruma wewe. kwa hiyo wewe ukitishia kumwach ndo anakunywa pombe, unajua akitishiwa na mkewe anafanyaje? looser!
 
Baba J unaitwa huku, njoo basi.

Seriously, kwa nini msikutane mahali mkaongea?
Haijalishi mnachukiana kiasi gani, lakini watoto wenu ni ndugu au haina umuhimu kwenu?

yaani ukae uongee sense gani na huyu ngumbaru. are you serious? hana akili hata moja, utaongea nae nini aelewe sasa. hapo alipo hajajua anaenda ama anarudi? mtaongea ya kushoto, kulia, juu ama chini? mwanamke kama huyu nikimkuta na Paw wangi nitaishia kumuonea huruma tu mume wangu kwa kubakwa kwenye chaka la miiba aisee.
 
Hivi kwanini uolewi, basi hata yule bonge ungemg'ang'aniza akuoe!

We una mume? Huyo unayemwita mumeo mwenyewe akuita nungaembe kwa taarifa yako. Tena wazi mchana kweupe mbele ya hawara zake watoto wa shule. Mtaani wanamwita bodi ya shule na unajua. Kila binti wa sekondari aliyempa lifti kamlala na simu kamnunulia. Tayari ushasahau yule housegerl wako uliyemtimua ukakuta badae mumeo kampangishia mtaa wa pili. Bado waja hapa kutamba una mume kumbe mwenyewe akuita nungaembe. Ndo ujue sasa navokujua. Na ukileta fyoko zaidi namwaga yote. mwanga we.
 
Jamani eeeeh. Cha kuokota si cha kuiba sawa jama. Yule kule anatamba kamtimua mumewe kumbe kabaki na wine. Mi nkajiokotea zangu. Ye kasusa miye nala nna kosa gan? Nimekumbuka hata juzi maneno niliyomtupia baba wa watu hapa hadi machozi yamentoka, samahani laaziz ni hasira tu. Manake ningempiga chini kweli si ajabu leo tungekuwa na msiba mana hana pa kwenda zaidi ya hapa kwangu. Kwanini nipate dhambi bure. Chapa kazi baba watoto wangu na uwe na amani. Ukimaliza kazi njo nyumbani nakusubiria laaziz uskonde wala nini. Watakufa na kijiba cha roho.

uanaume raha kweli kweli unawapanga tu...wewe miguu juu wao wanaanzisha thrwad jf....


Swali la kizushi ndo huyu Robert M****ya wa mfuko wa pension (kama kumbukumbu zangu zipo sawa???)
 
nungaembe ni wewe unaedandia waume za watu. kumbe wewe hawara senior ndo unajitapa manake umepangwa na watoto wa shule? tofauti yako na watoto wa shule ni wao kuchukulowa kwa barafu na ubuyu wakati wewe bei yako chipsi robo kuku hahahaa. huna bei shosti, aibu ptuuuu!
We una mume? Huyo unayemwita mumeo mwenyewe akuita nungaembe kwa taarifa yako. Tena wazi mchana kweupe mbele ya hawara zake watoto wa shule. Mtaani wanamwita bodi ya shule na unajua. Kila binti wa sekondari aliyempa lifti kamlala na simu kamnunulia. Tayari ushasahau yule housegerl wako uliyemtimua ukakuta badae mumeo kampangishia mtaa wa pili. Bado waja hapa kutamba una mume kumbe mwenyewe akuita nungaembe. Ndo ujue sasa navokujua. Na ukileta fyoko zaidi namwaga yote. mwanga we.
 
msitiri aisee, mume mtamu, si unajua hilo?
Kaeni mzungumze, au muolewe wote wawili kwa faida ya watoto wenu na amani ya mume wenu.

Kongosho unalaghai wenzio...wanaume chomvya chomvya unafikiri akiwaoa wote atatulia?????? Ataenda kuchukua kifaa kipya sophy lazima ajirestishe....
 
Last edited by a moderator:
heh! ndo huyu aliachwa na mimba y one night stand?
hahahaha, nicheke mie!
Da Sophy ungetuacha kwanza ukamhudumia mume wa mwenzio chap chap kabla hajaenda kwa mkewe na wanawe. wenzio hatuna wasiwasi hata saa nane usiku tunauamkia tunaupasha bibi weeh. na alfajiri tunauraukia hahahahha.
uanaume raha kweli kweli unawapanga tu...wewe miguu juu wao wanaanzisha thrwad jf....


Swali la kizushi ndo huyu Robert M****ya wa mfuko wa pension (kama kumbukumbu zangu zipo sawa???)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom