charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 5,975
Huu ni msiba wa kujitakia na sidhani kama ni rahisi kumrudisha mtu mwenye addiction ya madawa refer Chid Benz,Pauline Zongo nk naona jamaa kaamua kujimaliza mwenyewe, Walaumiwe management/familia yake kwa kutomsaidia mwanzoni tu alipoanza, kama ni kweli basi tushampoteza Guavo low budget,Ni suala la mda tu tutaanza kuambiwa pray for Guavo