Ccm mbere kwa mbereView attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamond
View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamond
Sasa babalevo watu hawataki kulipia Kodi Kwa hiari tufanye vipi eti fundi manyumba?View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamond
Aendelee kukatia mauno CCM. He is having a taste of his own medicine. Kwani wakereketwa na wanachama wa chama tawala na wao wanalalamika 'barabarani' kama wapinzani? Si akalalamike ndani ya vikao vya chama huko?View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamond
Aendelee kukatia mauno CCM. He is having a taste of his own medicine. Kwani wafurukutwa wa CCM na wao wanalalamika 'barabarani' kama wapinzani? Si akalalamike ndani ya vikao vya chama huko?
“Wapinzani watetereke” in Zuchu’s voiceCcm mbere kwa mbere
Namimi nashangaaAendelee kukatia mauno CCM. He is having a taste of his own medicine. Kwani wakereketwa na wanachama wa chama tawala na wao wanalalamika 'barabarani' kama wapinzani? Si akalalamike ndani ya vikao vya chama huko?
Nami nimeshangaa kweliNamimi nashangaa
Hawajazoe kulipa kodi mashabiki wa CCM woote ukiwambia walipe kodi hakika hakuna atakayeipenda CCM.“Wapinzani watetereke” in Zuchu’s voice
Shetani hana Rafiki , Wewe umetumika mara kadhaa kuibeba CCM , sasa laana ya Mungu imekushukia .View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamond
Basi avae shati la kijani aende kumuona kamishna wa TRAHawajazoe kulipa kodi mashabiki wa CCM woote ukiwambia walipe kodi hakika hakuna atakayeipenda CCM.
Huwa wanatumia kama kivuli kujificha mambo yao.
Ila ujamuelewa alichozungumza wala sio issue yeye kulipa kodiHawajazoe kulipa kodi mashabiki wa CCM woote ukiwambia walipe kodi hakika hakuna atakayeipenda CCM.
Huwa wanatumia kama kivuli kujificha mambo yao.