Did he truly mean what he said??

Did he truly mean what he said??

Nina hamu ya kuuagua moyo wako!



Walau fursa yangu ina manufaa kwa wote! #jamiiKwanza

Mweeeeh!! We wako nani aliuagua hadi utake kuagua wa mwenzio? Au mwaenda kufarijiana?
 
Nina hamu ya kuuagua moyo wako!



Walau fursa yangu ina manufaa kwa wote! #jamiiKwanza

Hahahahaha!!! Poyee!

Mim nina moyo wa chuma ndugu, maumivu siyajui nakuonea huruma tu.

Hebu tulia ucje kufia mikoni mwangu nikapamba kurasa za magazeti buree.
 
Yaani mwanaume akileta uzi humu kaumizwa nafurahije sasa!
Cc Mentor
Mim mwenyewe nataman kila siku nione wanaume 20 wanatendwa sawasawa wanalia hadi kamasi humu mim nafanya sherehe tu.
 
Last edited by a moderator:
Mim mwenyewe nataman kila siku nione wanaume 20 wanatendwa sawasawa wanalia hadi kamasi humu mim nafanya sherehe tu.

Hahahaaaa! Na wanavyojifanya wanajua kuumia sasa hadi raha, full burudani.
 
Hata kama ni uvivu wa kufikiri, hapo jibu ni rahisi sana...., "NO"...., wala hakuna maelezo ya ziada labda kama unataka matumaini hewa.
 
Hahahaaaa! Na wanavyojifanya wanajua kuumia sasa hadi raha, full burudani.

Lakini uzuri siku hzi mambo yanajibalance. Hawa watu nawapenda sana

Dida wa Ezden
Jide wa Gadner
Flora wa Mbasha
Nawengineeee bado wapo njiani kama Nuhu na Ndomo
 
Lakini uzuri siku hzi mambo yanajibalance. Hawa watu nawapenda sana

Dida wa Ezden
Jide wa Gadner
Flora wa Mbasha
Nawengineeee bado wapo njiani kama Nuhu na Ndomo

Hahahaaaa!!
Kuna mmoja juzi alikuwa ananipa story yeye alilea mimba na mtoto hadi mtoto kafikisha 2years binti akadai anaolewa, kumbe anayemuoa ndio baba wa mtoto, jamaa aliumia hatari kawa kama kichaa, nilimpa pole huku moyoni to be honest ile story ilinifurahishaaa, maana nae aliwahi umiza mtu kabla ya huyu binti.
 
Hana mpango na ww, sema anataka kukufanya "alternative" in case mambo yake yakigoma.
Tafuta furaha yako mahali pengine
 
Hahahaaaa!!
Kuna mmoja juzi alikuwa ananipa story yeye alilea mimba na mtoto hadi mtoto kafikisha 2years binti akadai anaolewa, kumbe anayemuoa ndio baba wa mtoto, jamaa aliumia hatari kawa kama kichaa, nilimpa pole huku moyoni to be honest ile story ilinifurahishaaa, maana nae aliwahi umiza mtu kabla ya huyu binti.

Tena wakome, wao wanajifanya waumiziji wakuu ila nashukuru kuna wanawake wao ni zaidi yao, yaani akiacha maumivu mtu lazima aweweseke miaka 20
 
Back
Top Bottom