Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Hapa hujaona fursa!??
Teh teh..Hii acha inipite bro
Hapa hujaona fursa!??
Teh teh..Hii acha inipite bro
halafu kwanza sio sheria.
Alikuwa ni boyfriend wangu and we broke up last year,but kuna siku nilimtext ili nimsalmie,baada ya salamu akanitext kuwa he will marry me after 3 years. Kilichonishangaza ni kuwa tangu hiyo siku hajawahi kujirudi na kunichukulia kama his girlfriend na wala haoneshi any consideration. Kwa sababu we are far from each other but hua hanitext wala kunipigia,nisipofanya mimi kumtafuta ndo basi hivo,and inafkia kipindi nachoka coz naona its like najipendekeza sana kwake. Naombeni ushauri jamani,should i take his words and trust him or does he play with my feelings?
halafu kwanza sio sheria.
Unajipendekeza ndio...
Achana nae ila kabla ya kuachana nae, fanya kila uwezalo hakikisha anakuwa mikononi mwako kisha mfanye aamini unampenda sanaaa baada ya hapo mtupe kwenye dustbin ili na yey augue japo kidogo.
Mhhhhh Cc: atoto
...one day nitakuja 'faragha'!
kuna level nyingi za SHULE.
Fanya hvo, hakikisha kama anauhusiano usambaratishe kwa gharama yoyote ile, kisha fanya niliyokwambia,
Mgawane maumivu kwa wakati tofauti.
Alikuwa ni boyfriend wangu and we broke up last year,but kuna siku nilimtext ili nimsalmie,baada ya salamu akanitext kuwa he will marry me after 3 years. Kilichonishangaza ni kuwa tangu hiyo siku hajawahi kujirudi na kunichukulia kama his girlfriend na wala haoneshi any consideration.
Kwa sababu we are far from each other but hua hanitext wala kunipigia,nisipofanya mimi kumtafuta ndo basi hivo,and inafkia kipindi nachoka coz naona its like najipendekeza sana kwake.
Naombeni ushauri jamani,should i take his words and trust him or does he play with my feelings?