Kisa ni nini Mkuu? Share na sisi tupate kufahamu...Kuna mtu Yuko kwenye hiyo industry ya music kaniambia kisa cha diamond kuwekewa zile drip kule Arusha ile siku ya wasafi festival.
Huu Uzi tutakuja kuufufua. Wale mnaopinga endeleeni kupinga.
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Alafu yatakusaidia nini?😀😀😀😀😀Kisa ni nini Mkuu? Share na sisi tupate kufahamu...
Hivi stori za kulana jicho zinasambaa sana sio yy tuHuu n mwaka wa sita km c wakumi mnaimbaga wimbo huo huo mara anatumiaa madawa mara n freemason ,mara anawala wenzie jicho ,
Ss ww dai afanye yt ww unapata tabu gan mkuu hapo ulipo ,,
Acha kupangiaa mwenye Hela zake starehee yakufanyaa..
Diamond kashinda tuzo juzi tu hapa ya msanii bora wa Africa ya MTV EMA kambwaga burna boy unasemaje ameshuka kimzikiWimbo wa mwisho kuupenda wa Diamond ni baba lao baada ya hapo kuna nyimbo nyingi katoa ila sizijuii jamaa kuimba anajua
Kinachowafelisha watu wengi maarfu hawataki kukubali ukweli ukifika juu lazima udondoke maana hapo ndio mwisho kazi kubwa ni kumaintain na hapo ndipo balaa linapoanza mwisho wa siku wanatafuta jambo la kuwafariji
Pia kuimba kila siku mbele ya wafu wengi ni kazi lazima ujitoe ufahamu mwisho wa siku ndio yanakuwa hayo
Pia stress za mapenz kupenda sana anasa kama jamaa angetulia na mwanamke mmoja ingemsaidia sasa ww kila mwanamke unamtaka ww mwisho wa siku lazima udhohofike
"HUWEZI KUSHINDANA NA ULIPOTOKA LAZIMA UKIZIDISHA UTAKONGOROKA"
Ila kama Diamond atakuwa muathirika ktk madawa atawavunja moral vijana wengi sana hapa nitaukumbuka ule mwimbo wa bora ukose mali upate akili
Wapi nimesema kashuka kimzikiDiamond kashinda tuzo juzi tu hapa ya msanii bora wa Africa ya MTV EMA kambwaga burna boy unasemaje ameshuka kimziki
Hiyo Tuzo Nadhani Juma nature anayo pia au alishakuwa Nominee long before Hatumjui mondi.nyenyenyeeeeee mbwa weee tunakujua humpendi chibu wee nitim kiba polee
usiempenda kapata tuzo jinyonge sasa
Namaanisha sio Big deal....kwani juma necha yeye sio msanii hastahili kuipata?
Si umeshaambiwa huko juu anakula Unga!!kwahio Mondi anakula unga mkuu?