Did Mwalimu die a natural death?

Heshima Mbele Kiranga,
nadhani umelipokea swali vizuri, na kabla hujachangia umeliombea ufafanuzi,

kwa upande mwingine nadhani JF inaanza kupungukiwa watu wenye werevu, Swali lilikuwa "Did mwalimu die a natural death? " lakini mtu anaanza kuingiza mambo ya Sokoine na vitu kama hivyo,

Nikijibu Swali lako Kiranga kwa uelewa wangu ni kuwa:
1) Natural Death nikwamba Mwili umeshafika mwisho wake wa kufanya kazi, moyo umeshindwa kufanya kazi yake, figo zina fail na vitu kama hivyo na hiyo inaweza kusababishwa na Uzee, Maradhi, nk

2) UnNatural Death ni Kifo kinachosababishwa (mechanical), Ajali, Kuuliwa kwa njia yoyote (Risasi, Panga, Moto, Maji, Sumu nk)

Some would argue that, death is in the nature of all living things, and thus the categorization of "natural" and "unnatural" death is a mere matter of convenience for coroners.

Ukisema ugonjwa uko natural na ajali si natural unasema hivyo kwa kigezo gani? Hata ugonjwa nao unaweza kutoka nje ya mwili kama ajali.

Msingi huu huu ndio unaonifanya nikatae habari ya "kafa kabla ya siku zake". Siku utakayokufa ndiyo siku yako ya kufa, it is not like tumeandikiwa siku fulani tutakufa.

Kama mna data valid ziwekeni, otherwise inakuwa mazungumzo yasiyo kina.
 
Kwa hayo mambo yanayotekea sasa hivi ktk nchi hii wala sihitaji kuwa na phd kujua kuwa mwalimu aliuawa.
Kwanini ufisadi ulianza kushamiri pindi tu alipokufa? Naamini kuwa mwalimu alipigwa mionzi ambayo ilipelekea apate kansa ya damu.
Naamini siri ya kifo chake itakuja kujulikana miaka mingi ijayo wakati tutakapokuwa tumetoweka.
Hata daudi balali naamini yupo hai anakula maisha kwenye visiwa fulani huko america.
 
There is not any death that is not natural. What would be the features of an artificial death if at all existed? You die because of one or another cause and all causes exist naturally. If you are murdered, for example, the murderer is a natural thing and has disturbed the nature of functioning of your body system...that is natural death! Una nyongeza?
 
Some would argue that, death is in the nature of all living things, and thus the categorization of "natural" and "unnatural" death is a mere matter of convenience for coroners.

Ukisema ugonjwa uko natural na ajali si natural unasema hivyo kwa kigezo gani? Hata ugonjwa nao unaweza kutoka nje ya mwili kama ajali.

Msingi huu huu ndio unaonifanya nikatae habari ya "kafa kabla ya siku zake". Siku utakayokufa ndiyo siku yako ya kufa, it is not like tumeandikiwa siku fulani tutakufa.

Kama mna data valid ziwekeni, otherwise inakuwa mazungumzo yasiyo kina.

Hiyo ya kufa kabla ya siku zake siwezi kuizungumza, lakini nazungumzia life span", kuna kifo ambacho ni no way out, mtu akishakuwa mzee na organs zake kzikianza kushindwa kufanya kazi kwa sababu ya uzee na mwisho huyo mtu akiwa kwa hiyo sababu ya uzee, nadhani hiyo ni tofauti na mtu ambaye yuko perfect and then anapata ajali that is mechanical
 
Nchi ya wapishi hii no one to trust especially hawa tunaowaita viongozi wetu, tukianza kuhoji wa kuhojiwa vifo vyao ni wengi tu akiwemo aliyekuwa Governor wa Bank of TZ Daud Balali inafika wakati ukimuuliza mtanzania wa kawaida kama kweli Balali alikufa inaleta kigugumizi kwa kuwa kikweli hakuna ajuae ukizingatia kwamba watu hawakuhudhuria mazishi yake.

Nchi ya waigizaji kama hii ya kwetu hakuna kinachoshindikana kuzusha inawezekana kwamba kifo cha Gavana ni mambo ya Hollywood who knows?
 
did sokoine die a natural death ??
did BENARD MAMBINA MAFURU, who was Mara Regiona Executive Secretary and Lake zone Hospital (kwanga) Secretary Project, who was killed in Tarime 18/May/1988 DIED A NATURAL DEATH???
 
Naona wengine mnajaribu saaana kukwepa swali ama kwa makusudi au kwa kutokujua. Sijui kama sababu ni uchanga wenu kimawazo au kuna wale ambao wanaogopa na wasingependa kukutana uso kwa uso na ukweli.

Uhai wa Mwalimu ulikuwa ni mwiba kwa mipango ya watu wengi na kisiki kwa walafi. Hali ya mambo kama tunayoishuhudia hivi sasa ni matunda na uthibitisho wa hilo kama yalivyokuwa matokeo ya uchaguzi mwaka 2000.

Wahusika walinufaika sana na kifo cha Mwalimu na hawakuwa hata na chemba cha aibu kusherehekea tukio hilo. Huku kubeza hoja iliyoletwa mbele yetu ni moja ya mbinu iliyopangwa na ilitegemewa. Hizi nguvu nyingi za kunga'ng'ania madarakani si bure - kuna mengi ya kufichwa !
 
did sokoine die a natural death ??

i have always failed to be convinced that mwalimu julius kambarage nyerere died: A natural death!

ooh!!! Ngoja nitoke humu. But before i leave....you might even end up asking: Dr omari ali juma died naturally?

Death is death.

what about balozi ngaiza?

duh! Ngaiza tena? Yule mzee jamani acha tu,sokoine? Chachage? Ms mbatia. Acha bongo iitwe bongo!

since we are asking..... What about kolimba........... Kigoma ally malima.....
r.i.p
 
FYI: Some stories are better left untold!

***if we put everything here, you will wake up the next morning in 'segerea'...

My take: We will all die! There is no point to find out why this and why that and what happened. It wont solve anything. However, pray that you die when your mission is accomplished!

God bless Tanzania God bless Africa.
 
did BENARD MAMBINA MAFURU, who was Mara Regiona Executive Secretary and Lake zone Hospital (kwanga) Secretary Project, who was killed in Tarime 18/May/1988 DIED A NATURAL DEATH???
Kiherehere,
You knew Bernard Mambina? He was my uncle. Alikatwa mapanga Tarime. Ila kuhusu Mwalimu, najua daktari wake, ambaye hivi sasa ni mbunge anayo siri kubwa.
 
Kiherehere,
You knew Bernard Mambina? He was my uncle. Alikatwa mapanga Tarime. Ila kuhusu Mwalimu, najua daktari wake, ambaye hivi sasa ni mbunge anayo siri kubwa.

Jasusi:

Siri gani tena hiyo wajemeni? Lakini inawezekana maana baada ya kuondoka tu, ubinafshaji wa NBC one of his master piece went so fast.
 
Jasusi:

Siri gani tena hiyo wajemeni? Lakini inawezekana maana baada ya kuondoka tu, ubinafshaji wa NBC one of his master piece went so fast.
Zakumi,'
You are on to something. I wish I could talk more. Kuna rafiki yangu mmoja pale DSM aliniambia kuwa Tanzania ya leo siyo ile aliyoiacha Mwalimu.
 
Zakumi,'
You are on to something. I wish I could talk more. Kuna rafiki yangu mmoja pale DSM aliniambia kuwa Tanzania ya leo siyo ile aliyoiacha Mwalimu.

Out of all parastatal entities, NBC was at his heart. Wakati Mwinyi alipotaka kuleta Banks binafsi ilibidi single handedly apiganie banks za nchi zipewe miaka miwili ya kujiandaa. Wakati Mkapa anataka kuuza NBC akasema that is not for sell. Alipoondoka tu, aikuchukua miezi sita.
 
Back
Top Bottom