Did he truly mean what he said??

Did he truly mean what he said??

If it's for you..it'll be worth it!

atoto let's be serious...kuna haja ya mimi na huyu mrembo kuwasiliana faragha...huoni ana zile symptoms zako na ICHANA!??

Njoo ila angalie ucnifie na presha, magazeti ya udaku yaka nipamba mbele ya ukarasa.
 
Last edited by a moderator:
mkuu me sio bibi, i am a young lady of only 20 years and attractive sio kwamba najisifia. And sio kwamba siwezi kupata mtu thats why unaona kama ninamganda huyo mtu,NO! There are many guys who are in need of me out there,sio kwamba yeye ndo maisha yangu,NEVER. But hii ni thread tu ya kupeana ushauri juu ya hili.

I'll take it as a slip of tongue coz u sounded desperate on ua post.
Or mayb umeangukia zali nyingine hapa jf!
Si u know maskini akipata,,,,,.
 
Ni kwel acha haraka sn kujipendekeza hvyo.. Hiv kwann mtu huon dhaman yako? n kuwa wanaume wameisha kabak yeye tu au n nin?? au kwasbbu umeckia ndoa? achna nae huyo si rzik yako, endelea na maisha yako, mambo ya kudeal na ma ex utaishia kukonda tu. Km mlishaachn bas ibaki hvyo, cyo unaanza kumchombeza chombeza tn. We muache km atakuwa anakuhitaj atakutafuta mwenyew..!!
 
Run n save ur soul.concentrate on wat makes you happy like duin ur hobbies u will forget him.ni mwizi huyo..I have been going through the same..mwanaume kama ni wako will do anything to make the relationshp work
 
Run n save ur soul.concentrate on wat makes you happy like duin ur hobbies u will forget him.ni mwizi huyo..I have been going through the same..mwanaume kama ni wako will do anything to make the relationshp work

FACT.FACT....thank you dear!
 
Ni kwel acha haraka sn kujipendekeza hvyo.. Hiv kwann mtu huon dhaman yako? n kuwa wanaume wameisha kabak yeye tu au n nin?? au kwasbbu umeckia ndoa? achna nae huyo si rzik yako, endelea na maisha yako, mambo ya kudeal na ma ex utaishia kukonda tu. Km mlishaachn bas ibaki hvyo, cyo unaanza kumchombeza chombeza tn. We muache km atakuwa anakuhitaj atakutafuta mwenyew..!!

Yah ni kweli,na am trying to go on with my life and enjoying the seconds of my breathe. Thank you
 
duh! pole sana I wonder kwa nini watu wanachezea mioyo ya binadamu wenzao kiasi hiki huyo ana take advantage ya upendo wako kwake atakapoukosa ndipo atarealize thamani yake EXPECT NOTHING FROM HIM JUST MOVE ON...
 
Never trust him... Kakutega huyo anajua akitamka ndoa lazima utamwamin. Live your life my dia. Move on with your life n forget abt him completely
 
Back
Top Bottom