Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Sisi wabeba maboksi, waiters na watchmen tutaweza kujenga nini. Kinachotusaidia tukija likizo ni bei ya dollar zetu zinatupa chenji nzuri ndio zinatuvimbisha . Tusiwadanganye wenzetu. Infact wenye hali nzuri ni wale wanao fanya kazi nchi za kiarabu kama Abu Dhabi ndio wanakuwa na kazi bora kidogo au afadhali.

Mkuu, bado sana hujachelewa.

Wewe changa fwedha tu na anzisha kitu Tanzania, usikate tamaa.

Tanzania ni nyumbani ndiyo maana unakwenda likizo.
 
Asilimia kubwa wana-DIASPORA WALIOKO ULAYA NA AMERICA wamejiripua either kwa UKIMBIZI AU namna nyingine.

Waziri wa Ardhi amesema Mtu yeyote asiye kuwa MTANZANIA hana haki ya kumiliki kiwanja pamoja na hawa ... watanzania wenzetu walio kimbilia huko USA NA EUROPE (diaspora) wakapata uraia wa huko huna haki ya kupata privilege kama ya Mtanzania.

Sasa cjui mtafanyaje? WANA-DIASPORA .

Hiyo haimaanishi kwamba mtanzania huyu, hana urithi wa mama au baba lakini bado ni mtanzania kwa asili.

Waziri anazungumzia mambo ambayo tayari yamekwishafanyika.

Mbona kuna wabunge ambao walikuwa wanajulikana wana passport mbili na walikuwa ni wabunge?

It's too late mate.
 
eli kuna mbongo diaspora anaweza wa kujenga kiwanda au unataka kudalalia wazungu?
 
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma.
NB: Iundwe WIZARA YA VIWANDA tu ikiwezekana tupate Diaspora mwenye uelewa na sekta hiyo ili kutukwamua hapa tulipo. Ni ushauri tu.

They fled Ethiopia amid war and privation. An economic boom is bringing them home.
Hata mikopo ya Bodi ya wanafunzi mliokopa hamjarudisha viwanda mtawezea wapi.. kwanza wengi ni walalahoi tu hko majuu
 
eli kuna mbongo diaspora anaweza wa kujenga kiwanda au unataka kudalalia wazungu?
Wengi wao ni walala hoii wanakesha kufanya kazi za u promota na hawana kituuu ila koz wanaingiza viji dola kupitia mdomo baaas
 
Dah nimecheka sana huu uzi nina masaa mawili kukuche nikawapigishe msamba watoto wa Kijapan

Kujenga kiwanda wakati bi mkubwa yupo kwenye nyumba ya tope hizi ni kejeli kubwa
 
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma.
NB: Iundwe WIZARA YA VIWANDA tu ikiwezekana tupate Diaspora mwenye uelewa na sekta hiyo ili kutukwamua hapa tulipo. Ni ushauri tu.

They fled Ethiopia amid war and privation. An economic boom is bringing them home.
Hahahaaa fimbo ya mbali haiuwi nyokajomba nyie si mlitukimbia wacheni tuilambe asali wenyewe kwanza tukishiba tutawabakishia.
 
Bado umepotea!huku watu tuna make a lot of stupid cash,we're self made millionaires ha ha ha!.
Kibongo bongo wanaolipwa15,792,000/= ni wachache, akitoa 36% ya kodi ambayo ni 5,685,120 akatoa na chakula na matumizi mengine hawezi kukosa milioni 2 au 3. Ila kwa kweli pesa yote inaishia kwenye matumizi.
 
Mchango wetu ni mkubwa sana bila DIASPORA ile UDOM na Daraja la kigamboni Ingekuwa ndoto
 
Back
Top Bottom