Did Mwalimu die a natural death?

Naona wengine mnajaribu saaana kukwepa swali ama kwa makusudi au kwa kutokujua. Sijui kama sababu ni uchanga wenu kimawazo au kuna wale ambao wanaogopa na wasingependa kukutana uso kwa uso na ukweli.

Uhai wa Mwalimu ulikuwa ni mwiba kwa mipango ya watu wengi na kisiki kwa walafi. Hali ya mambo kama tunayoishuhudia hivi sasa ni matunda na uthibitisho wa hilo kama yalivyokuwa matokeo ya uchaguzi mwaka 2000.

Wahusika walinufaika sana na kifo cha Mwalimu na hawakuwa hata na chemba cha aibu kusherehekea tukio hilo. Huku kubeza hoja iliyoletwa mbele yetu ni moja ya mbinu iliyopangwa na ilitegemewa. Hizi nguvu nyingi za kunga'ng'ania madarakani si bure - kuna mengi ya kufichwa !
:embarrassed:
Heshima kwako Mag3,

Mkuu nakubali hoja yako zipo sababu kibao zinazothibitisha unayosema.Mfano mmoja mkubwa baada ya kifo cha Mwl tulishuhudia Mkapa akianza kufuja mali za umma na mikataba mibovu kuliko ile ya Liberia iliyokuwa inakabiliwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Ukiutazama ufisadi ulivyotamalaki Tanzania hakika unabakia na jibu moja kubwa Mwl hakutuchagulia mrithi sahihi.
 
I have always failed to be convinced that mwalimu julius kambarage nyerere died: A natural death!


Heshima kwako IMRAN - SHIMBO,

Mkuu shukrani umekuja na hoja nzuri ngoja tusubiri wajuzi wa mambo watakuja na majibu kibao.
 
Tuseme alilogwa, na nani?? he died a natural death after being hospitalized for a long time. Wakuu tuachane na imani haba
 
Nasikia huyu mzee aliaaga kule Musoma kuwa anaenda kwa checkup London na alikuwa na afya njema ila kuna habari kuwa atakuwa alichomwa sindano ya kummaliza taratibu maana alikuwa anawabani mafisadi na yule mkulu alioko sirikalini mwenye miaka nenda rudi anahusika katika kummaliza Mwalimu Nyerere so si kweli kama alikufa kwa natural death....
 
Shimbo sasa umeamua kutufuata hukuhuku, yaani vitisho vyako vya wakati wa uchaguzi havikutosha yakhee:painkiller:

hee, kwaiyo huyu ndo shimboni i mean shimbo yule bosi wa ligeshi letu?? kama ndie sasa yeye ndo alitakiwa atupe ukweli maake si ndo yupo chumbani..au anataka watu waanzishe na mwisho yeye apate sasa pa kutemea cheche??shimbo muzee tujuze bwana, mpaka ukasema ivi nadhani u have something you think went wrong..tell us bro general...
 
Jamani JKN alijua kuwa atakufa kwa "huo ungonjwa" maana wakati anaondoka nasikia aliaga kuwa hatarudi, atakufa. Inawezekana walimtonya vijana wa kazi kuwa afya yake imeshachakachuliwa. Haya mambo ndo yanawafanya viongozi wasichukue maamuzi mazito kwa hofu ya kifo. In this country if you want to bring changes you must be ready to sacrifice your life
 
I have always failed to be convinced that mwalimu julius kambarage nyerere died: A natural death!

And did Drs. Fupi and Mashimba, Chief Government Chemists, died natural deaths??????!!!!!
And the list goes on to include politicians, who you may know or remember that faced doubtful deaths!!! Tanzania Bwana, ni zaidi ya uijuavyo!!! ukianza kuchokonoa kila kiktu mwishowe utawaumiza hata wale ndugu, hasa watoto na waume/wake za marehemu hao, so sad!!!
 
Shimbo sasa umeamua kutufuata hukuhuku, yaani vitisho vyako vya wakati wa uchaguzi havikutosha yakhee:painkiller:

Jamani huyu ni yule wa vitisho vya mabomu wakati wa uchaguzi? What is this guy trying to portray? Is this man scared of these undertaker's practices, course is a big man.
Nadhani si bure kuna sababu. Wait and see!
 
Natumai hata yule jamaa mwenye kichwa cheupeeeeeeeeeeeeee alifurahi sana na genge lake la mafisadi wa Igunga.
Siku moja katika pitapita zangu nilimsikia jamaa mmoja pale UDSM akitamka kuwa wakati mwalimu akiwa hoi hospitalini kule UK, kiongozi mmoja mzito kabisa wa nchi alikwenda Marekani kuwaaambia kuwa yule jamaa anayezuia kuchimba madini yuko hoi hospitalini kamumalizieni.

mambo makubwa hayo...safari ya wakulu kuukwea ufalme inaweza ikawa imejeruhi wengi!!!!
hii topic ina mengi kuliko inavyotaka kuchakachuliwa haraka na baadhi ya watu ambao pengine wanahusika na hili swali....kama huna jibu kwa nini usisome majibu ya wengine kuliko ku-play down the question!!!
 
Jana nilikiwa kwenye Bus la kutoka mbeya kuna watu walikuwa wana discuss kuhusu JKN kuwa hakufa kifo cha kawaida eti waheshimiwa waliamuua kummaliza kisa kuwabana sana hasa kenye issue za madini...nilizipuuza sasa nanza kutamani kama safari ingekuwa kesho ili alie kuwa akieleza nimuulize maswali....mwenye data atumwangie
 
I have always failed to be convinced that mwalimu julius kambarage nyerere died: A natural death!

nasikia kifo cha jkn kilitokana na mkataba ulioingiwa kati ya serikali ya mugabe na serikali ya tonny blair wa uingereza mwaka 1997. Mkataba huo ulihusu reparation iliyotokana na mashamba ambayo wazungu waliwapora waafrika wenzetu wa zimbabwe. Kwamba katika mkataba huo mwl jkn alikuwa shahidi na kwamba malipo hayo yalitakiwa kuanza kulipwa mwaka 2000. Hivyo kwakuwa mwl jkn aliogopwa sana na wazungu, alipofika ktk hospital yao waliona ndiyo nafasi pekee ya kumchoma sindano na hatimaye kutolipa mabilioni ya dola. Kinyume na matarajio ya wengi malipo hayo hayakufanywa na ndio kisa cha baba yetu robert mugabe kuwafukuza wazungu wale.na kuwapora mashamba yetu. Hivyo inasemekana kuwa kifo cha jkn ilikuwa njia sahihi ya kupoteza ushahidi dhidi ya mkataba huo.
 
nasikia kifo cha jkn kilitokana na mkataba ulioingiwa kati ya serikali ya mugabe na serikali ya tonny blair wa uingereza mwaka 1997. Mkataba huo ulihusu reparation iliyotokana na mashamba ambayo wazungu waliwapora waafrika wenzetu wa zimbabwe. Kwamba katika mkataba huo mwl jkn alikuwa shahidi na kwamba malipo hayo yalitakiwa kuanza kulipwa mwaka 2000. Hivyo kwakuwa mwl jkn aliogopwa sana na wazungu, alipofika ktk hospital yao waliona ndiyo nafasi pekee ya kumchoma sindano na hatimaye kutolipa mabilioni ya dola. Kinyume na matarajio ya wengi malipo hayo hayakufanywa na ndio kisa cha baba yetu robert mugabe kuwafukuza wazungu wale.na kuwapora mashamba yetu. Hivyo inasemekana kuwa kifo cha jkn ilikuwa njia sahihi ya kupoteza ushahidi dhidi ya mkataba huo.

Du Mengi yatasemwa, na Mengi yamesemwa....... Lakini This I find it hard to believe.
 
Haina mantiki kabisa.

Kama alikuwa HUWA ANAFANYA CHECK UP MARA KWA MARA, Kwa nini check up ile waliitangaza kiasi cha kila Mtanzania kujua kuwa mwalimu anaenda hospitali??

it was not a natural death, ILA WALITAKA TU"draw" TENSION kuwa anaumwa ndo wakammalize kabisa.
Tujiulize, kama ugonjwa ndo alikuwa nao kitambo, kwa nini walitangaza sana kuhusu kwenda kutibiwa, mpaka wakatuonyesha na alivyokuwa anapanda ndege?.

MKAPA, ndo maana kalaanika, anita watu wa dini KOKOTO.Yeye ndo alimmaliza.@$$#%%^@^&&@*@"" zake mkapa.
 
Back
Top Bottom